Habari za jioni wa ndugu leo napanda jukwaani kujadili jambo moja ambalo linanipa tabu sana viongozi wetu wamekua wakiamasisha kilimo kila siku lakini wameshindwa kuwatafutia soko wakulima wake...
Habari zenu wakuu,
Leo kwa mara ya kwanza niliamua kutumia hii huduma ya Premium katika kupost tangazo langu. huwa napost vitu vingi na kuviuza kupatana but huwa natumia ile ya...
Habari zenu wanajamii.
Nimeanza maandalizi ya kufungua mradi wa usambazaji wa maziwa fresh kutoka kwa wakulima
hadi kwa walaji hapa mujini.
Natafuta storage facilities namaanisha tenki la ujazo wa...
Husika na kichwa cha Habari hapo juu,
Natafuta mkopo wa haraka haraka, natafuta kiasi cha laki na nusu tu nitarejesha baada ya wiki mbili.
Tafadhali naomba kusaidiwa.
Yesu Anaponya.
polen na kazi wana jf,niende kwenye maada hivi ni kweli serikali yetu imeshindwa kulipa billion 80 ili tuchukue bombardier yetu,najaribu kutafakari vyanzo vyote vya uchumi
Tuanze na VAT
Vocha ya...
Nchi ina mambo ya ajabu hii!
Watu wa LAPF wanatoa fao la kujitoa, wengine akina PPF wanazuia pesa za watu. Vyombo vyote hivi viko chini ya SSRA, chombo kinachosimamia na kudhibiti mifuko hii...
Wana JF
Katika pitapita yangu nikakutana na waheshimiwa wa wakala wa ujenzi na vigae vya kuezekea nyumba. Vigae hivi ni bei nafuu na inawezekana vikawa mkombozi kwa mtanzania, kigae kimoja ni sh...
Kila mtu anajua umuhimu wa mawasiliano popote pale ulipo kuwasiliana na jamaa au ndugu kwa kikazi pia. Swala langu ni kwa nini iwe rahisi kupiga simu Kenya kutoka Uk kuliko Tanzania? Utakuta bei...
Ni ukweli usiopingika kwamba Kwa sasa hari ya kibiashara sio nzuri sana na hii inasababishwa na mambo mengi mni mengine tunayajua na mengine tunaweza kuwa hatuyajui kabisa.
Kuna Biashara nyingi...
Nimeagiza mzigo toka mwezi wa 6 mpaka sasa na yamebaki masaa kadhaa tu purchase protection iwe end sasa nataka nifungue dispute wakuu
Jee watanirefund?
Na pia wanataka niapload picha ya ushahidi...
Business rent sharing idea..
Natafuta mtu anaefanya biashara yeyote isiyo na usumbufu wa harufu au kelele… wa kushare nae kodi ya space tutakapofanyia biashara na kufanya separations … ( this...
Ulivyo sasa hivi ni matokeo ya kile unacho waza au unacho fanya.Ulivyo sasa ni uwekezaji ulio ufanya kichaani mwako.
Sasa swali je kwenye akili zako kuna uwekezaji gani?
Unawaza nini akilini...
Nimewaza sana kutafuta ufadhili wa kampuni yoyote ili inijengee hostels za kisasa zenye vyumba hamsini lakini nimeona ni vyema nilete wazo langu hapa na baada ya hapo ndo nichukue maamuzi, malipo...
Kwa sasa mtaani kumekuwa na shida kubwa juu ya hawa ndugu zetu wachina kwani wanachofanya mitaani si sawa hasa kwa vijana na watoto walio chini ya umri wa miaka kumi na nane , wanasambaza mashine...
Najua huku kuna wataalamu wa mambo ya fedha. Naomba usharui nataka kufungua account ya fedha ya kigeni husasani Sterling Pound (£) na vile vile nataka niwe nahamishia fedha kwenye e-wallet kama...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
This pair is neutral in the short-term, but bullish in the long-term. Price moved sideways from Monday to Thursday, and...
“One thing very good traders have is insight into themselves.” - Chris Tate
FUN AND GAMES
Recently Louise Bedford and I have been doing the Short Term Trading Magic seminars in a few places...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.