Bei ya kuku wa kienyeji juu

UMASIKINI BWANA

JF-Expert Member
Oct 17, 2013
942
566
Leo nimehangaika kutafuta kwio kwa ajili ya kesho ni balaa kuku anauzwa 15000-20000 heri ya cow meat 6000 Mmmh!
 
Mwaka jana nilienda Singida,kule kuku wa kienyeji nusu anauzwa 3500.
Niliwala sana,sijui sasa hivi bei itakua shilingi ngapi!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom