Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Wanafunzi wa UDSM tuna uhaba wa usafiri wa kutokea Main Campus (Chuo) kuelekea Mabibo Hostel, magari hayo maarufu kwa jina la SHATO. Tunalazimika kukaa muda mrefu tukisubiri usafiri, inadaiwa...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Jaman vipi kuhusu hizi koz
3 Reactions
20 Replies
668 Views
Kuna application ya artificial intelligent inaitwa chatGPT. Sasa hivi wanafunzi wetu hawafikirii! Mzungu katumaliza kabisa! Kila kitu anaulizwa huyu jamaa na yuko vizuri kila idara! Tunaingia...
4 Reactions
11 Replies
851 Views
Mtu anaejifunza karate au sanaa nyingine yoyote ile ya mapigano, hupata faida nyingi sana, ikiwemo kwanza anapata uwezo wa kujihami dhidi ya wanyang'anyi, wabakaji, watekaji na wauaji. Pia...
3 Reactions
7 Replies
602 Views
Wakuu salamu. Ningependa kwa anaejua hivi Open University of Tanzania website yao imepatwa na ugonjwa gani? Kuna mdau alifanya application ya kuomba nafasi undergraduate kwa kutumia Online...
4 Reactions
45 Replies
2K Views
Ask Anything Concerning Computer Science and Engineering. If you have doubts diving into CSE. Ask anything and I'll openly answer it.
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Tanzania ! Tanzania ! Tanzania ! Habari za leo vijana wasomi. Naomba kutoa wazo hapa hasa kwa Serikali dhidi ya Vijana wa elimu ngazi ya Shahada. 1. Serikali tunaweza anzisha "VIJANA...
1 Reactions
8 Replies
771 Views
https://forms.gle/unEoTS5RH4dQ6mUA7 HAYA! Kama wewe ni msailiwa, Mtainiwa mtarajiwa, Thinker kiongozi, au mtu yeyote anayekabiliana na hali tata zinazohitaji uchambuzi wa kina ili kupata majibu...
0 Reactions
0 Replies
364 Views
Habari wakubwa,naomba kujua ni kiasi gani mchora ramani au mjenzi analipwa hapa Tanzania?
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Habari za Jioni wakuu? Leo nimeona niwashirikishe juu ya mchongo huu. Ni kuwa, hii ni Program maalamu ya kuwawezesha mabinti ambao hawakumaliza elimu ya Sekondari kwa sababu yoyote kujiendeleza...
2 Reactions
8 Replies
634 Views
Sisi ni wanafunzi tunaosoma Shahada ya Utoaji Dawa za Usingizi na Ganzi Salama (NURSE ANAESTHESIA) Shahada hii inachukua miaka minne mpaka kuhitimu. Dawa hizo ni mhimu sana katika Huduma za...
6 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari Wana bodi ,Ikiwa Leo 8/3/2025 ni siku ya wanawake duniani kwa upekee kabisa mwaka huu naomba siku hii ni-dedicate kwa mwanamke wa nguvu Mkuu wa shule Chamazi Sekondari E.Chilewa . Mama...
2 Reactions
14 Replies
843 Views
Wakuu Habari zenu. Wale walio tuma mahombi Tax Manger position na Internal Affair Officer tuchangamshe vichwa na Maswali ya Miaka ya nyuma. IMPORTANT ANNOUNCEMENT ALL CANDIDATES EXPECTED TO...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri. Binafsi nilifanya mtihani huu...
34 Reactions
539 Replies
12K Views
Habarini wana JF naombeni kuelimishwa je inawezekana kusoma computer sience ikiwa 4m4 math nilipa F na kama inawezekana ni kivipi au nifanyaje? na kama haiwezekani nisome it inawezakua na maslah...
10 Reactions
44 Replies
3K Views
Wapendwa wana jukwaa, bila shaka mu wazima. Naomba kufahamishwa ni chuo gani hapa Tanzania kinatoa kozi za Health and Safety Management?
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari wadau wa elimu, nimekuwa nikijiuliza sana juu ya hili lakini sikupata jibu lenye ukweli ndani yake. Mfano, mimi nina degree/Masters ya engineering, baada ya kuona upepo mtaani hauko vizuri...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Anonymous
Kama mdau wa elimu ya ufundi napenda kutoa shukran zangu kwa NACTVET kwa namna walivyojitahidi kuwahisha matokeo ya VETA level II mwaka huu, ni wazi maboresho ya msingi yamefanyika. Hata hivyo...
2 Reactions
0 Replies
300 Views
Habari wakuu. Mimi kijana niliyesoma Diploma ya uuguzi na ukunga nashukuru Mungu mwaka huu nimebahatika kuajiriwa rasmi Serikali. Nilikuwa na lengo la muda mrefu kujiendeleza kimasomo lakini...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
Habari WanaJamiiForums, Ninahitaji kuwa competent kwenye kuongea kingereza hivo natafuta mtu au watu ambao wako na mitazamo sawa na mimi ili tutafute namna ya kuongea japo kila siku usiku kwa...
7 Reactions
89 Replies
4K Views
Back
Top Bottom