Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) leo, tarehe 1 Juni 2026, kimewaapisha viongozi wapya waliochaguliwa kuiongoza Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOSO) kwa mwaka wa uongozi 2026/27...
Baadhi ya Maafisa wa NACTVET wanafelisha vyuo vya kati, kuchelewesha kua-prove maombi yao ili wasipate AVN Number kwa wakati washindwe kwenda vyuo vikuu, lakini wanafanya hivyo ili kupewa rushwa...
WanaJF salamu,
Ninaleta mada hii mbele yenu nikiwa na majonzi na masikitiko makubwa kutokana na hali halisi inayojiri katika Chuo cha Maji (Water Institute) kwenye Muhula huu wa Pili (Semester...
Wakuu naombeni msaada wenu wa kimawazo kwenye hili.
Mimi ni mwalimu wa physics na chemistry ila sijabahatika kupata ajira serikalini, sasa kuna shule mbili nafundisha let say shule X na shule Y...
Habari
Rejea SoMo hapo juu kuhusu hii shule.
Wanafunzi wanapopangwa shule za serikali baada ya matokeo darasa la Saba kuna makundi haya.
1. Vipaji maalumu
2. Mbweni
3. Teule
4. Kitaifa
Ufafanuzi...
FUNDED SCHOLARSHIP OPPORTUNITY: PhD & POSTDOC IN CHEMISTRY IN CHINA
Are you a Master's or PhD in Chemistry graduate looking for an opportunity to study at a World-Class University? A top-tier...
Udom wameingia mwaka mwingine wa masomo mwezi wa pili sasa huu unaingia lakini overpayment zetu bado hawajatupa. Na sasa tunaelekea kwenye graduation lakini kimya hamna mpango wowote wakutupa hizo...
Watoto wangu wanaishi Chanika, mkoani dsm.
Naomba kufahamu mtaalamu wa lugha za kichina na kijerumani au sehemu rahisi kwao kwenda kujifunza. Ninashukuru kwa msaada huo
Hii kero naomba kuipeleka moja ka moja kwa mkuu wa shule ya sekondari Bundikani iliyopo Halmashauri ya mji wa Kibaha.
Kwa sasa uhamisho wa wanafunzi unafanyika kupitia mfumo so ni suala la mzazi...
Ndugu zangu naomba kujua vyuo tajwa hapo juu vinapatikana wapi ?
Elimu yangu ni form 4 . Nilipata dv 3 natamani kusoma mitambo hio .kuopperate.
Naomba muongozo
Wakuu heshima kwenu.
Mimi ni binti wa umri wa miaka 25 na ni kiziwi, mwili wangu ni dhaifu kiasi sina nguvu za kufanya kazi ngumu na mizunguko mingi maana miguu inasumbua inakuwa inauma na ganzi...
Naomba mamlaka husika zifuatilie kinachoendelea katika Shule ya Msingi MAFIGA, Morogoro.
Wanafunzi wanatakiwa kupeleka TSh 1,300 kila siku, TSh 1,000 kwa kila mtihani, na kulazimishwa kuhudhuria...
Usijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha.
Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza...
Wanafunzi tuliohitimu Kidato cha Nne kutoka shule za sekondari za ufundi (Technical Secondary Schools), kisha kujiunga na vyuo vya kati (College), tunakutana na changamoto kubwa katika kuendelea...
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka, leo Ijumaa tarehe 22 Mei 2026 katika ukumbi wa CIVE Auditorium, amezindua rasmi kampeni za uchaguzi wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo...
Habari Wana nzengo
Mimi ni mdau wa maendeleo ya watu wenye ulemavu nimekuwa nikifuatilia vyuo vya watu wenye ulemavu vilivyokuwa chini ya ofisi ya waziri mkuu ambako kwa Sasa vimehamia katika...
Hali ya vyoo katika Chuo Kikuu cha UDOM, hususan katika College of Natural and Mathematical Sciences (CNMS), imezidi kuwa mbaya kwa kiwango kinachotia wasiwasi mkubwa. Kwa zaidi ya mwezi mmoja...
Technical Education in Engineering ni course inakuwa offered hapa chuo cha must Mbeya lakini mtaani haitambuliki marketing yake ni ndogo mno ni ngumu kupata ipo kwa wanafunzi wanaosoma Technical...
Mimi ni mzazi niliye Arusha, mtoto wangu amehitimu kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Mlangarini, iliyopo Arumeru. Nimejikuta kwenye hali ya sintofahamu na masikitiko makubwa kuhusu jambo...