Sema nini wakuu degree ni utapeli tu

_20231202_110459.JPG
 
Degree zenye maana ni zile zimebase kwenye kitu mahususi tuu kama ulivyosema udaktari, ualimu, engineering yenyewe inakuja inakataa hivi.

Hizi nyingine sijui Human resource, public administration ni utapeli tuu ndo zinatuzalishia wakina february.
Labda wabadili content lakini hadi sahivi zimeprove nothing uraiani.
 
Wakuu degree bongo hii degree zinatumika Kwa ufasaha ni mbili tu. Ya udokta na uwalimu hizo nyingine ni kanyaga twende tu yaani Zinakuwa kama useless.
Mkuu kama ulienda chuoni kukariri notes hapo sawa.....

Mm nilienda chuo kusoma Ili niweze kuya tawala maisha yangu 😊 kuziona fursa na kucheza nazo Ili kujipatia kipato na ndicho nacho kifanya Kwa Sasa japo nilichelewa kujua....

Any professional is a scam kama muusika ataamua kukariri notes na kuacha kutumia mbongo yake kuweza kuchekecha pumba na mchele...

Wasalaam
Kwa Sasa +267
 
Mkuu kama ulienda chuoni kukariri notes hapo sawa.....

Mm nilienda chuo kusoma Ili niweze kuya tawala maisha yangu kuziona fursa na kucheza nazo Ili kujipatia kipato na ndicho nacho kifanya Kwa Sasa japo nilichelewa kujua....

Any professional is a scam kama muusika ataamua kukariri notes na kuacha kutumia mbongo yake kuweza kuchekecha pumba na mchele...

Wasalaam
Kwa Sasa +267
Kutawala maisha hakuhitaji degree mkuu elimu ya kutawala maisha ni form 4 au form 6
 
Mkuu kama ulienda chuoni kukariri notes hapo sawa.....

Mm nilienda chuo kusoma Ili niweze kuya tawala maisha yangu 😊 kuziona fursa na kucheza nazo Ili kujipatia kipato na ndicho nacho kifanya Kwa Sasa japo nilichelewa kujua....

Any professional is a scam kama muusika ataamua kukariri notes na kuacha kutumia mbongo yake kuweza kuchekecha pumba na mchele...

Wasalaam
Kwa Sasa +267
Degree hizi kwenye UE unaambiwa umuelezee Henry Fayol as the father of management?
sasa huko +267 unaturingishia au?
 
Degree zenye maana ni zile zimebase kwenye kitu mahususi tuu kama ulivyosema udaktari, ualimu, engineering yenyewe inakuja inakataa hivi.
Hizi nyingine sijui Human resource, public administration ni utapeli tuu ndo zinatuzalishia wakina february.
Labda wabadili content lakini hadi sahivi zimeprove nothing uraiani.
Hata engineering yenyewe ni kizungumkuti huwezi somesha electrical engineer hafu anakuja kufanya wiring. Au mechanical engineer anakuja kufungua gerage na civil engineer anakuja kua mchora ramani.
 
Back
Top Bottom