Habari wakuu,
Naomba wenye utaalamu waku calculate Vat wanisaidie hii hezabu.
Nilinunua bidhaa kwa bei ya tsh. 240,000/=(VAT inclusive)
VAT = 20%
Je ni kiasi gani cha kodi ambacho nimelipa kama...
Nimekuwa nikiuliza watu wengi maswali kuhusu kujiajiri na kuajiriwa....most of the answers imekuwa kujiajiri ndio "mchongo",sasa mbona sioni jitihada za watu kutaka kujiajiri.....halafu inakuwaje...
Now day kuna motivations stories nyingi sana, Uki google utakutana na stories za kila aina,
Kuna hadi Motivation speaker wakina James Mwang'amba na wengineo kila siku utawasikia wapo Holday inn...
Kama daladala ya kariakoo_Tegeta inatumia lita 150 kwa siku.....
Na kama serikali imeongeza sh 40 kwa lita kama mbadala wa motor vehicle road license...
Kama dalaladala hiyo ilikuwa ikilipa road...
Habari ndugu zangu katika ujasiriamali katika jambo lolote lile ambalo tunafikilia kulifanya kuna watu walishalifanya na wakafanikiwa.
Najua tunapenda ujasiriamali lakini chagua kwa watu...
GOLD (XAUUSD)
Dominant Bias: Bullish
Gold trended smoothly upwards last month, reaching a low of 1251.28 and a high of 1325.75. On September 1, price made some bullish attempt, closing at...
Wakuu habari.
Huku nikiwa nalia na mbaazi ndani , bado naangalia soya inavoozea ndani, na bado naangalia mahindi bei ilivo chini ambapo ukiuza gunia mbili ndio unapata mfuko mmoja wa mbolea naomba...
Habari za Leo wana Jamii, Natumaini waote ni wazima wa afya Leo ni maada (wazo) fupi la kuchangia kuhusiana na kichwa cha habari hapo.
Principal Licence ilitangazwa miaka mili iliyopita ikiwa...
Wanajukwaa kama kichwa kinavyojieleza nataka kununua Hisa za Crdb na kuziuza ili nipate faida kidogo kidogo kutokana na kautafiti kangu nilichokafanya kwa mfano juzi niliangalia Hisa moja ilikuwa...
Wadau mpo powa!
Hivi karibuni kumeibuka biashara nyingi sana za mitandaoni ambazo zimekuwa zikivutia sana kwa kujinadi kwao. Mfano wa biashara hizo ni D9, Amazon traders, Elnet Africa, Helping...
by Jenny
I have had a couple of emails lately from parents, containing attitudes which I found a little worrying.
We support the teaching of business skills to kids, and we encourage parents to...
AUS200
Dominant bias: Neutral
In the last few months, AUS200 has been in a neutral phase. The market is quite choppy, rough and unattractive, oscillating upwards and downwards with no...
Nawasalimia wana JF.
Nitakuwa nawaletea miradi nchini inayofanyika na inayotarajiwa kufanyika ndani ya miaka 10 iliyobaki.
Nitakuwa naweka picha na video ili kuonesha design yake au namna...
Leseni ya Mwendelezaji
Hii inatolewa kwa mwekezaji anayetaka kuwekeza katika miundo mbinu kama vile ujenzi wa majengo ya viwanda na maghala, ujenzi wa barabra za ndani, usawazishaji mazingira na...
Ndugu yangu wakati ukiwa unatekeleza mipango yako zipo changamoto zitakazokupitia na kukufanya hujihisi huna nguvu tena ya kuendelea. Kama wewe unaesoma ujumbe huu umekumbwa na jambo kama hili...
Kwa wale ambao wameshaanza kutumia huduma hii naomba mtujuze tafadhali,ni kiasi gani unapaswa kuweka akiba ili ustahili kupata mkopo?
Na mengine ambayo ni muhimu kujua kuhusu huduma hii...
Hi People
Nahitaji msaada kujua kama unataka kufanya biashara na USA kupitia AGOA unafanyafanyaje??
Nasikia soko liko waziwazi huko America, tunasububiriwa siye tu tupeleke bidhaa.
Msaada tafadhali
Ndugu Wanajamvi,,
Poleni na majukumu.
Historia:
Mimi ni kijana umri 25. Nilimaliza kidato cha 4 mwaka 2010. Nikafaulu na kuchaguliwa kujiunga form 5 (2011) Azania boys. Comb: PCB. Mlezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.