Hamjambo wakuu,
Napenda kufahamu namna watengenezaji wa sabuni majumbani wanavyopata
faida, hasa sabuni za kipande/miche .
Je , gharama za maligjafi zikoje? Mfano soda ash nk
Je, time...
Jamani kuna mkasa umenipata nimeona niuweke hapa ili kama kuna watu wa TRA wausome na waache wizi.
Jamaa yangu amenunua gari zake mbili zilizotumika. Gari alizonunua ni Escudo gharama zilikuwa...
Naombeni kwa mwenye kujua jinsi ya kupata TIN Number.
Asanteni
HABAR WAKUUU,
Nnaomba msaada kwa anaejua ni njia zipi nizitumie kupata Tin number ya TRA kwa ajili ya kampuni, nmesajili kampuni...
Nimekuwa na biashara ya kutengeneza chopstick wengine huziita chokstick, nataka niziweke kwenye kifungashio na ziweze kukaa hata kwa mwezi mzima bila kuharibika na pia kupanua soko langu, naomba...
Ajira za kuajiliwa za hovyo sana wakati mwingine.
Serikali mishahara midogo sana.
Unaenda benki mara 1 umeshakatika kabla hata ya tarehe 30.
Moshi mjini kuna kijiwe kinaitwa 'Red Stone'. Kipo...
GOLD (XAUUSD)
Dominant Bias: Bearish
Gold is bearish in the short-term, and neutral in the long-term. In the long-term, price consolidated throughout November; but in the short term, the last...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
The bullish bias on EURUSD was challenged last week, as price was pulled towards the support line at 1.1800. However...
Mwanzo mgumu wakuu, na kila jambo linahitaji ufahama kabla ya kulivamia.
Niko zangu Mozambique ki maisha, huku niliko nimelifumania chaka linatoa dhahabu sasa nimepanga kununua nakuja kuuza hapo...
Jamani, kunayeyote alihawi kununua hisa za tccia.je muliwahi kupata gawio la hisa au kupata hata taarifa za maendeleo ya uwekezani kutoka kampuni hiyo.natanguliza shukrani
Naamini wanajamvi wazima, nianze kwa kusema maisha ya sasaivi ni magumu bila kuthubutu na kujitoa kwakeli autoki kwenye haya maisha
Niende kwenye mada, mimi ni mwanachuo wa mwaka wa pili...
Wadau naomba mnisaidie gharama za kufanya installation za machine ya Peanut roaster machine, peanut peeling machine na peenut butter machine zote kwa pamoja zinagharimu kiasi gani za fedha za...
wakuu.
niliwahi kuandika hapa kuhusu mazingira na sera mbovu za kibiashara kwa sasa Tanzania,
hakuna mtu atavumilia kukimbizana na TRA kila leo , wana east africa wengi wataenda kufanya biashara...
Chemba ya viwanda, biashara na kilimo nchini (TCCIA ) imepokea ugeni wa wafanyabiashara kutoka nchini Ufaransa wenye lengo la kujadili na kupanua mianya ya biashara kati ya Tanzania na Ufaransa...
Habari wadau,
Siku za karibuni nimeanza kufanya biashara za usindikaji, nasindika asali na korosho, ila nna changamoto ya kuwa na barcode kwa bidhaa zangu, naomba kwa anaejua mchakato wa kupata...
Ndugu wanajamvi, heshima kwenu.
Nataka kujiingiza kwenye hii biashara ya kununua machupa na kuuza kiwandani.
Kwa wale wanaofanya au waliofanya nipeni dondoo ya hii biashara.
Bei ya kununulia...
Ni rahisi kufanikisha jambo lolote, ikiwa jambo hilo utataanza kulifanya mara moja na kuacha kusubiri.
Ni rahisi kujifunza kitu kipya kwenye maisha yako, ikiwa utaamua kweli kujifunza kila siku...
Ni wazo kuu ni hivi kutegemea na soko la ajira kwa wenye taaluma mbalimbali limekua gumu napenda kuwaomba vijana wenzangu tuungane kwa pamoja kisheria tufanye jambo.
Kwanza nimeandaa mkakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.