Tangu mwaka 2014 nilikuwa nahangaika jinsi ya kuweka subtitle za kiswahili katika movie za nje kwa sababu nilipokuwa nyumbani na wadogo zangu nilikuwa napata tabu sana kuanza kuwasimulia kila kitu kinachotokea katika movie tunayoangalia.
Nikaona kwanini nisijifunze jinsi ya kuweka subtitle ili wawe wanasoma wenyewe? Nikaanza kufanyia kazi wazo langu na hadi juzi nilipoona nimefanikisha na kuomba kujisajili na web moja inaitwa subscene kwa ajili ya kuwa naziweka huko.
Wamenimbia hadi wazikague kama zipo vizuri, ila changamoto nilizonazo ni mbili
1. Kuandaa subtitle zina tumia muda mwingi sana hadi nakata tamaa.
2. Mzee wangu ananiambia nitafute kazi nyingine na niachane na hayo mambo.
Naomba ushauri kwa hilo
Na pili sasa hivi nimeanza utafiti wa kuweka audio na kutoa audio zile zilizopo na kuweka za kiswahili kama vile Wafilipino wanavyofanya wanaweka audio za kingereza japo ndo nianza utafiti.
Kama una cha kunishauri au kuongeza naomba pia ushauri.
Asanteni sana.
Nikaona kwanini nisijifunze jinsi ya kuweka subtitle ili wawe wanasoma wenyewe? Nikaanza kufanyia kazi wazo langu na hadi juzi nilipoona nimefanikisha na kuomba kujisajili na web moja inaitwa subscene kwa ajili ya kuwa naziweka huko.
Wamenimbia hadi wazikague kama zipo vizuri, ila changamoto nilizonazo ni mbili
1. Kuandaa subtitle zina tumia muda mwingi sana hadi nakata tamaa.
2. Mzee wangu ananiambia nitafute kazi nyingine na niachane na hayo mambo.
Naomba ushauri kwa hilo
Na pili sasa hivi nimeanza utafiti wa kuweka audio na kutoa audio zile zilizopo na kuweka za kiswahili kama vile Wafilipino wanavyofanya wanaweka audio za kingereza japo ndo nianza utafiti.
Kama una cha kunishauri au kuongeza naomba pia ushauri.
Asanteni sana.