Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Anonymous
Tunaomba waziri wa sayansi na elimu ya juu na Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) mtusaidie tuweze kupata wahadhiri wa kutufundisha masomo ya tiba kwa njia ya vitendo ngazi ya shahada ya kwanza (...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Anonymous
Wanafunzi wa UDOM college ya Education, wakati chuo kinafungwa kwa wiki moja tu, wanafunzi wanaobaki wanaambiwa kulipia tshs 5,200 ya hosteli ilihali malipo ya hosteli yamefanyika kwa mwaka...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Wanafunzi wa chuo cha afya na sayansi shirikiri Tabora, wamekuwa wakipitia changamoto ya kupewa matokeo yasiyo sahihi kwa muda mrefu sasa, hali ambayo imepelekea wengine kupewa barua za...
0 Reactions
0 Replies
312 Views
Asikwambie mtu watu wanataka A's na hela tu mengine mtajua wenyewe wazazi 1. watoto wanakalishwa madarasani kama wafungwa 2. wanakaririshwa midude hadi wanachanganyikiwa 3. watoto hawako huru...
0 Reactions
4 Replies
391 Views
Wakuu Naombeni msaada nipeta AVN NUMBER lakini kila nikiomba chuo sehemu ya kueka AVN INASEMA no data found shida ni Nini ?!
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Orodha ya Watu Waliosoma Computer Science na Wamefanikiwa 1. Elon Musk - Mwanzilishi wa SpaceX na Tesla(Japo alisoma physics na economics lakini Computer science imemtoa) 2. Mark Zuckerberg -...
7 Reactions
31 Replies
2K Views
Naomba aliye na katiba ya Chama Cha walimu Tanzania (CWT) soft copy anisaidie
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwa mwenye nazo msaada please!!
0 Reactions
2 Replies
280 Views
Kwanza poleni na majukmu, Zingatia title ya uzi hapo juu,, kiufupi hii ni kozi ya mwaka mmoja ambayo mara nyingi inachukua wale ambao wamemaliza bachelor degree zao tofauti na education na...
3 Reactions
20 Replies
4K Views
Comrades and colleagues, Here is the opportunity to develop a career in the teaching profession in a flexible manner. You will study while continuing with your work, without interruption. Read...
1 Reactions
23 Replies
12K Views
Great Lakes University of Kisumu (GLUK). Kenya. Diploma in Community Health & Development DIPLOMA IN COMMUNITY HEALTH & DEVELOPMENT COURSE UNITS Year I – Semester I CHD 0111 Introduction to...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Kwa vyuo vilivyopo DSM? Based on management and health not medical
2 Reactions
0 Replies
283 Views
Habarini wana jf,hamjambo? Kama kilivyo kichwa cha habari,naamini humu kuna wajuzi wengi wa elimu mbalimbali,ni kwamba jambo hili limekuwa likinikereketa kwa mda mrefu sasa,ni hivi huwa...
2 Reactions
2 Replies
390 Views
Kwanza niwape pole walimu na pia wale wote waliohusika hadi kutufikisha hapa na kutupa uelewa kupitia wa elimu.Miaka ya 90 watu walisoma wakubwa lakini walikuwa watiifu sana wa kufata maelekezo na...
1 Reactions
1 Replies
293 Views
Mazeru karate,is a self defense system, that combined techniques from jujitsu,karate,aiki do,Kung Fu and many self defense systems. Students learn to defend against common attack such as punches...
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari wakuu Natanguliza shukurani Mimi ni muhitimu wa Diploma in Insurance and Risk Management, but nataka niende degree this year, ila nahitaji kubadilisha course ambayo iko marketable...
1 Reactions
12 Replies
928 Views
Naombeni msaada ni file gan au app gani mzuri ambayo unaweza ukaingiza nyaraka na ukaziserch zikaja kama (contacts number)
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Kumekua na sintofahamu huko duniani inayoonekana vijana wengi wasomi wakisota mitaani kwa ugumu wa maisha kuliko vijana ambao hawajaenda shule au ambao siyo wasomi wa kiwango cha juu . Wapo...
3 Reactions
4 Replies
644 Views
Kusema ukweli kuna kitu hakipo sawa kwa sasa! Miaka 20 iliyopita division 3 kuipata ilikuwa kipengele sana, Hata waliopata walikuwa nauwezo flani hivi kiakili! Sasa hivi siyo ajabu mtu ambae...
7 Reactions
27 Replies
1K Views
Wana JF, Vipi, samahani nimeshangazwa na utaratibu wa Chuo cha MUM Morogoro kwamba lectures zinaendelea Jumamosi na Jumapili, kiufupi hamna siku free. Hii imekaa vipi kitaaluma?
5 Reactions
75 Replies
15K Views
Back
Top Bottom