Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Habari za jioni wapendwa.ninatumaini nyote mpo salama. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu.naombeni msaada wenu tafadhali.Mahali pawe ni Arusha. Ninatanguliza shukrani za dhati🥂.
1 Reactions
12 Replies
524 Views
Anonymous (9c5e)
Nimekuwa nikidai matokeo yangu tokea February nikaambiwa nisubiri. Nimemaliza research April nikategemea matokeo yatajazwa pamoja ila hakuna lolote. Yani hawa watu wanatutreat kama tunasoma bure...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wakuu, Katika zama hizi ambapo ushindani wa kielimu ni mkubwa sana, wazazi wengi wamekua wakijitahidi kuwapatia watoto wao msaada wa ziada nje ya shule ili kuhakikisha wanafanikiwa...
0 Reactions
4 Replies
638 Views
Wakuu habari, naomba ushauri. Kijana wangu amemaliza kidato cha nne mwaka 2023 akichukua combination za arts, lakini amepata D moja tu (Kiswahili). Je, katika hali hii anaweza kupata nafasi ya...
1 Reactions
5 Replies
393 Views
TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetoa fursa nyingine ya kuongeza muda wa udahili wa shahada ya kwanza katika programu ambazo bado zina nafasi kwenye vyuo vikuu nchini kwa mwaka wa masomo...
1 Reactions
1 Replies
473 Views
Kabla sijaleta mada yangu kuhusu ubaguzi niliouona katika baadhi ya vyuo vikuu vya Tanzani ninaomba niwaulize swali moja la msingi. Je! kuna tofauti kati ya bacholor Degree ya inayoitwa university...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habarini wana jukwaa. Nimeona nije hapa jukwaani nitoe hili jambo, huenda nitapata ufafanuzi. Nimekuwa nikikutana na malalamiko ya wanafunzi waliomaliza form 6 mwaka huu, wanaotarajia kujiunga...
26 Reactions
147 Replies
6K Views
Hell Natarajia kwenda shule nikaongeze elimu sasa nataka ni change course hii ndio naona kwangu Ipo vizuri embu naombeni mnipe dondo kidogo hii ipo vipi BACHELOR’S DEGREE IN SHIPPING AND PORT...
5 Reactions
48 Replies
1K Views
📚 Karibu kwenye Group la Wasomaji wa Vitabu Tanzania 🇹🇿 Unapenda kusoma vitabu? Unataka kuongeza maarifa, kuhamasika na kushirikiana na wasomaji wengine? Hili ndilo jukwaa sahihi kwako! 👉 Jiunge...
2 Reactions
3 Replies
545 Views
Bila kupoteza muda mm ni kijana mwenye umri tajwa hapo juu mwenye mke na mtoto mmoja, nawaza kuamua kutatua mgongano WA ki fikra juu yangu binafsi Kwa kuamua Moja, kurudi darasani. Nilipata four...
6 Reactions
36 Replies
2K Views
Tafadhali wadau naomba msaada kwenye maswali ya history kama vile maswali gani huwa ni lazima yaje, niandikeje essay ili iwe na mvuto. Please guys help me.
4 Reactions
53 Replies
2K Views
Hapa Kuna uwezekano wa Bachelor?
1 Reactions
9 Replies
895 Views
Anonymous
Mfumo wa udahili wa mwaka 2025/26 na majibu yaliyotangazwa jana umekuwa kandamizi na unaumiza wanafunzi pamoja na wazazi. Wanafunzi wanapochaguliwa mara mbili au zaidi, wakijaribu kufanya...
1 Reactions
6 Replies
819 Views
Bodi ya mikopo ya wanafunzi elimu ya juu wameendelea kukaa kimya mpaka leo hakuna majina hata batch moja. Tatizo nini au mpunga hamna mpaka harambee.
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Anonymous
Jamani wanafunzi tumekosa vyuo naomba TCU wafanye haki yani kweli wanachukua 1.3 hadi 1.6, haya sisi wengine twende wapi sasa, yaani sina tafauti na mt 3 na 4 kweli sio sawa kabisa hata kama...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Ilikuwa jumatatu tarehe 14/02/2000 mida ya mchana nilishuka kituo cha basi Moshi Technical Sec School nikiwa na mama yangu. Tukavuka barabara na kuingia shuleni ili kujiunga kidato cha kwanza...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Msaada kwa wana JF kw anayeweza kuwa anajua site ambazo naweza ku'join na nikashiriki mikutano ya moja kwa moja ya vijana mtandaoni ili niweze kupata ujuzi na maarifa kidogo naomba anisaidie...
0 Reactions
0 Replies
321 Views
UDOM nimeona wameijumuisha kozi ya Bachelor of pharmacy katika dirisha hili la nne la udahili ..hivyo basi hh ni ni fursa adhimu kwa ndugu zetu ambao bado hawajapata chuo na pia wenye ndoto za...
4 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu JamiiForums ndio kibanda changu cha ushauri hapa nafurahi kushauriwa mambo kadha kadhaa na wadau,nikipata shida nakuja hapa naamini kuna wataalamu mbalimbali. Ni hivi wakuu mimi nimemaliza...
3 Reactions
120 Replies
17K Views
Salaam wanaJF. kuna mtoto wa cousin sister kachaguliwa hiki chuo lakini nimekuwa namashaka na hiki chuo, kwa wale wanaokifahamu vizuri hiki chuo naomba mchango wenu wa mawazo. je kinatoa mafunzo...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom