Marry Ngowi
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 262
- 293
ok
Nilichosema si kufuta izo topics bali ni kuziondoa kwa watoto wetu huko msingi na sekondari wasipoteze kujiamini na tuzisome tukiwa wakubwa chuoni, matured! mimi ni muathirika wa hizo topics ndo maana nilipigana kufika ulaya! na sasa napigana kurudi nyumbani baada ya kuionja ulaya tunayoipigania kufika!
Naona wengi hamjamuelewa dada yetu. Hamaanishi zisifutwe kabisa, anachosema zifundishwe wakati vijana wako well matured. Na hapa ni ktk higher learning institutions.
naamini one day hizi topics zitafutwa na tutapata pure African scholars si kama sisi tulioumizwa na kutukuza uzungu![/QUOTE
Nikiri kuwa sikukuelewa vizuri mwanzoni. Lakini hata sasa baada ya ufafanuzi wakoNilichosema si kufuta izo topics bali ni kuziondoa kwa watoto wetu huko msingi na sekondari wasipoteze kujiamini na tuzisome tukiwa wakubwa chuoni, matured! mimi ni muathirika wa hizo topics ndo maana nilipigana kufika ulaya! na sasa napigana kurudi nyumbani baada ya kuionja ulaya tunayoipigania kufika! naamini one day hizi topics zitafutwa na tutapata pure African scholars si kama sisi tulioumizwa na kutukuza uzungu!
Sawa. Lakini nadhani hoja yangu bado ni "valid" hata baada ya ufafanuzi ulioutoa.Nilichosema si kufuta izo topics bali ni kuziondoa kwa watoto wetu huko msingi na sekondari wasipoteze kujiamini na tuzisome tukiwa wakubwa chuoni, matured! mimi ni muathirika wa hizo topics ndo maana nilipigana kufika ulaya! na sasa napigana kurudi nyumbani baada ya kuionja ulaya tunayoipigania kufika! naamini one day hizi topics zitafutwa na tutapata pure African scholars si kama sisi tulioumizwa na kutukuza uzungu!
Sasa wewe Marry; Universities watu wana specialize unless uniambie zisomwe na wanaochukua BA's an the like. Sioni umuhimu wa mtu anayesomea Engineering, IT, Electronics, Medical and Natural Sciences, and the like eti asome habari za Tip Tipu. Huo ni zaidi ya mzaha unatuletea hapa. By the way zitakuwa Core au Elective?Nilichosema si kufuta izo topics bali ni kuziondoa kwa watoto wetu huko msingi na sekondari wasipoteze kujiamini na tuzisome tukiwa wakubwa chuoni, matured! mimi ni muathirika wa hizo topics ...
Basi kuna tatizo katika uandaaji wa hizo topics. Muhimu flow iwe in such a way that watoto hawatajihisi dhalili bali iwe chachu ya wao kujiamini zaidi.Apo uliposema kuwa hizi topics zinamfanya mtto mdgo anakua akijua wazungu na waarabu ni bora kuliko waafrika nahis hujakosea big up__________
Ziwe core courses kwa Engineering, IT, Medicine? Sijaelewa hapa. Tena kwa kuwa maturity ni kigezo muhimu anachopendekeza, basi zifundishwe level ya PhD kabisa au post doctoral.Naona wengi hamjamuelewa dada yetu. Hamaanishi zisifutwe kabisa, anachosema zifundishwe wakati vijana wako well matured. Na hapa ni ktk higher learning institutions.
Nadhani anachojaribu kukitetea mleta mada ni kwamba liwe kama somo la ziada ngazi ya chuo. Ni kama kwa wanafunzi wa somo la GS ngazi ya Advanced Level. Tatizo ameukimbia mjadala na kushindwa kuitetea hoja yake.Ziwe core courses kwa Engineering, IT, Medicine? Sijaelewa hapa. Tena kwa kuwa maturity ni kigezo muhimu anachopendekeza, basi zifundishwe level ya PhD kabisa au post doctoral.
Sorry utanisamehe kwa kutomalizia post yako kusoma had mwisho...Leo nimeamua kufunguka na ninaomba Mungu sana Mh Waziri wa elimu na taasisi ya ukuzaji mitaala Tanzania isome hii comment yangu thread yangu, ni hivi, mimi ni mwalimu ( nina diploma ya ualimu na nimefundisha somo la historia kwa shule kadhaa za sekondari O and A level kwa miaka kadhaa na nina BA ya Mlimani na Masters ya Social Welfare ya ulaya! na ninaishi ulaya miaka kadhaa now! iko hivi huku ulaya hawasomi kuhusu historia ya Afrika kwenye level za chini ni hadi ufike University ndo unaanza kusoma habari za Afrika! wanajua umuhimu wa historia zao na mila na tamaduni zao! watu wengi hawajui kwa undani kuhusu Afrika zaidi ya jina tu! kuna wazee wa kizungu ukiwaambia unatoka Tanzania wanakuuliza hiyo nchi iko wapi! ninapenda sana kuanzisha mjadala wa kufuta Topics mbili za somo la historia kwa shule za msingi na za sekondari!
Ninapendekeza Topics za Slave Trade na Colonialism zifutwe kwenye mtaala wa shule za msingi na sekondari Tanzania.
Hizi topics ni miongoni mwa topics zinazoendeleza unyonge wa Mwafrika na kufuta historia ya Afrika na kuondoa kujiamini kwa mwafrika, zinapoteza kabisa mila na desturi zetu!
Hizi topics zinamfanya mtoto mdogo washule ya msingi anaposoma , kukua akijua wazungu na waarabu ni bora kuliko waafrika na wana nguvu na weledi kuliko mwafrika na kumfanya mtoto angali mdogo kutamani kila kitu cha ulaya!
Hizi topics zinashusha thamani ya mwafrika na kumfanya kuabudu ulaya! ni topics zinazobeba sehemu kubwa ya somo la historia na kupoteza ufundishwaji wa historia yetu kama nchi na makabila yetu na mashujaa wetu na sayansi yetu na civilization ya yetu ya mwafrika!
Ukweli ni kuwa ulaya pia kuna shida nyingi na kuna wazungu wengi omba omba huku ulaya, na wanaomba kila mtu anaepita njia hata mwafrika!
Wakati umefika sasa tunahitaji kuwafundisha watoto wadogo mashuleni mila na desturi zetu na hayo ya slave trade na colonialism wakasome University wakiwa matured!
Ni vizuri pia tukisoma kwa kiswahili kuanzia msingi hadi chuo ili tuelewe tunachokisoma! ni hayo tu! naomba kuwasilisha!