Ndg zangu Wanajamii,
Nimekwama naomba ushauri, nimepata mkopo wa TZS milioni 5, nina wazo la biashara ya jumla ya kununua gunia za Mchele toka Mbeya - Mbalali na kuleta hapa Dar na kuuza kwa...
Nikiwa kama mteja na at the same time nimepitia kazi za marketing nyingi, nashangaa sana kwa kuwa sijakutana na wafanyabiashara wanaotumia hii njia ili kupata wateja, especially kwenye karne hii...
CRDB yakiri kuitaifisha Sekondari kufidia deni
BENKI ya CRDB imekiri kuichukuwa Shule ya Sekondari ya Mkandawile kwa kufidia mkopo wake walioutoa kwa mmiliki wa shule hiyo.
Ofisa uhusiano...
Kama heading inavyo sema ,katika harakati zangu za kusaka pesa nimepata wazo la kufanya hii biashara. Huku niliko maziwa yanapatikana kwa wingi sana kwa bei ya chini,mpango wangu ni kununua maziwa...
Wakuu naomba kujua pesa ya Zambia (Zambian kwacha) kwa mfano 100 ya Zambia ni sawa na Tsh ngapi kwa sasa ktk maduka ya kubadilishia pesa? Nikipata kwa walio mbeya itapendeza zaidi.
A few days ago nilipata hamu ya kula ndizi, nikatoka kidogo kwenda nje kununua, when i got there nikatoa mia tano (500) ambayo without me knowing ilikua imechanikakwa juu kidogo tu, nlipo mpa...
Fedha ni muhimu sana kwenye maisha yetu, kwa yale mambo yanayohusu fedha. Na kwa kuwa karibu kila kitu kwenye maisha yetu kinahusu fedha, basi fedha ina umuhimu mkubwa.
Sitaki nianze kukuambia...
Wakuu amani ya bwana iwe nanyi,
Kwanza kabisa hakuna mzazi hata mmoja ambaye anapenda mwanae au kijana wake asifanikiwe lakini kwa namna moja ama nyingine wazazi wamekuwa ni chanzo cha vijana na...
Habari ya Jumatatu
Ni hivi, miaka kama 6 iliyopitia nilitengeneza network moja ya kijasiriamali na watu wa nje ya bara la Africa. Nimeshafanya nao shughuli nyingi ambazo baadhi zilitulipa na...
Tarehe 12/03/018 majira ya SAA 12:30 jioni hapa mtaani kwetu alionekana mama wa makamo ajulikanae kwa jina la mama Emmy akirukaruka na kwa furaha huku akikumbatia miti, kuibusu na kuikatia mauno...
Habari wakuu nimepata matatizo ya kifamilia wakuu nina shida sana wakuu nahitaji atakaeweza kunikopesha sh 50000 nitarudisha tarehe 20 ni uaminifu wangu 100% nitarudisha maana jasho la mtu...
Nina miaka sita toka niajiriwe kwenye kampuni flani,
Mshahara wangu ni tsh 800000 kwa mwezi ambao ukikatwa na makato pamoja na marejesho ya mkopo napokea tsh 421000 kwa mwezi
Familia yangu ni ya...
Habari za leo ndugu zangu,
Mwenzenu naomba ushauri na njia ya kupata wafadhili mimi ni muandaaji wa filamu za hapa Kwetu kupitia mawazo ya watu niliamua kusajili kampuni kwa lengo la kufanya...
Habari wadau wote wa JF ni matumaini yangu mko salama Kwa uwezo wake Mwenyezi mungu, heshima kwenu wote.
Naomba kuwasilisha swala hili mahali hapa kwani nafahamu humu Kuna watu walio yapitia...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Neutral
This pair has consolidated so far this month. Price has been ranging between the support line at 1.2250 and the...
Mshauri mdau huyu aliyeamua kujiajiri , alipata fedha kidogo akapanga fremu na fremu haikua kwenye hali nzuri akafanya marekebisho kidogo(hela kidogo ikatumika), akanunua na samani chache kama...
Zanzibar ni watumiaji wazuri Wa sukari pengine kuliko bara, hivi Zanzibar wanazalisha sukari nyingi sana wasioweza kuinywa wenyewe ikaisha kiasi cha kulilia iletwe bara kuuzwa?
Au kuna sababu...
Habari zenu wadau, nilikua nauliza km kuna mtu humu ndani anafahamu upatikanaji wa machine za kusaga na kukobolea nafaka, tafadhali naomba anijuze..
Alafu Kama wewe ni [Mbongo]
Mtanzania na...
Assalam alaykum viongozi. Hope mko vizuri na mnaendelea vizuri na shughuli za ujenzi wa taifa.
Hizi kelele za kuelekea uchumi wa viwanda, tumezielewa vizuri tu, sasa kinachonipa maswali ni hatua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.