Nimeona ni vizuri niandike Makala hii ili waungwana akina Pascal Mayalla na wenzake wa some na waelewe ninachokusudia. Viongozi na waandishi wengi nchini mwetu huwa hawana dhamira njema ya kutaka...
Sera hiyo ililenga kuvipatia Uhuru wa bandia na kuvitenga moja kwa moja na mwambao wa Kenya (Mombasa) na kuiviunganisha na Tanganyika. Lengo la Sera hii ya Uingereza ni kupunguza nguvu ya Waislamu...
Katika dini tulifundishwa kwamba binadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa Adam na Eva, na nilipokuwa shule, napo nilifundishwa kuwa chanzo cha binadamu ni nyani, halafu akawa anabadilika hadi kufikia...
Japo wengi wataguna lakini nina imani nitajitetea vizuri tu.
Historia ya Afrika na mtu mweusi ndio imekuwa gumzo tangu karne ya 17 na ndio iliyosababisha mgawanyo wa bara la Afrika. Ukarimu wa...
Kifo cha al-Baghdad: Marekani imeufunga ukurasa wa kitabu chake yenyewe.
Ibrahim Awad Ibrahim Ali al-Badri al-Samarrai huwenda likawa jina jipya kabisa kwa wasomaji na wafuatiliaji wa siasa za...
KITABU KIPYA: WATU MASHUHURI KATIKA UHURU WA TANGANYIKA - SALUM MPUNGA, YUSUF CHEMBERA NA PETER MHANDO
KITABU CHA PILI
Kitabu kipya kufuatilia cha kwanza kilichoeleza mchango wa Sheikh...
Nisiwachoshe sana kama kichwa kinavyo Sema humu yashazungumzwa mengi kuhusu Israel na palestina hizi ni nchi mbili tofauti kila mmoja anajivunia yeye ndo mzawa na mengine mengi Sasa mimi shida...
Tunaambiwa katika kipindi chake chote cha cha miaka 23 kama Rais wa Tanzania Mwalimu Nyerere alisaini hati chache sana za kunyongwa watu waliopatikana na makosa mahakamani na kupewa adhabu ya...
Mzee Kissinger baada ya miaka 16 kupita toka ilipotoka tafasiri ya Kiswahili cha kitabu cha Abdul Sykes ndiyo kwanza kakisoma sasa na ananieleza kuwa amekuwa akikisoma usiku hadi amekimaliza...
Miaka michache baada ya Tanganyika kupata Uhuru, nchi yetu ikabadili mfumo wa siasa na kuwa na siasa ya chama kimoja. Hivyo chama cha TANU kikawa ndicho chama pekee cha siasa nchini. Katika...
Wadau nadhani sote tunamjua aliyekuwa Rais wa Zanzibar Salmin Amour.Rais Huyu amekuwa haonekani kwenye shughuli mbalimbali kama Marais Wastaafu wanavyoonekana,ziwe za Chama au Serikali je tatizo...
St Luke, ambae pia ni Lucius of Cyrene, (alie ambatana mara kwa mara na Mtume Paulo, kwenye safari mbali mbali za ki injili), ambae pia ni mwandishi wa kitabu cha injili ya Luka na kitabu cha...
MUENDELEZO KUTOKA AN-NUUR JUMA LILILOPITA...
NYARAKA ZA SYKES NI MUHIMU KATIKA HISTORIA YA MWALIMU NYERERE,TANU NA UHURU WA TANGANYIKA
Nyaraka za Sykes ni muhimu katika Historia
*Kuna barua...
Wanabodi,
Salamu ziwafikie wote.
Nia yangu sio mbaya, ila baada ya kutafakari na tafakuli ya muda mrefu na kushindwa kupata jawabu nimekuja kwenu.
1. Kujua asili ya watu weusi
2. Chanzo chao cha...
Wadau mimi naomba kuuliza hivi:
Kwa nini Alexander The Great hakupiigana vita na kuziteka nchi za Ulaya Magharibi vile vile na zile za Ulaya Kaskazini ambako kuna maendeleo makubwa?
Badala...
Wadau mimi ni mgeni humu lakini napenda uzi wangu wa kwanza kabisa huku uwe unahusu historia mahiri ya tawala za kale ambazo zimeleta ushawishi mkubwa kwenye siasa na ustarabu wa leo
Mesopotamia...
Thomas John Brokaw ni mwandishi wa televisheni wa Amerika , anayejulikana zaidi kwa kuwa mchapishaji na mhariri mkuu wa NBC Nightly News kwa miaka 22. Yeye ndiye mtu pekee aliyekaribisha programu...
There is an entire catalog of almost unbelievable deaths of royal people. Such as Henry I, who was king of England from 1100 until 1135. He died a rather bizarre death, supposedly caused by a meal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.