Habari zenu wapendwa,
Mimi ni kijana mwenzenu nina ndoto za kuthubutu kuanzisha kampuni yangu ya masuala ya research and consultancy. Hivyo anaejua utaratibu anisaidie ikiwezekana na gharama...
Nina uhakika kuwa wengi wa wafanyakazi ambao wataachishwa kazi baada ya uhakiki wa vyeti, walikuwa na mikopo katika taasisi mbalimbali za kifedha akiwemo mkopeshaji mkuu wa watumishi wa umma...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
Last week, this pair opened with a massive gap-up, which also happened on other EUR pairs. Price managed to reach the...
Wanajukwaa, nawasalimu katika jina la kujitegemea.
Nina wazo na nimeanza kutenga sehemu ya pato langu ili nianzishe biashara itakayo niongezea katika kidogo changu nacho pata kila mwisho wa...
Ndugu zangu,
Mimi ni mfanyakazi katika moja ya Manispaa ya jiji la Dar-es-salaam, nilikopa katika benki ya Backleys mwaka 2009. Kwa makubaliano ya marejesho yatakuwa yakikatwa kutoka kwenye...
Habari wadau,
Naomba mwenye ujuzi wa biashara ya kutengeneza sabuni za miche anisaidie,natamani kufanya biashara hii naomba mwenye kuifahamu anisaidie mwangaza kidogo.Mahali yanapopatikana...
poleni na kazi za mchana kutwa,
Mimi kama mfanya biashara/mjasiriamali mdogo nahitaji mkopo kwa ajili ya kukuzia biashara yangu kiasi cha kuanzia milioni 2
kuna mtu alinishauri niende NMB kisha...
Kwa uzoefu wangu mdogo ni kwamba, (a) hakuna hela za rahisi (b) hakuna mafanikio wala utajiri wa chapchap. Ninachokijua ni kwamba ili upate hela, ili ufanikiwe ni lazima (1) ujifunze kwa bidii (2)...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO
TAARIFA KWA UMMA
WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA UNUNUZI HISA ZA AWALI ZA VODACOM.
Serikali imewataka watanzania kuchangamkia fursa ya...
Siku zote tumefundishwa kuambatana na upande utendao haki , ukipuuza umekwisha !
Taarifa nilizozipata ni kwamba Kitendo cha Jokate kujiingiza kwenye siasa za ccm , chama ambacho kinachukiwa na...
It may seem a contradiction to say that you don’t want to pay attention to the profit of a trade. In fact, many of you might be saying that this guy must be smoking rope to say that profit is...
Mambo vipi wadau,mwaka jana niliwahi kusikia mihogo ni dili mara mchina kaja kununua sijui iliishia wapi.Coz kuna mahali nina mashamba yangu nataka nijue kama inalipa nianze kuwa bize na kilimo...
*MAWAZO YANGU LEO*
*VODACOM mnashawishi sana watu kununua hisa pasipo kuwapa elimu ya kutosha juu ya Faida na hasara ya kujiunga na biashara hii, ikumbukwe kuwa hii biashara ni mpya kwa watu...
Mimi ni mkazi wa Mbeya, Tunduma, niliwaza swala la kujiajiri, nikaona sina kipaji kingine zaidi ya ususi wa nywele, sasa naombeni ushauri, na mtaji wake unaweza kuwa kiasi kagi, tafadhali naombeni...
Jamani naishi dar nasoma chuo nimetafta wazo la biashara ndogo ambayo nitaweza kuifanya uku nikiwa naendelea na masomo lakini sijapata jibu maana zilizo nyingi nilizowaza watu wanafanya ni wengi...
Pause: Entrepreneurship should be taught as a subject in all schools across Africa.
By far the biggest employer of people in Africa is what is generally called the "informal sector." I personally...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.