bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,371
- 3,946
Nimekua nikifatilia hii kazi na naona imepata wafuasi wengi wanaotoa mrejesho mzuri,bila wasi inafuta ile hofu ya wanaohoji uhalali wake.
Serikali ya Kenya kupitia Capital Markets Authority(CMA) imeweka ada mbalimbali kwa broker na traders wadogo wa forex.Na watataka wawe wanatumia majukwaa yao ambayo yapo nchini mwao na wala sio ulaya au kwingineko(online and physical presence)
Hapa Tanzania ipo Capital Markets and Securities Authority(CMSA),walivyo na moto safari hii,wanaweza nao wakajifunza toka kwa wenzao wa Kenya.
Vipi kuna mabadikiko yoyote kwenye minajili ya malipo/faida zinaweza kuathiriwa?
Zaidi ingia>>Thousands of online forex traders face CMA crackdown
Serikali ya Kenya kupitia Capital Markets Authority(CMA) imeweka ada mbalimbali kwa broker na traders wadogo wa forex.Na watataka wawe wanatumia majukwaa yao ambayo yapo nchini mwao na wala sio ulaya au kwingineko(online and physical presence)
Hapa Tanzania ipo Capital Markets and Securities Authority(CMSA),walivyo na moto safari hii,wanaweza nao wakajifunza toka kwa wenzao wa Kenya.
Vipi kuna mabadikiko yoyote kwenye minajili ya malipo/faida zinaweza kuathiriwa?
Zaidi ingia>>Thousands of online forex traders face CMA crackdown