Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Naomba kuuliza kwa anayejua hvi ukisoma basic technician certifucate in pharmaceutical science NTA 4 ukifaulu vizur unaruhusiwa kusoma, level 5, 6 then degree for the same course? Naombeni kwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Huyo ndugu yangu kafaulu vzr kidato cha nne akiwa na B kwenye masomo yake ya ufundi kasomea electronics and communication engineering(B) , engineering science (B) na masomo yote ya science ana A...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Anonymous
Hiki unachokiona kwenye picha hapo siyo kwamba watu wapo kwenye shoo ya muziki, hapo ni Ukumbini katika Chuo Kikuu cha SAUT au Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino Tanzania (St. Augustine University...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu naomba kama kuna mwenye curriculum ya clinical medicine inayotumika sasa
2 Reactions
1 Replies
402 Views
Wanaosoma au waliohitimu Open University of Tanzania (OUT) pale makao makuu Kinondoni hasa Mass Communication na wale wa Journalism, wawe makini, kuna mwalimu ambaye jina lake la kwanza na la pili...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Mdogo wangu wa kike kuniuliza ilo swali sitaki nionekane kilaza. "A former East African and current east African community is like a new wine in old bottle, discuss"
0 Reactions
16 Replies
731 Views
Ukweli mchungu! Umalaya, ushoga, usagaji, na uhuni umekuwa kipaumbele kikubwa kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kuliko elimu iliyowapeleka huko. Wengi wanahitimu shahada zao na GPA kubwa za kwenye...
4 Reactions
4 Replies
561 Views
IP ni fani nzuri kati ya medical doctor vs bachelor of law
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Shahada hii inalenga kutoa mafunzo kwa wataalamu wa kutambua, kutathmini, na kutibu matatizo ya usikivu, usemaji, lugha, na kumeza kwa watu wa rika zote. Wataalamu hawa husaidia watu wenye...
2 Reactions
0 Replies
584 Views
An irregular hexagon with all sides of equal length is placed inside a square of side length 1, as shown below (not to scale). What is the length of one of the hexagon sides?
2 Reactions
11 Replies
800 Views
copy paste fb ila muhimu Wanafunzi wengi wenye ndoto za kusomea masuala ya Tehama huwa wanahangaika sana linapokuja suala la kufanya maamuzi juu ya kusomea kozi ipi kati ya hizo tatu...
13 Reactions
23 Replies
13K Views
Habari za muda huu watanzania wenzangu. Kuna jambo ambalo kiukweli halipo sawa ukilinganisha umri tulionao kama nchi kutokea tupate uhuru kutoka kwa mkoloni mpaka sasa. Leo nataka nizungumzie...
3 Reactions
5 Replies
382 Views
Habari, naomba kuelezwa kuhusu ubora wa chuo cha Jordan kwenye kozi ya computer science. Je wapo vizuri kwenye practical na theory? Wana maxingira mazuri ya kujifunzia yaani Lab za computer za...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu, Natumai nyote mu wazima wa afya na hali. Naomba mnisome kwa makini, kwani ujumbe huu ni sauti ya mtu mwenye nia madhubuti ya kujifunza na kujiendeleza kitaaluma. Lengo langu kubwa ni kuwa...
1 Reactions
5 Replies
489 Views
Wakuu habari, Diploma ya ualimu muajiriwa serikalini, asome fani gani ili iwe rahisi kufanyiwa recategorization halmashauri? Mbarikiwe.
1 Reactions
2 Replies
460 Views
Baada ya kuona baadhi ya watu wanadharau shule na wengine kuona kwamba shule ndio kila kitu hadi kujipachika Sifa za Kuelimika nimeona tukumbushane Qoute ya Mark Twain; (Writer, Humorist...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
What additional number must be included in the following list to make the median of six numbers equal to 5.5.the give five numbers are 2,5,2,2,8.
0 Reactions
23 Replies
1K Views
A fermer. East Africans and current east Africans community is like a new wine in old bottle . discuss nifahamishe
2 Reactions
1 Replies
222 Views
Joseph Magata JULAI 28, Kanisa Katoliki humkumbuka Victor I aliyekuwa papa wa kwanza kutoka Afrika, aliyezaliwa...
1 Reactions
1 Replies
11K Views
Wakuu mimi niko Mamlaka ya maji nawafikiria sana TRA, TBS, eGA, TCRA na TANAPA ni ICT afisa, nataka nipambanie uhamisho kwenye hizi taasisi ni ICT afficer II-SOFTWARE DEVELOPER(WEB) hii taasisi...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom