Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Mwanza ni moja ya mikoa michache Tanzania iliyo na vibe la aina yake,kuna watu huvutiwa na mkoa huu kwa kuishi, kusoma ama kufanya kazi,kwa wale wanaotafuta vyuo mkoa wa mwanza hii hapa orodha ya...
4 Reactions
20 Replies
14K Views
Waliopewa dhamana ya kupanga ajira mpya wametumia nafasi zao vibaya. Walimu wamepangiwa vituo hadi halmashauri za miji, manispaa na majiji ambapo walimu wamejaa hadi wanagawana topics. Mfano ni...
1 Reactions
1 Replies
355 Views
Wakuu naomba mnieleweshe kuhusu automobile engenering
1 Reactions
2 Replies
397 Views
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu, tatizo langu ni jinsi ya kuandika research gap katika literature review. Je! naandikaje?
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Wakuu I was in a high school in Kibaha Secondary School miaka ya nyuma kidogo. Sasa There was this teacher, Mr. John. Huyu Ticha He was a big guy and used to beat the living crap out of boys...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Job simplification also know as work simplification is a method of designing a job where complex jobs are broken down into smaller parts to make them easer to manage. On other hand, the process of...
0 Reactions
0 Replies
484 Views
Habari humu ndani. Nahitaji vitabu vifuatavyo: JANGA SUGU la WAZAWA, Vuta nkuvute, nzowa kama sijakosea pamoja na Nagona
0 Reactions
0 Replies
329 Views
1: Barabara Mbovu na Mashimo Yasiyozibwa Mara tu unapoingia kupitia geti kuu la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, pale mwanzo kabisa,(njia panda ya chuo) hali ya barabara sio nzuri sana . Barabara ina...
0 Reactions
2 Replies
578 Views
Habari zenu, Naomba mnijuze ukomo wa kusoma masters katika vyuo huria. Nauliza maana ni miaka karibu sita sasa shemeji yenu anasoma tu hiyo elimu. Vikwazo vimekuwa vingi mno masters haiishi...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Kwa waliosoma Chuo Kikuu cha Dar es Salaam miaka ya 90 hadi 2010 watakumbuka Cream ya Madaktari na Maprofesa wakali waliokuwapo pale. Sasa hivi wengine wametangulia mbele ya haki, wengine kustaafu...
6 Reactions
346 Replies
105K Views
𝐒𝐚𝐥𝐚𝐦𝐮 𝐳𝐚 𝐡𝐞𝐬𝐡𝐢𝐦𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢 𝐰𝐨𝐭𝐞 𝕎𝕒𝕟𝕒𝕗𝕦𝕟𝕫𝕚 𝕨𝕖𝕟𝕘𝕚 𝕨𝕒 𝕞𝕨𝕒𝕜𝕒 𝕨𝕒 𝕜𝕨𝕒𝕟𝕫𝕒, 𝕙𝕒𝕤𝕒 𝕨𝕒𝕝𝕖 𝕨𝕒 𝕜𝕠𝕫𝕚 𝕫𝕒 𝕒𝕗𝕪𝕒, 𝕥𝕦𝕟𝕒𝕡𝕒𝕥𝕒 𝕔𝕙𝕒𝕟𝕘𝕒𝕞𝕠𝕥𝕠 𝕜𝕦𝕓𝕨𝕒 𝕜𝕒𝕥𝕚𝕜𝕒 𝕜𝕦𝕝𝕚𝕡𝕚𝕒 𝕒𝕕𝕒 𝕫𝕖𝕥𝕦. ℍ𝕚𝕚 𝕟𝕚 𝕜𝕨𝕒 𝕤𝕒𝕓𝕒𝕓𝕦 𝕞𝕚𝕜𝕠𝕡𝕠 𝕪𝕒 𝕤𝕖𝕣𝕚𝕜𝕒𝕝𝕚...
1 Reactions
2 Replies
405 Views
Naombeni ushauri! Kwa kijana alie ishia darasa la saba,, veta anaweza soma kozi gani nzuri ambayo anaweza kuajiriwa serikalini pamoja na kujiajiri??
1 Reactions
0 Replies
400 Views
UJUMBE KWA WANASIASA WOTE: MSITUDANGANYE KWA KAULI ZENU! Utangulizi Katika miaka ya hivi karibuni, viongozi wa serikali wamekuwa wakirudia kauli ya "Wasomi wajiajiri" *"Wenye Degree Waende...
10 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimepata taarifa kuwa aliyekuwa mhadhiri wa chuo kikuu cha dar es salaam,dr ndibalema amefariki jana usiku,dr ndibalema alikua akifundisha EDUCATION ADMINISTRATION AND MANAGEMENT (EA), Pia alikua...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
Wale Mnao sema Mtiani ulikua rahisi sana ila Sijui imekuaje 😅. Leo nikuonjeshe kitu The Psychology of Simple Questions in Aptitude Tests When a question appears simple, it can trigger...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Anayefanya vizuri lazima apongezwe na atambuliwe, haiwezekani mtoto amefanya vizuri mpaka kufikia kuwa Tanzania One lakini hatambuliwi na kupewa heshima yake, vilevile kwa shule zinazofanya vizuri...
0 Reactions
2 Replies
451 Views
Habari ya wakati huu, ninaomba msaada juu ya kitu kinaitwa mfumo kwenye elimu,nasikiaga tuu usajili ,uhamisho n.k unafanyika kwenye mfumo,huu mfumo upoje? na mbona waalimu wanautumia vibaya kwa...
1 Reactions
4 Replies
646 Views
Yani hiyo course huwa ina field kweli? Na je, ikoje hiyo kozi? Msaada plz
0 Reactions
16 Replies
11K Views
Watoto wa shule (wanafunzi) wa sikuhizi wataumwa migongo. Unamkuta mtoto mdogo wa shule wa miaka kati ya 5 - 7 amebeba begi kubwa utafikiri anahamia shuleni moja kwa moja. Ukifuatilia utagundua...
1 Reactions
1 Replies
278 Views
Habari Wana jamvi, tunashukuru Mungu kwa kuamka salama na kwa wale wenye changamoto mbalimbali tunawaombea kwa Mungu awape wepesi kuvuka kipind hiko kigumu, Back to my topic. Kuna nafasi 8000...
2 Reactions
1 Replies
848 Views
Back
Top Bottom