Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
231
Posts
7.2K
Threads
231
Posts
7.2K

JF Prefixes:

Habari zenu wapendwa, Mimi ni kijana mwenzenu nina ndoto za kuthubutu kuanzisha kampuni yangu ya masuala ya research and consultancy. Hivyo anaejua utaratibu anisaidie ikiwezekana na gharama...
0 Reactions
4 Replies
904 Views
Nina uhakika kuwa wengi wa wafanyakazi ambao wataachishwa kazi baada ya uhakiki wa vyeti, walikuwa na mikopo katika taasisi mbalimbali za kifedha akiwemo mkopeshaji mkuu wa watumishi wa umma...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish Last week, this pair opened with a massive gap-up, which also happened on other EUR pairs. Price managed to reach the...
0 Reactions
0 Replies
385 Views
  • Redirect
Mimi natafuta mtu anaye weza kunisaidia kupata TIN Number na Lesen ya biashara-
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Wanajukwaa, nawasalimu katika jina la kujitegemea. Nina wazo na nimeanza kutenga sehemu ya pato langu ili nianzishe biashara itakayo niongezea katika kidogo changu nacho pata kila mwisho wa...
0 Reactions
Replies
Views
Ndugu zangu, Mimi ni mfanyakazi katika moja ya Manispaa ya jiji la Dar-es-salaam, nilikopa katika benki ya Backleys mwaka 2009. Kwa makubaliano ya marejesho yatakuwa yakikatwa kutoka kwenye...
0 Reactions
3 Replies
757 Views
  • Redirect
Habari wadau, Naomba mwenye ujuzi wa biashara ya kutengeneza sabuni za miche anisaidie,natamani kufanya biashara hii naomba mwenye kuifahamu anisaidie mwangaza kidogo.Mahali yanapopatikana...
0 Reactions
Replies
Views
poleni na kazi za mchana kutwa, Mimi kama mfanya biashara/mjasiriamali mdogo nahitaji mkopo kwa ajili ya kukuzia biashara yangu kiasi cha kuanzia milioni 2 kuna mtu alinishauri niende NMB kisha...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwa uzoefu wangu mdogo ni kwamba, (a) hakuna hela za rahisi (b) hakuna mafanikio wala utajiri wa chapchap. Ninachokijua ni kwamba ili upate hela, ili ufanikiwe ni lazima (1) ujifunze kwa bidii (2)...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO TAARIFA KWA UMMA WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA UNUNUZI HISA ZA AWALI ZA VODACOM. Serikali imewataka watanzania kuchangamkia fursa ya...
0 Reactions
4 Replies
928 Views
Habari wakuu!!!? Naomba aliye na uzoefu anisaidie makadirio ya gharama inayoweza hitajika kujenga hiyo nyumba(Pichani) nchini hapa hasa Mkoani Mwanza
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Siku zote tumefundishwa kuambatana na upande utendao haki , ukipuuza umekwisha ! Taarifa nilizozipata ni kwamba Kitendo cha Jokate kujiingiza kwenye siasa za ccm , chama ambacho kinachukiwa na...
12 Reactions
80 Replies
7K Views
Jamani nasikia nnsf wanakutana tarehe kumi na moja ili kujadili kuzuia mafao ya mwanachama hili limekaaje wakuu
0 Reactions
21 Replies
3K Views
It may seem a contradiction to say that you don’t want to pay attention to the profit of a trade. In fact, many of you might be saying that this guy must be smoking rope to say that profit is...
0 Reactions
0 Replies
287 Views
Mambo vipi wadau,mwaka jana niliwahi kusikia mihogo ni dili mara mchina kaja kununua sijui iliishia wapi.Coz kuna mahali nina mashamba yangu nataka nijue kama inalipa nianze kuwa bize na kilimo...
0 Reactions
2 Replies
826 Views
*MAWAZO YANGU LEO* *VODACOM mnashawishi sana watu kununua hisa pasipo kuwapa elimu ya kutosha juu ya Faida na hasara ya kujiunga na biashara hii, ikumbukwe kuwa hii biashara ni mpya kwa watu...
0 Reactions
0 Replies
515 Views
  • Redirect
Mimi ni mkazi wa Mbeya, Tunduma, niliwaza swala la kujiajiri, nikaona sina kipaji kingine zaidi ya ususi wa nywele, sasa naombeni ushauri, na mtaji wake unaweza kuwa kiasi kagi, tafadhali naombeni...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Jamani naishi dar nasoma chuo nimetafta wazo la biashara ndogo ambayo nitaweza kuifanya uku nikiwa naendelea na masomo lakini sijapata jibu maana zilizo nyingi nilizowaza watu wanafanya ni wengi...
0 Reactions
Replies
Views
Pause: Entrepreneurship should be taught as a subject in all schools across Africa. By far the biggest employer of people in Africa is what is generally called the "informal sector." I personally...
3 Reactions
2 Replies
570 Views
Nimeikuta hii picha ya ndege mpya Ingawa mimi sio mpandaji wa ndege, ila hakika mhe Magufuli tutamkumbuka. Picha inajieleza.
7 Reactions
60 Replies
6K Views
Back
Top Bottom