Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Kutoka kununua hisa moja tsh 800 imeshuka mpaka tsh 72 haibu nimejuta kununua hisa zenu
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba tudiscuss fursa ambazo mwana chuo anaweza akazitumia awapo chuoni kujitengenezea kipato Karibuni sana wadau na wanajukwaa
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu mm ni kijana wa miaka 22 niko mjini nafanya kazi ya kuajiriwa kwa mtu kwahiyo kila siku inanipasa niamke saa 12 asubuhi na kurudi saa moja usiku Hii kazi nimefanya kama miaka 4 ila naona...
1 Reactions
32 Replies
8K Views
Kama una njia mwanana ya kupunguza nilichokitaja hapo juu unawepa pata promotion nzuri ya kazi eneo mwanana.. Nipe mkakati mzuri wa jinsi ya kufanya hivyo.nikiona unafaa kwa sbb nmekua na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
1. Kodi lazima iwe jambo la kwanza kuwaza. Hebu waza kwanza ni biashara gani nifanye ambayo haitonilimbikizia mzigo wa kodi? Ni lazima biashara utakayoichagua iweze kukupa faida ya kutosha kuliko...
6 Reactions
10 Replies
2K Views
Binafsi ni muumini wa kilimo na Teknolojia. Najaribu kuwaza kiwanda gani naweza kununua au kutengeneza kwa gharama ya millioni nne za kitanzania angalau kije kufunguliwa na kiongozi wangu wa mtaa...
12 Reactions
162 Replies
57K Views
Wakuu kama uzi unavyojieleza wewe unatarajia kuanzisha either genge kijiosk. Duka ama project yeyote yenye kuwekeza kias fulani cha pesa ila kutokana na kukosa ujuzi unahisi kama hutofika mbali...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Salamu, Nimgependa kupata ushauri na maelezo wa jinsi ya kuwa a Clearing Agent. Ningependa kujua ni license gani zinahitajika na ni mamlaka zipi zinatoa hizo license Ningependa kujua gharama...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Baada ya bomoa bomoa ya maeneo ya JAMATINI,SARAFINA NA STAND YA MKOA maeneo ambayo yanamilikiwa na Shirika la Reli Tanzania na Wajasiliamali kupitia umoja wao wameomba eneo la kufanyiabiashara kwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Biashara ni ajenda ya Duniani sasa, Viwanda ni kujenga uchumi wa kujitegemea, hivi ni kuvifikia ikiwa Taifa halifundishi jinsi ya kupata mahitaji ya kwa kujitegemea. Ikiwa shule zitafundisha...
2 Reactions
0 Replies
746 Views
Hamjambo wakuu, Napenda kufahamu namna watengenezaji wa sabuni majumbani wanavyopata faida, hasa sabuni za kipande/miche . Je , gharama za maligjafi zikoje? Mfano soda ash nk Je, time...
0 Reactions
0 Replies
892 Views
Jamani kuna mkasa umenipata nimeona niuweke hapa ili kama kuna watu wa TRA wausome na waache wizi. Jamaa yangu amenunua gari zake mbili zilizotumika. Gari alizonunua ni Escudo gharama zilikuwa...
0 Reactions
58 Replies
14K Views
Naombeni kwa mwenye kujua jinsi ya kupata TIN Number. Asanteni HABAR WAKUUU, Nnaomba msaada kwa anaejua ni njia zipi nizitumie kupata Tin number ya TRA kwa ajili ya kampuni, nmesajili kampuni...
0 Reactions
173 Replies
68K Views
Nimekuwa na biashara ya kutengeneza chopstick wengine huziita chokstick, nataka niziweke kwenye kifungashio na ziweze kukaa hata kwa mwezi mzima bila kuharibika na pia kupanua soko langu, naomba...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Ajira za kuajiliwa za hovyo sana wakati mwingine. Serikali mishahara midogo sana. Unaenda benki mara 1 umeshakatika kabla hata ya tarehe 30. Moshi mjini kuna kijiwe kinaitwa 'Red Stone'. Kipo...
14 Reactions
121 Replies
15K Views
GOLD (XAUUSD) Dominant Bias: Bearish Gold is bearish in the short-term, and neutral in the long-term. In the long-term, price consolidated throughout November; but in the short term, the last...
0 Reactions
1 Replies
693 Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish The bullish bias on EURUSD was challenged last week, as price was pulled towards the support line at 1.1800. However...
1 Reactions
1 Replies
505 Views
Mwanzo mgumu wakuu, na kila jambo linahitaji ufahama kabla ya kulivamia. Niko zangu Mozambique ki maisha, huku niliko nimelifumania chaka linatoa dhahabu sasa nimepanga kununua nakuja kuuza hapo...
2 Reactions
19 Replies
12K Views
Jamani, kunayeyote alihawi kununua hisa za tccia.je muliwahi kupata gawio la hisa au kupata hata taarifa za maendeleo ya uwekezani kutoka kampuni hiyo.natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naamini wanajamvi wazima, nianze kwa kusema maisha ya sasaivi ni magumu bila kuthubutu na kujitoa kwakeli autoki kwenye haya maisha Niende kwenye mada, mimi ni mwanachuo wa mwaka wa pili...
4 Reactions
42 Replies
13K Views
Back
Top Bottom