Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Habar za kutwa humu, Naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa cha habar hapo juu,naomba kujua hiyo kozi inahusika zaid na masuala gani na soko lake la ajira limekaaje, ni kozi inayotolewa pale...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nina umri wa miaka 26, nimehitimu Kidato cha Nne Mwaka 2016 na matokea nina C flat 5 na D ya History na Chemistry na F ya Fizikia na Hesabu ndoto yangu ni kuwa na bachelor ya IT nifanyaje wakuu?
2 Reactions
46 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu ! Mdogo wetu wa kike amepata ufaulu huu hapa chini na tungependa kupata ushauri kwa next step. GS - S Physics - D Chemistry- C Bio - C Bam - C Anapenda mambo ya afya sana, sasa...
2 Reactions
18 Replies
427 Views
Mtu anaanza kusoma tu electronics anakutana na multistage amplifier. Kabla ya multistage kuna vitu vya msingi sana ambavyo mwanafunzi anabidi avielewe na hawa wanafunzi wa form six sasa hivi...
0 Reactions
1 Replies
250 Views
Anonymous
Ningependa kuwasilisha malalamiko yangu kuhusu hali ya ufundishaji katika Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology (DIT), ambayo kwa maoni yangu imekuwa ikiwakwamisha wanafunzi wengi kupata...
1 Reactions
2 Replies
160 Views
Nitangulize Salamu, habarini wakuu Kwa mara nyingine nakuja na hii. Mimi ni muhitmu wa kidato cha 6(sina elimu zaidi ya hapo) ambae nina uzoefu mkubwa katika kufundisha somo la hesabu (O & A...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Anonymous
Sisi ni baadhi ya Wanafunzi wa Diploma (March Intake 2025/2026) wa CBE Mwanza Campus hadi sasa matokeo yetu bado hayajapandishwa kwenye mfumo wa NACTVET, jambo linalotukosesha fursa za kuomba...
0 Reactions
2 Replies
148 Views
Anonymous
Kuna madai ya matumizi mabaya ya madaraka katika Shule ya Sekondari Tarime yanayohitaji uchunguzi wa mamlaka husika. Inadaiwa kuwa Mkuu wa Shule alipendekeza mwalimu wa Fizikia ahamishiwe shule...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
Mimi ni mdau mwenye mtoto anayesoma katika Kitengo cha Elimu Maalum katika Shule ya Msingi Msimbazi Mseto, nimeamua kujitokeza na kuzungumza kwa uchungu mkubwa kwa sababu kinachoendelea shuleni...
0 Reactions
6 Replies
248 Views
Naombeni ushauri ndugu,ni coz ipi ya maji nzuri ambayo nikimaliza chuo nikafanya recategolization naweza pata ahueni ya maisha.. Wale wa kafanye biashara pliz sitaki...coz now nataka kusoma tu kwanza
0 Reactions
1 Replies
99 Views
Kwa ambae amekwama kupata Avn number , kwa ajili ya application nixext kwa 0622569980 Nikuelekeze free
0 Reactions
11 Replies
133 Views
Anonymous
Halmashaurii ya Nsimbo, Mkoani Katav kuna Shule ya Sekondari yenye jina la aliyekuwa Mbunge wa zamani wa wilaya hiyo, inaitwa Anna Lupembe Secondary, hii shule wanafunzi wa kidato cha kwanza...
0 Reactions
0 Replies
49 Views
Wanafunzi na baadhi ya walimu katika upande wa afya wanatoa tuhuma dhidi ya viongozi watatu wa chuo ambao ni Liberatus Phillip (Mkuu wa Chuo upande wa Afya), Sylvester Mgeta (Mtathmini Ubora) na...
1 Reactions
8 Replies
168 Views
Naomba course mzur pale Mwalimu Nyerere
0 Reactions
2 Replies
104 Views
Sijawahi kuona mifumo mibovu kama ya hawa NACTVET wameweka almanac lakini hio almanac hawaifati kabisa tunahitaji mabadiliko makubwa kwa uongozi wa NACTVET tumechoshwa na kona kona. Hadi sasa...
1 Reactions
1 Replies
94 Views
Kuna mada niliweka kuwa na mashaka na elimu ya sasa niliweka JF. Moderator utaweka. Elimu ya tanzania sasa mtoto kafaulu mfano PCB ila ukiangalia tokea nyuma background na maswali una muuliza ni...
4 Reactions
3 Replies
183 Views
Kwa anaehitaji Avn number karibu nikuelekeze 0622569980
0 Reactions
1 Replies
106 Views
Ukosefu wa maji katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) umeendelea kuwa kero kubwa kwa wanafunzi. Tunalazimika kutumia muda mwingi kusaka maji badala ya kusoma kwaajili ya UE na mitihani mingine, huku...
0 Reactions
2 Replies
119 Views
Anonymous
Tunaomba mtusaidie kupaza sauti kuna shule huku Mbezi Makabe inaitwa Safi Primary School, watoto wa darasa la nne wanatoka saa moja usiku mpaka wafike nyumbani ni saa 2 usiku. Asubuhi wanafuatwa...
3 Reactions
9 Replies
224 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…