Mechanic 97
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 506
- 827
Wakuu degree bongo hii degree zinatumika Kwa ufasaha ni mbili tu. Ya udokta na uwalimu hizo nyingine ni kanyaga twende tu yaani Zinakuwa kama useless.
Kama kufagia mabanda ya kuku ni degree basi mm Nina degree nyingi sana.We uliyezaliwa 1997, una degree ya nini? Mbona sisi wenye degree ya kufagia mabanda ya kuku zinatuweka mjini na zina faida kwetu?
itakuwa ya public administration.Mkuu una degree ya nn hio
Mkuu kama ulienda chuoni kukariri notes hapo sawa.....Wakuu degree bongo hii degree zinatumika Kwa ufasaha ni mbili tu. Ya udokta na uwalimu hizo nyingine ni kanyaga twende tu yaani Zinakuwa kama useless.
Sina degree mkuu ila kiukweli sikuwahi kupenda degree baada ya kuona hata ninavyo visoma advance kwenye real kama hivipo hivi.Mkuu una degree ya nn hio
Kutawala maisha hakuhitaji degree mkuu elimu ya kutawala maisha ni form 4 au form 6Mkuu kama ulienda chuoni kukariri notes hapo sawa.....
Mm nilienda chuo kusoma Ili niweze kuya tawala maisha yangu kuziona fursa na kucheza nazo Ili kujipatia kipato na ndicho nacho kifanya Kwa Sasa japo nilichelewa kujua....
Any professional is a scam kama muusika ataamua kukariri notes na kuacha kutumia mbongo yake kuweza kuchekecha pumba na mchele...
Wasalaam
Kwa Sasa +267
Degree hizi kwenye UE unaambiwa umuelezee Henry Fayol as the father of management?Mkuu kama ulienda chuoni kukariri notes hapo sawa.....
Mm nilienda chuo kusoma Ili niweze kuya tawala maisha yangu 😊 kuziona fursa na kucheza nazo Ili kujipatia kipato na ndicho nacho kifanya Kwa Sasa japo nilichelewa kujua....
Any professional is a scam kama muusika ataamua kukariri notes na kuacha kutumia mbongo yake kuweza kuchekecha pumba na mchele...
Wasalaam
Kwa Sasa +267
Hata engineering yenyewe ni kizungumkuti huwezi somesha electrical engineer hafu anakuja kufanya wiring. Au mechanical engineer anakuja kufungua gerage na civil engineer anakuja kua mchora ramani.Degree zenye maana ni zile zimebase kwenye kitu mahususi tuu kama ulivyosema udaktari, ualimu, engineering yenyewe inakuja inakataa hivi.
Hizi nyingine sijui Human resource, public administration ni utapeli tuu ndo zinatuzalishia wakina february.
Labda wabadili content lakini hadi sahivi zimeprove nothing uraiani.
Ulisoma arts labda, ila kama ulisoma science vitu kama Benzene, electronics na bios mbona viko kwenye reality.Sina degree mkuu ila kiukweli sikuwahi kupenda degree baada ya kuona hata ninavyo visoma advance kwenye real kama hivipo hivi.
Kama inauma chomoa🤓🤓Degree hizi kwenye UE unaambiwa umuelezee Henry Fayol as the father of management?
sasa huko +267 unaturingishia au?
Hao ni wachache kati ya wengi, mbona wengi tuu wako kwenye makampuni makubwa ya construction.Hata engineering yenyewe ni kizungumkuti huwezi somesha electrical engineer hafu anakuja kufanya wiring. Au mechanical engineer anakuja kufungua gerage na civil engineer anakuja kua mchora ramani.
Vingi viko in nature lazima uwingie lab uvilete kwenye maisha ya kawaidaUlisoma arts labda, ila kama ulisoma science vitu kama Benzene, electronics na bios mbona viko kwenye reality.
Kumbe mzee huna degree ndo maana unahisi wenye degree tumesomea ujinga?
Najuta kuku-support.
Mkuu,Kutawala maisha hakuhitaji degree mkuu elimu ya kutawala maisha ni form 4 au form 6
Yaani hizo construction zinazofanyika bongo na hiyo degree ya miaka minne haendani kabisa.Hao ni wachache kati ya wengi, mbona wengi tuu wako kwenye makampuni makubwa ya construction.