Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) leo, tarehe 1 Juni 2026, kimewaapisha viongozi wapya waliochaguliwa kuiongoza Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOSO) kwa mwaka wa uongozi 2026/27...
0 Reactions
2 Replies
123 Views
Anonymous
Baadhi ya Maafisa wa NACTVET wanafelisha vyuo vya kati, kuchelewesha kua-prove maombi yao ili wasipate AVN Number kwa wakati washindwe kwenda vyuo vikuu, lakini wanafanya hivyo ili kupewa rushwa...
0 Reactions
2 Replies
174 Views
WanaJF salamu, Ninaleta mada hii mbele yenu nikiwa na majonzi na masikitiko makubwa kutokana na hali halisi inayojiri katika Chuo cha Maji (Water Institute) kwenye Muhula huu wa Pili (Semester...
0 Reactions
11 Replies
246 Views
Wakuu naombeni msaada wenu wa kimawazo kwenye hili. Mimi ni mwalimu wa physics na chemistry ila sijabahatika kupata ajira serikalini, sasa kuna shule mbili nafundisha let say shule X na shule Y...
1 Reactions
20 Replies
260 Views
Habari Rejea SoMo hapo juu kuhusu hii shule. Wanafunzi wanapopangwa shule za serikali baada ya matokeo darasa la Saba kuna makundi haya. 1. Vipaji maalumu 2. Mbweni 3. Teule 4. Kitaifa Ufafanuzi...
1 Reactions
8 Replies
933 Views
FUNDED SCHOLARSHIP OPPORTUNITY: PhD & POSTDOC IN CHEMISTRY IN CHINA Are you a Master's or PhD in Chemistry graduate looking for an opportunity to study at a World-Class University? A top-tier...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
Anonymous (0740)
Udom wameingia mwaka mwingine wa masomo mwezi wa pili sasa huu unaingia lakini overpayment zetu bado hawajatupa. Na sasa tunaelekea kwenye graduation lakini kimya hamna mpango wowote wakutupa hizo...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Watoto wangu wanaishi Chanika, mkoani dsm. Naomba kufahamu mtaalamu wa lugha za kichina na kijerumani au sehemu rahisi kwao kwenda kujifunza. Ninashukuru kwa msaada huo
1 Reactions
3 Replies
103 Views
Anonymous (783e)
Hii kero naomba kuipeleka moja ka moja kwa mkuu wa shule ya sekondari Bundikani iliyopo Halmashauri ya mji wa Kibaha. Kwa sasa uhamisho wa wanafunzi unafanyika kupitia mfumo so ni suala la mzazi...
0 Reactions
2 Replies
145 Views
Ndugu zangu naomba kujua vyuo tajwa hapo juu vinapatikana wapi ? Elimu yangu ni form 4 . Nilipata dv 3 natamani kusoma mitambo hio .kuopperate. Naomba muongozo
3 Reactions
6 Replies
160 Views
Wakuu heshima kwenu. Mimi ni binti wa umri wa miaka 25 na ni kiziwi, mwili wangu ni dhaifu kiasi sina nguvu za kufanya kazi ngumu na mizunguko mingi maana miguu inasumbua inakuwa inauma na ganzi...
15 Reactions
118 Replies
2K Views
Anonymous (1d2e)
Naomba mamlaka husika zifuatilie kinachoendelea katika Shule ya Msingi MAFIGA, Morogoro. Wanafunzi wanatakiwa kupeleka TSh 1,300 kila siku, TSh 1,000 kwa kila mtihani, na kulazimishwa kuhudhuria...
3 Reactions
17 Replies
202 Views
Usijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha. Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza...
66 Reactions
404 Replies
34K Views
Anonymous (2f66)
Wanafunzi tuliohitimu Kidato cha Nne kutoka shule za sekondari za ufundi (Technical Secondary Schools), kisha kujiunga na vyuo vya kati (College), tunakutana na changamoto kubwa katika kuendelea...
0 Reactions
0 Replies
116 Views
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Prof. Lughano Kusiluka, leo Ijumaa tarehe 22 Mei 2026 katika ukumbi wa CIVE Auditorium, amezindua rasmi kampeni za uchaguzi wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo...
0 Reactions
2 Replies
119 Views
Habari Wana nzengo Mimi ni mdau wa maendeleo ya watu wenye ulemavu nimekuwa nikifuatilia vyuo vya watu wenye ulemavu vilivyokuwa chini ya ofisi ya waziri mkuu ambako kwa Sasa vimehamia katika...
0 Reactions
1 Replies
103 Views
Hali ya vyoo katika Chuo Kikuu cha UDOM, hususan katika College of Natural and Mathematical Sciences (CNMS), imezidi kuwa mbaya kwa kiwango kinachotia wasiwasi mkubwa. Kwa zaidi ya mwezi mmoja...
1 Reactions
6 Replies
388 Views
Technical Education in Engineering ni course inakuwa offered hapa chuo cha must Mbeya lakini mtaani haitambuliki marketing yake ni ndogo mno ni ngumu kupata ipo kwa wanafunzi wanaosoma Technical...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Mnamkumbuka Mzee Punch (Incognito,Omnipresent .....)? Mnakumbuka amri kumi za Mzee punch?
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Anonymous
Mimi ni mzazi niliye Arusha, mtoto wangu amehitimu kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Mlangarini, iliyopo Arumeru. Nimejikuta kwenye hali ya sintofahamu na masikitiko makubwa kuhusu jambo...
1 Reactions
1 Replies
127 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…