nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Habaru wakuu...
Kuna fursa mbili hapa naziona hapa kwa Mimi kijana ambaye kwa sasa nimeamua kujikita katika masuala ya biashara ila Mara nyingi kabla sijaanza biashara uwa nakuja jf kwa ajili ya kupata uzoefu wa wadau wa biashara waliopo humu ndani
1..Uuzaji wa nguo na T-shirt printing hii biashara naona hiko pia sana hasa kwa upande wa mjini naona watu wanapendeza sana kwa hizi t-shirts za kuprint naombeni msaada nijue naanzia wapi juu ya fursa hii nisije nikaingia kichwakichwa najua humu ndani kuna wadau wengi wanaojua masuala haya...
2..kuna issue ya stationery hapa naongelea kwa masuala ya business card,printing,na mengineyo wakuu hapa naanzaje kwa mtu ambaye anahitaji kuanza shughuli hii msaada wenu
Kuna fursa mbili hapa naziona hapa kwa Mimi kijana ambaye kwa sasa nimeamua kujikita katika masuala ya biashara ila Mara nyingi kabla sijaanza biashara uwa nakuja jf kwa ajili ya kupata uzoefu wa wadau wa biashara waliopo humu ndani
1..Uuzaji wa nguo na T-shirt printing hii biashara naona hiko pia sana hasa kwa upande wa mjini naona watu wanapendeza sana kwa hizi t-shirts za kuprint naombeni msaada nijue naanzia wapi juu ya fursa hii nisije nikaingia kichwakichwa najua humu ndani kuna wadau wengi wanaojua masuala haya...
2..kuna issue ya stationery hapa naongelea kwa masuala ya business card,printing,na mengineyo wakuu hapa naanzaje kwa mtu ambaye anahitaji kuanza shughuli hii msaada wenu