Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Habari viongozi, ninataka kujiunga chuo cha ARUSHA TECHNICAL COLLAGE ila nataka kujua kama dirisha la maombi ya usajiri tayari au bado? na kama bado ikiwa tayari naomba mnijulishe kwa mnao jua na...
2 Reactions
43 Replies
500 Views
ATTENTION ATTENTION Attention! Tunahitaji walimu wa Home Tuition kwa ajili ya kufundisha katika maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam. 1. Mwalimu wa Pure English in Literature Awe na uwezo wa...
0 Reactions
4 Replies
119 Views
Anonymous
Walimu tulioajiriwa mwaka 2025/2026 katika Wilaya ya Babati Vijijini tunaomba kuwasilisha kero ya kutolipwa fedha zetu za kujikimu tangu tulipoanza kazi mwezi Februari. Tumekuwa tukifuatilia...
0 Reactions
0 Replies
17 Views
Hey Guys, naomba ushauri kwa mwenye experience anaejuwa kuhusu kati ya hizi kozi mbili which one is much better to study? Job availability NGOs, private sectors and Government.
0 Reactions
4 Replies
94 Views
Msaada kama kichwa hapo juu kinavyojieleza asante
0 Reactions
0 Replies
51 Views
Kwa ufaulu wa one ya nane ya cbc hgl na mathematics c ya olevel naweza kuchaguliwa chuo Cha NIT kwa kozi ya it,hr na shipping and port logistics
1 Reactions
15 Replies
208 Views
Vifuatavyo ni vyuo vikuu bora Africa Mashariki 2026: 1. Chuo kikuu Addis Ababa ( Ethiopia) 2.Chuo kikuu Makerere(Uganda) 3.Chuo kikuu Nairobi( Kenya) 4.Chuo kikuu cha Khartoom ( Sudan) 5. Kenyatta...
6 Reactions
23 Replies
513 Views
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kuipeperusha bendera ya Tanzania katika jukwaa la kimataifa, baada ya kutunukiwa cheti “AI for Good Innovate for Impact Winner” na Taasisi ya International...
2 Reactions
6 Replies
117 Views
Hey Guys, naomba ushauri kati ya hizo kozi 2 hapo ipi ipo marketable na job availability kwenye NGOs, Private sectors and Government. Mwenye uelewa au ambae amesoma kozi moja kati ya hizo
0 Reactions
0 Replies
69 Views
Fikiria miaka 7 shule ya msingi.Miaka 6 secondary na mwezi mmoja JKT. Hapa kwenye chuo inategemea ila miaka 3 na kuendelea kulingana na taaluma. Total:7+6+3=miaka 16 yupo shuleni. Nchi zenye...
1 Reactions
4 Replies
128 Views
Vijana wa six mnakazi ya kufungua nyuzi kila kukicha mnaulizia kozi hii ntapata kwa matokeo haya. Wale wenye DIVISION 2 NA 3.NJE YA NCHI KUTAWAFAA ZAIDI COMPETITION YA NDANI NI NGUMU NYIE KUPATA...
1 Reactions
0 Replies
110 Views
Anonymous (54df)
Wanachuo wa mwaka wa kwanza radiology kutoka chuo cha nkinga institute of health sciences wameambiwa walipe shilingi Laki mbili ya field kwenye account ya chuo halaf wakienda field wanajitegemea...
1 Reactions
1 Replies
203 Views
Wanafunzi wa Sauti Mwanza wakisifia chuo chao, unaweza kuhisi unakosa kitu cha kipekee, kuna kipindi walikuwa wanajitutumua hadi kujilinganisha na UDSM, UDOM, MZUMBE, n.k. nilikuwa nadhani ni...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Huenda si kwamba hana uwezo. Wakati mwingine mwanafunzi anahitaji mwalimu anayemfuatilia kwa karibu, anayegundua changamoto zake na kumsaidia kuelewa masomo hatua kwa hatua. Elite home tuition...
4 Reactions
4 Replies
122 Views
Anonymous
Mimi ni mmoja wa wanafunzi wa Chuo cha Sheria Tanzania (Law School of Tanzania), naomba kupaza sauti kuhusu uamuzi wa chuo kutangaza kuwa wanafunzi wote wa Kundi la 42 pamoja na Kundi la 40...
2 Reactions
16 Replies
350 Views
Jamani naomba ushauri nimesoma form six PCM kwa ufaulu wa EED kuna watu wamenishauri kwamba naweza kusoma degree kwa baadhi ya vyuo binafsi je ni kweli.?
5 Reactions
29 Replies
494 Views
Mabasi ya chuo hayana seatbelts, na inatokea safari za masafa marefu kuenda kwa mfano Tanga, Moshi, Pwani, kitu ambacho sio salama Wanafunzi tunatamani waboreshe hayo mabasi au wabadilishe...
0 Reactions
0 Replies
45 Views
Wito kwa Uongozi wa DIT kuhusu usalama wa wanafunzi Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa Shahada ya Kwanza (Bachelor) katika Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology (DIT). Ningependa...
0 Reactions
1 Replies
75 Views
Hoja ya awali ya Mdau ~ Shule ya Sekondari Kipande, Wilayani Nkasi - Rukwa haina madawati, Wanafunzi wanakaa chini Mtakumbuka tarehe 15/07/2026 mtandao wa Kijamii wa JamiiForums ulitoa taarifa...
0 Reactions
6 Replies
154 Views
Anonymous
Kuna tabia ya VETA kipindi cha kutunga na kusahisha mitihani, wanawatumia wastaafu na watumishi wasiokuwa wa VETA. Mfano: mtihani wa mwezi wa sita wa Level III uliofanyika 2026: kuna kituo x...
0 Reactions
5 Replies
120 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…