Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Moja ya sehemu ambayo utawapata watu siriasi Tanzania ni hapa jamii forums, lakini kwa sasa jukwaa limekuwa na watu wa ajabu ajabu ambao wanauwa jukwaa zima na kufukuza watu wenye tija kabisa na...
10 Reactions
26 Replies
3K Views
BENKI ya "Bank Of Africa Tanzania (BOAT) imetangaza neema kwa watumishi wa umma baada ya kushusha riba ya mikopo kwa kada hiyo kutoka asilimia 14 hadi 11. Aidha, benki hiyo imepunguza masharti ya...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Wanahisa wa Benki ya CRDB wametoana jasho kuhusu kuwawajibisha wakurugenzi wa bodi hiyo ambao wameidhinisha mikopo kwa watu ambao wameshindwa kurejesha kwa wakati, hivyo kusababisha kushuka kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Niende moja kwa moja katika mada: 1. Mikate. Kila kipindi uzito na ukubwa (weight and volume) hupungua, Bei iko palepale au inapanda! Swali kwa TBS: Hiyo nembo yenu inahusu kifungashio au bidhaa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wana jf natumain m_ wazima wa afya uzi M napenda sana kujiajiri ili niwe free na mambo yangu na harakati zingine za maisha . Nilikua napenda kuuliza wanabodi wenzangu ,Ivi kunauwezekano wa...
1 Reactions
8 Replies
7K Views
Baadhi ya wajumbe waliohudhuria mkutano mkuu wa mwaka wa Benki ya CRDB unaofanyika leo Mei 19, 2018 jijini hapa, wamemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk Charles Kimei kuendelea kuitumikia...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Huu ni mwezi wa pili tangu nimefungua biashara yangu ya Tigopesa. Niliamua kusimamia mwenyewe kwa muda wa siku 20 ili kuzijua changamoto ndogo ndogo. Hatimaye nimempata mtu wa kusimamia...
3 Reactions
56 Replies
12K Views
Unataka kufanya biashara, unaenda TRA kwa ajili ya kupata TIN, TRA wanakwambia lete mkataba wa pango, wanakufanyia assessment na wanakwambia unatakiwa ulipe Rent Income Tax na Stamp duty...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Mara nyingi nimekuwa nikimsikia MH. Rais wetu jpm kuwa kwa mazao ya kibiashara chini ya tani moja hakuna kutozwa ushuru, naomba kwa mwenye kujua zaidi anieleweshe, mfano mm nabeba Korosho...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wana JF, Nikiwa kama kijana ambae natafuta mafanikio kwa njia ya halali navuja jasho asubuhi machana kutwa nikitafuta mafanikio na kujenga msingi wa familia yangu waweze kuishi maisha...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu..Nina safari ya Lusaka Jumatano ijayo ambako nitakaa kwa wiki moja. Ni nataka kununua kwacha milioni moja ambazo nitazitumia kama pocket money kwa kipindi chote nitakacho...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Siku chache baada ya Watalii 300 kutoka Australia kutembelea nchini kwa mara moja,kundi lingine la Watalii zaidi ya 100 kutoka Uswis limewasili nchini na kutembelea vivutio vya Wanyama katika...
1 Reactions
15 Replies
45K Views
HAKUNA MSHAHARA UNAOMTOSHA MTU, UKIONA MSHAHARA HAUKUTOSHI, ACHA KAZI. AU FANYA VIBARUA VYA KAWAIDA MTAANI TU. AU NENDA KWENYE SIASA UKIINGIA KWENYE SIASA, JE UNA KAMATI NZURI YA WATAALAM WA...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
★ PATA MKE SAHIHI Achana na wanawake Warembo ila Kichwani ni Zero. Tafuta mwanamke ambaye sio tu ataunga mkono maono yako lakini pia atakusukuma ili uyafikie maono..... Mwanamke atakaye...
13 Reactions
42 Replies
15K Views
Hivi kanuni ipi ni nzuri kupata future value baada ya kupata thamani ya year one. Na future interest rate mara zote inatakiwa iwe kati ya ngapi na ngapi
0 Reactions
3 Replies
987 Views
For economists, bankers and financial analysts only!!
0 Reactions
3 Replies
879 Views
Domination. Ethiopian Airlines, after acquiring 45% of Zambia Airways, 49% of Guinea Airways and 100% of new Ethiopia-Mozambique Airlines, has taken 49% ownership of Chad Airlines in relentless...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
naomba kuuliza ! CRDB walinikopesha milioni saba! NMB walinikopesha laki saba! CRDB namaliza mwakani mwezi wa nne kulipa mkopo wao. Hivyo wananidai milioni mbili na laki mbili na sitini elfu. NMB...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naitaji kufungua mgahawa sehemu mbili tofauti maeneo ya Mlogalinza na mawasiliano karibia na chuo cha wanafunzi wa sheria sina uzoefu sana na hii kitu na mtaji upo wa kujitosheleza. Naomba kujua...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimejichanga mbali na vyuma kukaza nahitaji kutimiza ndoto yangu mwezi ujao ila bado nipo dilemma katika kufanya maamuzi maana gari zote hizi nazipenda ,Toyota Rav4 new model na Toyota vanguard...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom