Vipi kuhusu hii biashara ya Maxmalipo, Selcom na nyinginezo zinazofanana?

Green_Touches

Member
Dec 25, 2016
67
18
Heshima kwenu wadau,

Kuna kiasi nimepata hapa, nahitaji kuwekeza katika hizi biashara za Maxmalipo na Selcom, kwa wazoefu tupeane ujuzi ipi ni bora na kamisheni zake ziko vipi.

Karibuni.
 
Hii biashara unatakiwa huwe una utaalam sana wa IT na stuff wako otherwise itakula kwako
 
Back
Top Bottom