Kwa kawaida, Kambona alijua au alikuwa amearifiwa mapema kuhusu maasi ya Dar es Salaam katika vitengo vya usalama vya Tanganyika na maafisa wa Kiingereza ambao bado waliitumikia Serikali ya...
ABDULWAHID SYKES KATIKA "THE MAKING OF TANGANYIKA" NA JUDITH LISTOWEL
Maggid Mjengwa:
Judith anaeleza pia kushindwa kwa Abdul Sykes kwenye kugombea urais wa T. A. A. Jambo hili ningependa Mwalimu...
KITABU CHA JUDITH LISTOWEL ''THE MAKING OF TANGANYIKA.''
Katika vitabu vyote vilivyopata kuandikwa kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika na historia ya TANU, kitabu kilichokaribu na ukweli...
Wakuu Wasalaam?
Naomba kujua historia ya hii picha maana nimekuwa naona tu mitandai naomba kujua;-
1. Huyu mtoto anaitwa nani?
2. Na kwanini anaonekana kafungwa minyororo?
3. Alikuwa raia wa...
Nimeishi Uingereza kwenye mji mmoja unaitwa Cardiff ambao ni mji mdogo ulioko Wales na kwa kawaida kwa Waingereza watu wa Wales wanadharaulika wanaonekana washamba.
Neil Kinnock alipata kugombea...
MY LIFE MY PURPOSE
KUMBUKUMBU ZA RAIS BENJAMIN WILLIAM MKAPA
Rais Mkapa ameandika kitabu cha historia ya maisha yake na ni historia ya Tanzania na kwa hakika ni historia inayoanza wakati wa...
Hii ni bendera wakati tuko chini ya Wajerumani 1885-1919
Flag of Deutsch-Ostafrika (1885-1919)
Hii ni wakati tuko chini ya Mwingereza 1919-1961
Flag of Tanganyika (1919-1961)
Hii ni...
Naongea kwa msisitizo sasa dawa ina chemka sasa ni wakati mwafaka wa kuwa na chama kimoja tu.Narudia dawa inachemka
Tumechoka makelela na majukwaa yasiyokuwa na tija kwa taifa.
Wanawake...
unaweza kuwa unajiuliza nini kilipelekea mpaka zaire ikaanguka ?, sababu wengi wanayoijua ni laurent kabila kusaidiwa na rwanda na uganda,lakini anguko la zaire lina mengi, kwa kuanza nitaelezea...
Vikosi vya NATO vilimuondoa madarakani kwa nguvu za kijeshi kwa madai kua alikua anawaua wananchi wake kwa kuwashambulia kwa ndege,mmmh!
Hivi wao ni wasafi na wana uchungu sana na bara Afrika...
HOTUBA YA MWISHO ALIYOIANDIKA QADAFFI
QADAFFI ANAANZA HIVI:
"Kwa jina la Mwenyezi Mungu (Allah), Mungu mpaji, na mwenye rehema....
Kwa miaka takribani 40 ama ilikuwa zaidi sikumbuki...
OMAR AL-MUKHTAR, SIMBA WA JANGWANI ANAYE TAZAMWA KAMA BABA WA TAIFA NA MWASISI WA TAIFA LA LIBYA, NI KIONGOZI ANAYE HESHIMIKA MNO ULIMWENGU WA KIARABU.
Na. Comred Mbwana Allyamtu.
Tuesday...
Hii Ni sera ya kiulinzi ya taifa la israel na jeshi lake ambayo inasisitiza na kutamka wazi kuwa ikiwa Israel itashambuliwa na aui na hapohapo marafiki zake wakubwa kama USA uk German Italy France...
Utamaduni wa kutengeneza vitenge kutumia wax ulianzia Indonesia katika kisiwa cha Java. Vitenge vilitengenezwa kwa kutumia kitambaa cha batiki. Wax ya nyuki ilipochanganywa na rangi za nguo...
Bongo Hapo Zamani:
NYERERE ALIPOONGOZA KIKAO KILICHOIUA TAA NA KUZAA TANU
Kwenye kichumba kidogo kisichokuwa na hewa ya kutosha, Julius Nyerere alikaa kwenye kiti chenye meza. John Rupia alikaa...
SHAJARA YA MWANA-MZIZIMA:
Buriani Mwalimu Wetu Bi ‘Maalima’ Bahiya
Na Alhaji Abdallah Tambaza
JUMAMOSI ya Oktoba 19, mwaka huu, itabakia kuwa siku ya huzuni kubwa sana kwa umma wa Kiislamu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.