Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Mnamkumbuka Mzee Punch (Incognito,Omnipresent .....)?
Mnakumbuka amri kumi za Mzee punch?
Mnakumbuka amri kumi za Mzee punch?
Mnamkumbuka Mzee Punch (Incognito,Omnipresent .....)?
Mnakumbuka amri kumi za Mzee punch?
But I have many fond memories of the "Hill" then, desas za DS circulating from Dept to Dept, freshers na foleni za meal allowance hadi dirisha linavunjika! Silversands Hotel etc
Mama Joe, umekumbuka Boom na Silversands! nakuaminia. Silversands na Freshers' ball nini!
Kulikuwa kiongozi mmoja akiitwa Ibrahim Kimaro, yupo wapi siku hizi? sijui kama ni member humu.
No you are wrong alikuwa sio individual, walikuwa ni wahuni wachache wa engineering nadhani ambao walikuwa wanapass hii tabia intake hadi intake, ikaja kuanguka na student aliejiua miaka ya mwanzoni ya 90, muhusika mkuu alifungwa 2 yrs nadhani wengine wakaacha kabisa, sie tumesoma haikuwepo tena. Ndo maana unaona kuchangia kuhusu huyo punch ni kimya kwani iliishia vibaya.Msinikumbushe Mzee Punch.
He never graduate, he never DISCO, etc
udsm jamani kubwa, mbona hapa pako kimya sana inakuaje?
Wengine tuli graduate miaka ya 80s. Wakati huo Mzee Punch alikuwa anaregulate tabia za waliokuwa wanazidisha. Kama maisha yako yalikuwa ya kawaida, Mzee Punch hakuwa na shughuli na wewe.udsm jamani kubwa, mbona hapa pako kimya sana inakuaje?
hebu mtufafanulie who is the hell mzee punch? ufafanuzi pls
JIBABA,
Huyo kiongozi unayesema aliitwa Ibrahimu Kimaro au HARUN KIMARO?
JE, ni yule aliyekuwa Muhimbili campus?