Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Wanajamvi naomba kufahamu shule zenye combination ya ECA na EGM hapa nchini iwe ya kanisa au private au serikalini....
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana JF, Nina rafik yangu alisoma CBG akapata division II ya 12, baada ya hapo akaenda kusoma clinical medicine akapata GPA ya 4.2. Sasa anaomba msaada je akitaka kusoma Bsc pharmacy...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Wazima wana Jf. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha habari hapo juu. Nina umri wa miaka 31. Nilimaliza shule ya msingi miaka 18 iliyopita. Sikufanikiwa kuchaguliwa kujiunga na masomo ya...
8 Reactions
80 Replies
14K Views
mimi nitakuwepo mjengoni pale college ya informatics kupiga "bachelor of science in telecommunication engineering". karibuni tufahamiane wakuu.
3 Reactions
355 Replies
48K Views
Habarini wanaJF, nina mdogo wangu amemaliza form four mwaka jana na ameomba tumtafutie chuo bora cha VETA akasomee kozi ndefu ya umeme, ana pass ya C 2 na D 4 maana anapenda sana umeme so...
2 Reactions
6 Replies
775 Views
Naomba kama kuna mtu yoyote Mwenye mungozo(soft copy )wa vyuo vya afya ngazi ya diploma. Tafadhali naombeni 🙏🙏🙏
1 Reactions
4 Replies
836 Views
Huyu ni mdogo wangu amepata ufaulu huu Ila Mimi nataka aaende chuo moja kwa moja aanze certificate mpka degree Naona kwenda advance ni kupoteza muda Natamani asome Cyber security Computer...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wana jamiiforum, Rejea kichwa cha Habari hapo juu ni kwamba Nina tafuta mtu anayesoma katika Chuo Kikuu huria OUT, kozi ya procurement and supply ngazi ya Diploma lakini pia...
2 Reactions
3 Replies
681 Views
Jamani Nina mdogo angu alikuwa anasoma pale UDSM mwaka 2023/2024 alikuwa 2nd year,alipat changamoto ikamtoa mchezoni akaondoka chuo bila taarifa, Ili akatatue changamoto bahati nzuri/mbaya mtoto...
1 Reactions
8 Replies
673 Views
Je unamkumbuka Mr mbao,unakumbuka makanyagio
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari wadau napenda kufahamu shule nzuri za A-LEVEL zenye ada nafuu zenye combination ya ECA na EGM. Ziwe za Private au za Kanisa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wizara ya elimu ina maprofesa wapuuz mno. Inaamini maskini wa Tabata, Buza, Goba, mbezi hawawez kupeleka watoto shule za laki 5? Mkenda na wezako wa TAMISEMI mnashida ipi? Mkiigeuza Jica...
1 Reactions
6 Replies
449 Views
Mambo wana JamiiForums, Nilidisco Chuo tangu nikiwa mwaka wa pili lakini mara baada ya kudisco sikurudi nyumbani wakawa wananitumia hela ya matumizi naishi tu ili wenzangu wakimaliza na mimi...
15 Reactions
54 Replies
3K Views
Wakuu natumai nyote ni wazima wa afya. Naomba mnisaidie utafauti wa advanced diploma na postgraduate diploma, Na unatakiwa kuwa na sifa zipi ndo utaweza kusoma kimoja wapo hapo. Ahsante!
1 Reactions
34 Replies
9K Views
Kuna tofaut gani hapo nataka kwenda kusoma higher diploma ya special education pale patand
0 Reactions
9 Replies
31K Views
Wakuu naomba kuuliza je kuna tofauti Kati ya hizo academic terms mbili ki Tanzania Tanzania!!?? NA je mtu mwenye stashahada ya juu analipwa sawa na mtu wa shahada??
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa Naomba kufahamu tofauti iliyopo kati ya advanced diploma na Bachelor degree. ~Ipi ni kubwa kuliko nyingine ~Sifa za kujiunga na kila moja Ahsanteni na samahani kwa usumbufu
1 Reactions
34 Replies
7K Views
Karibia kila kitu kwenye ulimwengu kimeundwa na na Matter ikiwa kwenye umbo/aina tofauti kama Solids,liquids,gasses na plasma hizi aina aina za matter zimeundwa na particles ndogo {subatomic...
3 Reactions
0 Replies
433 Views
Mwenye kujua shule nzuri inayotoa. Mafunzo ya QT kwa ada ya bei poa naomba anijuze, ambayo ada yake haizidi 300,000 kwa mwaka....
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Wasaalimu Jamii forum Mimi ni kijana mwenzenu nasoma india kwa sasa. Ni mwaka wa 4. Nasomea medicine. Ki ukweli huwa nawasikitikia sana vijana wenzangu, ambao pia naweza waita wadogo zangu...
7 Reactions
84 Replies
19K Views
Back
Top Bottom