Njia za kutimiza malengo yako:
Njia hizi zilisemwa na LEO BABAUTA mwandishi mashuhuri wa vitabu marekani na mmiliki wa blog ujilikanayo kwa jina la ZEN HABITS ila mimi nimezielezea kwa uelewa...
Nisaidieni, ni Benki gani ambayo ukiingia tu wahudumu wanakukimbilia kama mpira wa kona na vilevile wana huduma za kuingiza na kutoa hela kwenye account kupitia MPESA? Juzi nimetoka kurenew kadi...
Ndugu zangu salaam.
Baada ya kutafuta sehem ya kufanya kazi ( teaching) bila mafanikio nimeamua kwenda Chunya kuangalia fursa ya kuchimba madini ili kujikwamua kiuchumi.
Kwa wanaofaham mambo...
Habari za alasiri hii wadau?
Nimeona hii fursa, japo kilimo cha bangi ni haramu hapa kwetu, lakini naona kuna nchi nyingi sasa ikiwemo Israel, Jamaica, Argentina, Australia, Canada, Cambodia...
Habari zenu wakuu,
wakuu naomba ushauri au mwongozo kutoka kwa watu wenye uelewa au uzoefu wa mambo ya madini, nina eneo langu kama ekari 40 morogoro na nina eneo jingine kama ekari 30 huko...
GOLD (XAUUSD)
Dominant Bias: Bullish
Gold trended upwards in January and February 2017. Price topped at 1263.61 on February 27 and then began to pull back. The pullback is significant, (about...
Habari zenu wadau,
Dah hii iko vipi kuhusu ukamataji wa bodaboda kwenda posta yaani ukipita na pikipiki tu wanakamata especially pale salendar bridge kwa sisi ambao tunafanya biashara ndogo...
Habari wana Jukwaa.
Nimekuwa nikifanya survey sana kwenye hii mitandao ya kusaka Laptop kwa ajili ya matumizi binafsi.
Kuna product ukiipenda, kuna kitufe cha kuwasiliana na...
Ukiweza kupata biashara moja itayo kulipia kodi ya nyumba, kukulisha, kusomesha ndugu zako wawili watatu, kukutoa out kila weekend, kukuvalisha, kulipa madeni yako yote basically kwa biashara...
Nina FURSA 4 ,za biashara naziweka ubaoni mwenye kufit katika biashara mojawapo tuwasiliane:
1. Business collaboration:
Kampuni ya kitanzania imepata soko la korosho ,biashara yenye thamani ya...
Jamani wana jf ningependa kutangaza kwa mara ya mwisho kwa anayetegemea kuanzisha biashara ya Vinywaji kama Grocery,utapata kila kitu kwa 1.5mil only..
Hii inajumuisha Freezer, spika 2 za mziki...
Salama wakuu,
Ninamshukuru Mungu mimi ni mzima na sina ulemavu wa aina yeyote. Nimekaa nikawaza kitu fulani baada ya kuona manyanyaso wanayoyapata walemavu kwenye suala la ajira hata kujiajiri...
Habari wakuu,poleni na majukumu nafahamu kwa muda huu bado wengine wapo kwenye majukumu ya kujenga taifa ila naomba utakapopita hapa acha comment yako kwa kile unachoelewa kuhusu hii kitu...
Rais wa Chemba ya Biashara,viwanda na kilimo, Ndibalema Mayanja, amewataka wananchi na wafanyabiashara wa Mikoa ya Mwanza na Kagera kuchangamkia soko la awali la hisa za TCCIA Investment PLC...
Heshima kwenu wadau,
Kuna kiasi nimepata hapa, nahitaji kuwekeza katika hizi biashara za Maxmalipo na Selcom, kwa wazoefu tupeane ujuzi ipi ni bora na kamisheni zake ziko vipi.
Karibuni.