Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Wahindi ni moja kati ya jamii zenye kiwango kikubwa cha Entreprenership spirt. Wengine ni kama Waisraeli ambao ndo wenye kiwango kikubwa kabisa cha spirt. TUWAANGALIE WAHINDI WA HUKU BONGO...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Maendeleo Bank pamoja na wewe. Bank ya Maendeleo leo imezindua promosheni iitwayo Maendeleo pamoja na wewe. Akizungumza kwenye hafla hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Maendeleo Bank Ibrahim Mwangalaba...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu bado nafanya utafiti wa kufungua kiwanda cha alizeti naomba wenye uzoefu na hii biashara waendelee kunisaidia. Sehemu ambazo nahitaji kujua zaidi 1 gunia moja ya debe sita mashudu ni kiasi...
0 Reactions
1 Replies
955 Views
Mimi nina fremu nakodisha CD naomba mawazo yenu, je kama nataka kusajili kampuni yangu BRELA nitaisajili vipi, Na je ni faida zipi ofisi yangu itapata kwa kuisajili kampuni yangu BRELA? Asanteni...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wakuu za habari zenu kwanza, twende kwenye topic Nimekua nikifikilia sana kuhusu hili swala na Nina mpango wa kulifanyia research hapo baadae japokuwa kwa akili ya kawaida mtu anaweza akaona ni...
0 Reactions
7 Replies
998 Views
Kuna watu wanaamni ukisoma ndo unaweza anzisha ulicho somea. Elimu na Kuona furusa ni sawa na mbingu na nchi. Unaweza usisome na ukaanzisha hospitali mara baada ya kuona Furusa. Mengi hajasomea...
10 Reactions
42 Replies
5K Views
Wakuu naomba ushauri nimepata hela kidogo ambayo inatosha kununua boda moja au kulima hekari mbili za Viazi Njombe. Matarajio: Boda: kuwa napata 70'000 kwa wiki sawa na 280'000(12)=3'360'000 kwa...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
UOGA NA AIBU NDO MUHIMIL MKUU WA UMASIKINI NA UFUKARA. Leo hii mtaani wamejaa Graduates, Majumbani wamejaa Magraduate,Kazini watu wanafanya kazi huku wana nung'unika tu. Leo hii Wazazi/walezi...
21 Reactions
35 Replies
5K Views
Ikiwa unatafuta mtu atakayekufikisha kwenye mafanikio unayoyataka, tafadhali angalia kwenye kioo utamuona. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
743 Views
Habari zenu wadau. Naomba kuuliza, ivi km una deni la vat labda la mwezi january ambalo hukulipa, inawezekana kulilipa kidogo kidogo huku unaendelea na biashara? Sheria inazungumziaje kuhusu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
ETII UNAJITETEA NA WEWE NI MNYONGE, Ooooh Etii Unajiambia Mimi Maskini!!!! UNAZINGUA UJUEEEEE!!!! ...Sikufichi ila Kama utakuchagua kuishi kimasikini utakuwa umezingua......ANZA kufuga kuku...
7 Reactions
16 Replies
2K Views
Hatimae jana katika pita pita zangu nilivyopitia kwa bwana Mangi si ndo nikaona karanga za ndugu yetu nikasema ngoja nione kinachopewa promo hivi kunani. Daaah kwa kweli ladha yake zile karanga...
6 Reactions
64 Replies
10K Views
Wakuu, hivi kuna utaratibu wowote wa kuanzisha ranch kisheria? Na vp vitu muhimu vinahitajika kwa ajili ya kuanzisha ranch binafsi, je kuna changamoto zozote katika huo mradi? Ushauri wenu...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Saruji (cement) imepanda ghafla hadi kufikia 12,500 kwa mfuko wa kilo 50. Wiki 2 zilizopita, bei ya saruji ilikuwa 9700 kwa mfuko. Wafanyabiashara wamekuwa wakihusishwa kupanda kwa bei na...
0 Reactions
21 Replies
11K Views
Kichwa cha thread chahusika. Kazi: Kukaanga chips kavu, Chips Mayai, Chips Kuku, Chips Samaki na kutengeneza Kachumbari. Muda: Kuanzia saa 2 Asubuhi mpaka Saa 5 Usiku. Siku zote za wiki. Siku ya...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Msaada: najaribu kununua kitu ebay kutoka uk kila ninapo click buy now napata jibu This item does not ship to Tanzania. mwenye kujua namna ya kutatua anielekeze
0 Reactions
1 Replies
2K Views
‘App’ hii imelenga kuwasaidia watumiaji wake kupata taarifa muhimu kuhusu hoteli, usafiri, sehemu za vivutio, klabu, kasino, maduka makubwa, ubalozi na hospitali. Dar es Salaam. Kampuni ya simu...
0 Reactions
1 Replies
973 Views
Habari zenu wapendwa! Nataka nifungue stationary, sasa naomba ushauri wenu hasa wa vifaa na bei zake. Pamoja na faida zake. Asante ......
0 Reactions
6 Replies
3K Views
#OneCoin* OneCoin ni Cryptocurrency au Digital Currency. Ni fedha ambayo ipo kwenye mfumo wa digitali na si wa sarafu au noti inayoshikika. Ni fedha ambayo itatumika dunia nzima muda mfupi ujao...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
SERIKALI ZALENDO ILIPASWA IELEZE WATZ NAMNA IMEJIANDAA KUJITOA KTK MASHIRIKA KANDAMIZI KAMA IMF (International Monetary Fund) Ambao wamekuwa wakiendesha sera na uchumi wetu ktk njia ya kunufaisha...
0 Reactions
1 Replies
758 Views
Back
Top Bottom