Jukwaa la Historia

On JF:

Jobs in Uganda, Principal Veterinary Officer Job Title : Principal Veterinary Officer Salary Scale : U2 Reports to : District Production and Marketing Officer Responsible for : Senior Veterinary...
1 Reactions
0 Replies
839 Views
Picha hii ilipigwa mwaka 1943, wakiwa vitani, India (Vita ya pili ya dunia), hawa ni Moja ya watu muhimu sana katika uanzishwaji wa chama cha TANU. Kushoto ni Ally Sykes (17) ambaye ndiye alikuwa...
3 Reactions
23 Replies
6K Views
Monday, 03 October 2011 13:51 CARL Peters, Na Lawrence Kilimwiko CARL Peters, yule mjerumani tapeli mkubwa aliyewazuga machifu na kupoteza uhuru wao aliwahi kutamka kwamba, "kuwapa uhuru...
2 Reactions
25 Replies
16K Views
Rais wangu wa Muda wote alikuwa ni Jasiri Sana "kama ujasiri wa kujifunika shuka moja na nyoka"
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tangu kukamilika kwa Thirty Years War (1618 - 1648) na kusainiwa kwa Westphalia Treaty mwaka 1648, Nchi za Uingereza na Ufaransa zilitawala Siasa na Uchumi wa Ulaya. Uingereza kupitia Industrial...
3 Reactions
35 Replies
5K Views
Kwa muda mrefu tulikuwa tunasikia kama simulizi kwa wazee wetu kwamba miaka ya nyuma maeneo haya ya Malema (Kilambo) kulikuwa na mbuga iliyokuwa na wanyama wengi na wa aina mbali mbali kama ilivyo...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa akili ya kawaida ni vigumu kuamini kama J. Ntatiro angehama chama cha upinzani lakini kutokana na viashiria vya chama tawala hilo halikwepeki cha kufanya sasa hivi ni kupokea tu taarifa maana...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
ANANDIKA Dotto Bulendu Jana wakati akitangaza majina ya wateuliwa kuwania nafasi za ubunge kupitia CCM kwa ajili ya uchaguzi mdogo, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
730 Views
HISTORIA ::: - : KABILA LA WASAFWA Mwanshinga Jr. Wasafwa ni kabila toka jamii ya wabantu wanaozungumza lugha yenye uhusiano wa moja kwa moja na kibantu yaani lugha ya kisafwa. Kwanza...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Msipotambua ukweli kwa hakika mtapata tabu sana. 1.Ni katika awamu hii tumeambiwa makinikia yetu yana thamani ya matrilioni 2.Kama haitoshi,ni watu awamu hii wakatuambia Acacia tunawadai kodi ya...
0 Reactions
1 Replies
989 Views
Ukweli kuna wakati unafikia hapa duniani inakuwa kama hujawahi kuwepo, kila binadamu ni historia baada ya kuondoka kwake, Leo nimemkumbuka sana ndugu yangu member mwenzetu wa siku nyingi hapa JF...
4 Reactions
3 Replies
3K Views
Biashara ya utumwa ilikuwa udhalilishaji mkubwa wa utu, kuendelea kuitunza kumbukumbu hii na kuwaonyesha watoto wetu ni sawa sawa na mzazi kuendelea kutunza chupi yenye damu ya mtoto wake...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Sera za Raisi wetu wa awamu ya tano ni nzuri sana kujenga Tanzania ya viwanda ili kuiwezesha kuingia katika uchumi wa kati lakini je swali la kujiuliza itawezekana kwenda sambamba na uwezo wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
naomba kuifahamu historia ya Martin Kayamba
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Sera za Raisi wetu wa awamu ya tano ni nzuri sana kujenga Tanzania ya viwanda ili kuiwezesha kuingia katika uchumi wa kati lakini je swali la kujiuliza itawezekana kwenda sambamba na uwezo wa...
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Kwa hali inayoendelea sasa nchini na ndani ya CCM, sio tu kunaua upinzani lakini pia inadhohofisha vyama vyote mpaka CCM yenyewe na hilo halina ubishi. JPM na Polepole hawaamini katika siasa za...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi mabaki ya yule mjusi mkubwa duniani Dinosaurs aliyechukuliwa na wajerumani Lindi mwaka 1909-1913 wakayapeleka kwao yamesharudishwa nchini? Huu ni urithi wetu angeletwa tungeingiza kipato...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
........ Hivi sasa kuna wimbi kubwa sana la viongozi wa vyama viwili vikuu vya upinzani kujivua uanachama wao kutoka vyama vyao na kujiunga na CCM kwa madai yanayofanywa, wako wabunge , madiwani...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna jamaa anajiita Chalanga, jamaa mshenzi sanaa, Jamaa ni mmirki wa Chuo cha ndege maalufu cha ndege hapa nchini chenye matawi yake tanzania nzima. Jamaa kwanza kabisa anajifanya usarama wa...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Back
Top Bottom