Njia rahisi kwa SUMATRA punguza foleni Dar - Chalinze

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,307
12,600
Wakati tunasubiri ujenzi wa njia ya reli na upanuzi wa barabara ya Dar _ Chalinze kwa sasa tunaweza kupunguza msongamano kwenye kipande hiki cha barabara kwa kuyaamuru mabasi na magari yote yanayokwenda Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Mombasa yapitie barabara ya Bagamoyo hadi Msata na kubakisha tu yale yanayokwenda Chalinze, Morogoro, Mwanza, Mbeya na Lugoba hadi Msata tu. Hii nayo inahitaji agizo la Rais?
 
Lakini foleni ya mwenge bagamoyo itazidi mara dufu

Sent from my LG-H635 using JamiiForums mobile app
 
Wakati tunasubiri ujenzi wa njia ya reli na upanuzi wa barabara ya Dar _ Chalinze kwa sasa tunaweza kupunguza msongamano kwenye kipande hiki cha barabara kwa kuyaamuru mabasi na magari yote yanayokwenda Arusha, Kilimanjaro, Tanga na Mombasa yapitie barabara ya Bagamoyo hadi Msata na kubakisha tu yale yanayokwenda Chalinze, Morogoro, Mwanza, Mbeya na Lugoba hadi Msata tu. Hii nayo inahitaji agizo la Rais?
Unafundisha watu kuhujumu uchumi wewe? Unafundisha watu kuiibia serikali na serikali ikose mapato?? Iyobarabara unayosema haina mizano kwa hyo hatuwezi (in magu s voice)
 
Unafundisha watu kuhujumu uchumi wewe? Unafundisha watu kuiibia serikali na serikali ikose mapato?? Iyobarabara unayosema haina mizano kwa hyo hatuwezi (in magu s voice)
Nani kakwambia ww kuwa haina mizani? kama hujui ni vema ukasoma michango ya wengine tu kwanza
 
Mbona wapo wanaopita hizo njia kama kina dar exp Na tahmid wajanja sana Wakati wa kuingia dar bmoyo road nyeupe wananyoosha tu Na kuokoa mafuta.
 
Mbona wapo wanaopita hizo njia kama kina dar exp Na tahmid wajanja sana Wakati wa kuingia dar bmoyo road nyeupe wananyoosha tu Na kuokoa mafuta.
Hata Simbamtoto, sasa inatakiwa isiwe hiari kupita njia hii
 
Back
Top Bottom