Jukwaa la Historia

On JF:

Leo ni miaka 56 tangu Mwanaharakati Mr.El Hajj Shabazz maarufu kama Malcolm Little daima tutakukumbuka kwa Mengi aliyoyafanya japo tumeyakuta kwenye historia. Endelea kupumzika kwa Amani MALCOLM...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
AZAM TV KARUME DAY: ABEID AMANI KARUME - "THE MASTERMIND" MAHOJIANO NA IRENE KILENGA 2015 Picha hiyo hapo chini ya Mzee Abeid Amani Karume ilipigwa Dar es Salaam mwaka 1948. Kushoto waliokaa ni...
4 Reactions
7 Replies
3K Views
Darius Philip alizaliwa Tanganyika, wazazi wake walivutiwa na utawalawa wa British East Africa Empire na kusikia Tanganyika kuna ardhi kubwa walihamia miaka ya 1940 na kufanya kilimo cha biashara...
5 Reactions
4 Replies
1K Views
KITENDAWILI CHA PICHA YA WAASISI WA TANU 7 JULAI, 1954: "NOW YOU SEE HIM NOW YOU DONT" Nimepokea ujumbe huo hapo chini: Asalam Aleikum Warahmatullah Wabarkatuh, Poleni kwa msiba, wanasema hiyo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwaka 2021, Tanzania inaomboleza kifo cha kiongozi wake wa nchi aliyefariki akiwa madarakani, John Pombe Magufuli aliyefariki kwa ugonjwa wa moyo. Hii hapa orodha ya Wakuu wengine wa nchi za...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
HADITHI YA PASAKA KISA CHA YAHUDI JUDAH BEN HUR NA MRUMI MESSALA KATIKA MOVIE ‘’BEN HUR’’ THE STORY OF CHRIST Mwandishi wa kitabu Ben Hur Lew Wallace alikuwa askari wa cheo cha juu katika jeshi...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Taj Mahal (Kiajemi تاج محل‎ - tāj-maḥal, taji la mahali) ni jengo zuri la kaburi lenye umbo la msikiti mjini Agra (Uhindi). Mara nyingi huhesabiwa kati ya majengo mazuri duniani. Taj Mahal. Taj...
8 Reactions
14 Replies
2K Views
KENYA ABDALLAH HASSAN KATIBU MKUU WA KWANZA MUISLAM WIZARA YA ELIMU AMEFARIKI Kenya Abdallah Hassan nimemfahamu toka utoto wangu Moshi katika miaka ya 1960. Siku hizo mimi nikiwa shule ya msingi...
8 Reactions
120 Replies
12K Views
Habari zenu wadau, katika pitapita zangu nimekutana na mwandishi mmoja anayedai kuwa mtu anayefahamika kwa jina la Nelson Mandela, si huyu tunaye mfahamu sisi, Nelson original alifia jela mwaka...
22 Reactions
179 Replies
42K Views
Tunapo sherekea Pasaka tukumbuke Martin Luther aliuwawa tarahe kama ya leo mwaka 1968.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Katika watu ambao nimekutananao na kuwakuta wana maktaba kubwa za kushangaza, nitawataja watatu wengine nitawabakisha kwa siku nyingine In Shaa Allah. Marehemu Sheikh Mohamed Ayoub wa Tanga siku...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
PICHA HIZI ZA JENGO LA AL JAMIATUL ISLAMIYYA FI TANGANYIKA ZINASEMA MANENO ELFU MOJA Picha hizo hapo chini za majengo mawili ya Al Islamiyya fi Tanganyika zimekuwa ndani ya Maktaba kwa zaidi ya...
6 Reactions
29 Replies
4K Views
MUDDYB MWANAHARAKATI MWANDISHI KIJANA ALIYE NA KALAMU INAYOSEMA Kawaida ya kalamu kama itasikika basi mlio wake ni nibu inakwaruza karatasi. Lakini si kalamu ya Muddyb. Hii "b" ambayo...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Ka kuna mtu humsikia akitajwa Mara nyingi zaidi ya lundo, Nn huyo bingwa hapo. Ila ndo sijawahi pata mjuzi aliejuzwa barabara taarifa zake Ila nae aniambukizie kiaina. Kwa yeyote mzalendo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sheikh Ilunga akiendesha darsa Thakafa Mwanza 2010 Sheikh Ilunga alikuja Tanga katika miaka ya katika ya 2000 na alikuwa anafanya mihadhara yake katika msikiti mmoja mdogo kwani viongozi wa...
6 Reactions
36 Replies
6K Views
Historia ya Tanzania ilianza na wakoloni wa Ulaya. Karne ya 18 ilikuwa na dola ndogo za miji katika mwambao baada ya kukaliwa na waarabu kutoka Oman. Ilikuwa karne 7 baadae mwaka 1499 wakati...
4 Reactions
26 Replies
6K Views
Historia ya Tanganyika na kwa makusudi nataka nianze na hii kwa kuwa mimeitafiti na kuandika kitabu ambacho naamini sote tunakifahamu. Umuhimu wa historia hii unasimama kwenye historia ya kudai...
1 Reactions
0 Replies
853 Views
Kijue kisa cha bwana Josef Fritzl, baba mzazi aliyemshikilia bintiye mateka kwa miaka 24, bila kuona jua wala mwanga wake, akambaka zaidi ya mara 3000 na kumzalisha watoto 7 huko nchini Austria...
16 Reactions
78 Replies
11K Views
TUTEMBEE KWENYE BARABARA YA KUMBUKUMBU KUTOKA USUKUMANI KWA CHIEF MAKWAIA MOHAMED MWANDU (1905 - 1945) HADI KARIAKOO KWA ABDULWAHID KLEIST SYKES (1924 -1968) Chief Makwaia Mohamed Mwandu ndiye...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari za asubuhi! ningependa jua huyu aliyeko katikati ya Nyerere na huyo mzee mwingine ni nani huyu? Kwa sasa yuko wapi? ningependa sana mjua huyu jamaa..asanteni
6 Reactions
62 Replies
13K Views
Back
Top Bottom