Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Salaam alaykum wapendwa.. naomba kwa yoyote ambae ana ujuzi wa kutumia amazon kama sehemu yake ya kununulia bidhaa kwa njia za mtandao anisaidie procedures zake na namna ya kufanya mzigo...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Tupeane tips za shares on what to buy what to sell and what to hold. Na hapa nazungumzia sharws za ndani na za nje ya nchi Let it begin...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Nahitaji msaada wa mawazo juu ya wazo la uanzishaji wa biashara ya duka la kuuza na kukodisha CD ikiwepo na tigo pesa lakini kuna jengo ambalo ni sehemu nzuri kufungua kitu kama shule ya watoto...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba maelezo ya kina kwa yeyote anaejua kuhusu hawa watu. asante sana tafadhali pakuwa kwanza kifungasho
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Wakuu anayefahamu kuhusu hii application anielekeze jinsi ya kukopa pesa na unarudishaje?
0 Reactions
44 Replies
21K Views
Mradi wa Kuwawezesha wanawake Kiuchumi Kupitia Tasnia ya urembo ujulikanao kama Manjano Dream-Makers ulioasisiwa na Taasisi ya Manjano Foundation wataendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika kuhakikisha uchumi Wa Tanzania unastawi kampuni ya Vodacom Tanzania imeamua kuunga mkono jitihada za kustawisha uchumi katika ukuaji imara katika sekta ya viwanda kwa kuhakikisha huduma na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamii F! Naamini wote wazima,mimi ni kijana ninaependa maendeleo na kujifunza vitu vingi zaidi... Nilikuwa naomba kwa wanaofahamu() ,naombeni mnifahamishe/mnielimishe kuhusu zao...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wengi miongoni mwetu wamekuwa wakitaka kujua HISA ni nini, shauku hii imenifanya nidodose kidogo juu ya hisa kwa faida ya wengi. Kwa tafsiri lahisi HISA NI UMILIKI. Mtu akisema nina hisa NMB...
2 Reactions
30 Replies
44K Views
Namna gani unaweza kuanzisha Foundation? faida na hasara zake, msaada wana jamvi.
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Habari wanajamvi? Miezi michache iliyopita kampuni ya usafiri wa anga hapa nchini Tanzania FastJet ilisitisha matumizi ya ndege za Airbus A319 na kuamua kutumia ndege ndogo za Embraer E190 kwa...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Hivi ATM kutoa pesa zilizochakaa ni kiashiria cha nini. Kwa uelewa wangu ni kwamba mzunguko wa pesa ni mdogo. Nawaalika wataalamu kutiririka hapa.
0 Reactions
1 Replies
629 Views
Watanzania wenzangu naomba kujua hali ya uchumi wetu ktk viwango vya kimataifa upo jeee???.
0 Reactions
0 Replies
680 Views
8 Reasons To Own Gold A history of holding its value Weakness of the U.S. Dollar Inflation Deflation Geopolitical Uncertainty Supply Constraints Increase Demand Portfolio Diversification...
0 Reactions
0 Replies
628 Views
Habari wanaJF, Hivi inawezekana kutengeneza juice ya miwa na ukawa unaiuza supermarket? Sijawai kuona inauzwa supermarket yoyote ile na natamani nijue process zake za kuhifadhi ili isiharibike.
2 Reactions
7 Replies
3K Views
One of the frustrating things about being a trend follower is that it takes time to overcome the inertia of a new system, particularly if that system is based upon slightly longer time periods...
0 Reactions
0 Replies
592 Views
Mimi nimekuwa nikinunua bidhaa kupitia ebay.com, lakini sasa nilitaka kununua kitabu kupitia amazon.in imekuwa ngumu coz wao wanaship bidhaa zao ndani ya India, sasa nilikuwa naomba msaada kama...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Siku zote kuna vitu vinakera lakini kumpuuza mteja kwenye ni Tatizo lenye kuumiza Mimi ni mtumiaji mzuri sana wa mtandao wa Airtel lakini nimeamua kuhama rasmi hawajali kabisa wateja wao. Kuanzia...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
1.Fanya utafiti wa kutosha juu ya biashara unayotaka kuazisha sio tu kwa kuwa kuna mtu unayemjua amefanikiwa kutokana na biashara hiyo. Pia hakikisha unajua ni nini utakifanya endapo biashara hiyo...
7 Reactions
4 Replies
2K Views
Kampuni ya Vodacom Tanzania kupitia Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) itaanza kuuza hisa zake milioni 560 kwa thamani ya Shilingi 850 kila hisa. Mauzo yataanza tarehe 09.03.2017 na...
0 Reactions
93 Replies
15K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…