Mkwawa alikuwa chifu wa wahehe na kiongozi mkuu wa kabila la wahehe ambaye alizaliwa mwaka 1855 -1898 katika kijiji cha Lungemba mkoani Iringa.
Baba yake mzazi ni Mzee Munyigumba.Baada ya...
Utangulizi - Mambo ya nyakati ni nini?
Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati kinatueleza kuhusu ibada katika hekalu na kinatupa habari zaidi kuhusu ukoo wa Masihi. Kikiwa sehemu ya Neno la Mungu...
mos Pambala
Anaandika TUNDU LISSU:
Advocate Mahinyila salaam,
Nafikiri una tatizo moja kubwa: unaelekea kuamini kila tuhuma inayoelekezwa CHADEMA na wanachama wetu wa jana na juzi.
Sijakusikia...
--IN FACT--
MAJENGO YASIYO NA MFANO ULIMWENGUNI
COLLESEUM
Majengo haya yalianza kujengwa enzi za dola ya ROMA (ROMAN EMPIRE),lengo kuu la kujengwa kwake ni...
Waafrika tunazidi kuwa watumwa kutopenda mila zetu
Binafsi napenda makabila yanayoendeleza matambiko ya kimila
matambiko sio ushirikina nachukia ushirikina na uchawi wa kwenda wa waganga sana...
WAKATI akiondoka Dar es Salaam kuelekea nchini Liberia kuhudhuria Mkutano wa 16 wa Wakuu wa nchi Huru za Kiafrika (OAU) uliopangwa kufanyika Julai 17, 1979, Rais wa Awamu ya kwanza wa Jamhuri ya...
We are group of Teachers and Examiners specialized in the Acquisition of IELTS,GRE,TOEIC,TOEFL,PET, FCE, CAE, CPE, BEC,YLE, KET,BULATS,ILEC, ICFE CELTA,DELTA ESOL AUTODESK CERTIFICATES & all...
We are group of Teachers and Examiners specialized in the Acquisition of IELTS,GRE,TOEIC,TOEFL,PET, FCE, CAE, CPE, BEC,YLE, KET,BULATS,ILEC, ICFE CELTA,DELTA ESOL AUTODESK CERTIFICATES & all...
World Cup imemalizika na moja kati ya mambo yaliyovuta hisia za wengi ni Rais wa Croatia Mwanamama Kolinda Grabar. Wengi tumezoea kuona Rais akilindwa na walinzi lukuki lakini hali ni tofauti kwa...
AFRIKA KUSINI YA JANA (1950s) NA YA LEO (2000s)
KUMBUKUMBU…
Jana usiku nimefanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC Dira ya Dunia kuadhimisha Miaka 100 toka Nelson Mandela azaliwe. Katika...
HISTORIA YA VITA VYA KAGERA 1978 - 79
MAJESHI YA UGANDA YALIVYOINGIA KAGERA
TUONE KWA UFUPI.
MWAKA 1978, Majeshi dhalimu ya Nduli Idi Amin Dadaa wa Uganga, yalivamia Ardhi ya Tanzania, eneo la...
Katika utawala wa wajerumani palitokea kijana mmoja ambaye alijulikana kama Bahume, ambaye baadae alikwenda kuishi Ujerumani na kuwa muigizaji maarufu sana miaka hiyo kabla ya WWII. Inasemekana...
"Siku ya tukio la kifo cha Sokoine mvua ilikuwa inanyesha wakati msafara wake ulipoondoka mjini Dodoma. Gari la polisi lilikuwa linaongoza msafara wake hivyo hapakuwa na wasiwasi wa usalama kwani...
Wamasai ni jamii ya Nilo-Hamitic walioingia Afrika Mashariki kutokea eneo la Sudan na Ethiopia. Ni mojawapo ya jamii maarufu za Ki-Nilotes zilizotapakaa katika Afrika Mashariki hasa Kenya na...
Haiwezeki na haiingii akilini kwenye heka heka za Chaguzi karibia zote za marudio zinazoendelea nchini kila kata wagombea udiwani wa CCM wanapita bila kupingwa, kwani Upinzani wameanza kugombea...
Oct. 29,1979. Two months ago I warned about the sinister developments that were being set in motion within the Catholc Church. I said the Bolsheviks want to use the. Church in their war agains t...
Mapema mwezi huu, April 11,makamu wa rais Walter Mondale iliripotiwa kwamba ameondoka Washington kuzuru. Iceland, Scandinavia na Holland. Lakini,rafiki zangu,mwanaume na mwanamke ndani ya Air...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.