Msaada; TRA wanaruhusu kumchukulia mtu mwingine leseni yake?

Mpigadili Tz

JF-Expert Member
May 4, 2015
1,021
1,772
Habari zenu, nimefanya taratibu zote TRA sasa bado kurenew leseni yangu ya biashara ila nahisi nitakuwa mbali na manispaa husika sasa nauliza unaweza kumuagiza mtu akakuchukulie leseni ya biashara manispaa au hadi ufunge safari mwenyewe (TAX CLEARANCE ninayo)?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom