Habarini wanaJF![emoji112]
Naombeni ushauri na pia kama mna idea nyingine naombeni mnisaidie.
Ndiyo nipo kwenye research yangu hii ndogo,ningependa kufahamu bei ya mashine MUHIMU za kutengeneza...
Habari za humu wakuu,Kumekuwa na story za nyumba za Lugumi zikivuma kabla na baada ya mnada zaidi ya week sasa.Naomba nijuzwe huyo Lugumi ni nani? na nini kilichopelekea nyumba zake kupigwa mnada?
Nataka kuanza biashara ya kutengeneza na kuuza unga wa lishe kwa watoto na wakubwa. Sasa changamoto nilonayo ni pa kupata vifungashio vya unga. Na pia soko lake nalifanya vipi ili niuze unga wangu...
Habari zenu wana jamvi mimi ni mwanachuo wa mwaka wapili apa UDOM kwasasa nina 200,000/= ambayo nataitafutia kibiashara au shughuri yoyote ya ku invest hii pesa ili inizararishie na huu ndio...
Wanabodi,
Clouds Fm wanafanya show yao ya Fiesta tarehe 25 Nov huku EFM pia wakifanya show yao tarehe hiyo jijini Dar tena bure, Dar ina watu wengi lakini ni kweli usiopingika kuwa lazima kuna...
Kwema huko mwakwenu wandugu?
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara kwa nn Africa kitu kinaitwa kianzio ni changamoto kwa % kubwa?
Tatizo ni nn?
Za chini chini zinasema kuwa kwa muda aliongoza Bw...
Mimi ni m1 wapo kama kichwa cha uzi.. Nina lengo la kua mfugaji wa kuku wa biashara ila wiki hii nimekumbana na hasara ya laki mbili na 10.. Baada ya kuku wangu karibia 10 kuugua na hatimae kufa...
Habari Wakuu!
Kila kona, kila mtaa na viunga vingi ambavyo ndani mwake kuna changanyikeni ya watu, habari ni ujasiliamali. Vijana wengi wamebadilika na kuamua kufanya biashara flani ili...
Utapeleka makato ya Bima kila mwaka hadi lini bila wewe kulipwa?
Bima ikishakomaa na kuiva tayari kulipwa piga moto kitu ulivyowekea bima kisha ongea na watu wawili watatu wa bima haswa wa...
Kama upo sirias na unahitaji kuwekeza ili uweze kukuza uchumi wako, tafadhali naomba niambie ili nikupe mbinu znazonifanya kila siku nizidi kuwa bora zaidi kiuchumi, nipo tayari kukusaidia...
Huyu jamaa ukiingia youtube yuko number #1 on trending for five days now. Nitashangaa makampuni mbalimbali ya kibiashara na watu wa marketing wasipomtumia huyu mzee kwenye biashara zao. I see an...
Nakunywa maji ya maembe kutoka Misri, nikafanya uchunguzi mdogo tu.
Misri ni jangwa, eneo linalolimika halizidi 3.5% yake (35,000 km2 katika bonde la mto Nile) na inauza nje maji ya maembe...
Ndugu wana jukwaa ningependa kupata elimu kutoka kwenu kwamba ni biashara ya ukubwa gani inapaswa kukatiwa lesseni ya biashara, lakini zaidi natamani kufaham ni pato kiasi gani kwenye biashara...
Humu ndani tumekuwa ni zaidi ya ndugu kutokana na wote kuwa na tatizo moja la kukosa ajira huku tukilalamikia kukosa mitaji lakini je unatambua kuwa unaweza usiwe na mtaji lakini ukaweza...
Je unataka kujiajiri katika Forex online trading? Au unapenda kutumia muda wako wa ziada kujiongezea kipato kwa kutrade online?Tutakufundisha.
Je unapenda kujifunza jinsi ya kufanya technical...
Habari wana-Jf.
Kulingana na namna ya kumiliki shughuli au jambo fulani nchini mwetu, yatupasa kuzifahamu sheria na taratibu katika jambo husika. Pia kutokuzifahamu taratibu hizo na sheria ni...
Habari wadau!
Naomba kufahamishwa namna gani naweza kufanya ili niweze kuwa wakala wa bima . vitu gani vinahitajika yaani kama kuna mtaji nk. Natanguliza shukran kwa mawazo yenu mtakayotoa.
Inaelezwa kuwa bidhaa za viwanda kutoka nje ya nchi zinaingia kwa wingi nchini, lakini hakuna mfumo thabiti wa kusimamia uingizaji wa bidhaa hizo hali ambayo inadhoofisha nguvu ya viwanda vya...
Ni ukweli usiofichika kwa wafanyabiashara wa mjini? ili kuweza pata Fridge la Bonite inaweza chukua zaidi ya mwaka. Mara ya kwanza nilifikiri utani ila mimi binafsi nilijionea,
nilihitaji fridge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.