Ndugu zangu waweza kua mtumishi wa Umma au umeajiriwa au Huna kazi. Lakini tambua hakuna kazi utakayo fanya ili ufanikiwe hakika.
Nunua vitabu vifuatavyo na nikuunge kwenye group la mafunzo mbali...
Miaka ile kulikuwa na mavitabu yale ya njano yana namba za simu za watu binafsi, makampuni na mashirika mbalimbali.
Ni kwamba watu hawaoni fursa hii au ni kwamba sisi tumeendelea saaana? Hata...
kiukweli kwa mtu yoyote msomi au mtu yoyote ambae yupo mtaani yawezekana akawa anajua hili?? kwangu mimi naona Elimu yetu TZ haimuandai kijana kuja kutegemea taaluma yake kumkuzia kipato bila...
Habari wanajamvi,
Nataka kumfungulia saluni dogo aweze kupata riziki ya kila siku hana uzoefu na biashara hii ingawa anapenda. Hivyo Tafadhali mwenye uzoefu a-share nasi hapa kupata ujuzi zaidi...
Habarini wana JF nina mtaji wa sh laki tano (500000) nimefikiria biashara ya kuuza chakula yaan kwani watu wanadai inalipa sana.
Ila kwa kua sina uzoefu nayo hivyo nmejikuta nna maswal meng kuhusu...
Nataka kuanza kutengeneza crips (ndizi na viazi) na kusambaza madukani,Je nahitaji vifaa gani ili niweze kutoa crips bora,Je mnanishauri mashine gani itayoweza kuvimenta chap chap na kwa wingi...
Wakuu nataka kuhamishia gari yangu aina ya costa mkoa wa Lindi.
Je, biashara ya daladala inalipa huko?
Nimesikia kwa siku unalaza laki je ni kweli?
Naomba wakaazi wa Lindi wanipe ufafanuzi wa...
Habari za siku nyingi wapendwa wangu.
Ni mda mrefu sijaingia kwenye mtandao huu takribani miezi mitatu kama sikosei, naamini kuna vitu vingi vitamu ambavyo vilinipita bila mimi kuvipata. Ok; acha...
Tanzania like Kenya has the save fiber network but in Kenya access to faster internet is cheaper which has allow for companies to have their offices in Kenya while Tanzania has lag behind.
There...
Wana Jamii...!!!
Ninayo imani kubwa na jukwaa hili kutokana na manufaa mbalimbali tunayoyapata hasa katika kupata taarifa za muhimu zinazohusu shughuli zetu za kila siku.
Wa-ndugu nipo katika...
Habari zenu wana JF..
Nimepatwa na uitaji wa pesa ya kiasi cha Tsh 1.7mil kwa mwenye uwezo wa kunisaidia hiyo pesa dhamana ni kiwanja...
Number yangu ni 0656143546. Asanteni..
Nimesikia kuwa katika kuondoa matumizi ya mercury yanayopigwa marufuku na serikali ktk machimbo ya dhahabu, wachimbaji wadogo wamegeukia borax ambayo inafanya kazi kama mercury. Eti hii ni kweli...
Wakuu tubadilishane mawazo hapa
Tusio na mitaji huwa tunakuwa na mawazo mazuri sana ya kibiashara.
Kwa mfano, mimi napenda sana kuagiza shela za harusi kutoka China na Dubai kwakuwa bei zao zipo...
Kama tunavyojua biashara ni matokeo ya kusuluhisha changamoto zinazojitokeza katika maisha ya kila siku
Katika changamoto hizi ndipo unapogundua kuna jambo la kufanya kukuingizia kipato.
Haya...
Habari wakuu
Kuna mzigo wangu niliununua mtandaoni huko aliexpress nilituma kwa njia ya posta ya CHINA POST ORDINARY SMALL PARKET. Mzigo ulivyotoka nje ya china kuja tz ukawa hautrack...
Habari zenu wadau
Hapa ninapofanya kibarua kuna store za bidhaa mbalimbali lakini nyingi miongoni mwazo ni madaftari (counter book).
Nimejaribu kumuuliza jamaa ambae anadeal na counter book za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.