Frank takis
Member
- Mar 2, 2023
- 13
- 25
Nimemaliza form four, nina ufaulu wa division 1.16
Biology A
Chemistry A
Physics C
Ninawish kusoma afya course ya clinical medicine. Je kwa hali ya ajira sasa hivi inaweza kuwa niko sahihi kusomea hiyo course?
Au Kuna course gani ya diploma ni nzuri Kwa wakati huu kutokana na ufaulu niliopata?
Biology A
Chemistry A
Physics C
Ninawish kusoma afya course ya clinical medicine. Je kwa hali ya ajira sasa hivi inaweza kuwa niko sahihi kusomea hiyo course?
Au Kuna course gani ya diploma ni nzuri Kwa wakati huu kutokana na ufaulu niliopata?