Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Wakuu, Ni hayo tuu, nahitaji elimu hapa maana ninachojua mimi kidogo ni kodi ya mapato inakatwa kwenye faida sasa hata biashara sijaanza ndo nafanya paperworks ila nahitajika kulipa hilo kadirio...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Baada ya kupata ajali na gari yangu ndogo kama wiki 3 zilizopita niliamua kui-test ile theory yangu ya placebo effect. Wakati nimepanda daladala ya Geza-ferry huku nikiwa nimesimama katika mbanano...
1 Reactions
48 Replies
5K Views
Kuna usemi mpya unasema “Heri walimkavu kuliko walimwengu.” Penye walimwengu pana pana mengi. Nasema hivi kwa nini. Kiuhalisia tuliletewa hii fursa na kijana mwenzetu ambaye naweza sema si...
1 Reactions
59 Replies
13K Views
Habari wadau.. Naona thread nyingi za forex za kuisifia na za kuipinga.. Dogo amekuja kutukomboa na elimu ya forex.. japo wengine wanasema ina ujanja ujanja ndani yake.. Napendekeza kuwe na...
4 Reactions
74 Replies
8K Views
Kama vijana tupo serious kuna mambo kadhaa tunaweza kufanya; 1. Kufanya mobilization.Tuanzishe forum tukutane tuunde kundi tujisajili tukachukue mikopo halmashauri.Maneno bila vitendo ni sawa na...
3 Reactions
32 Replies
4K Views
Habari ba ndugu,naomba kujuzwa barabara za juu za ubungo ,maendeleo yake katika ujenzi wapo hatua zipi?
0 Reactions
87 Replies
19K Views
Habari wanajf, Mimi ni kijana kwa umri 27, Leo ninalo wazo juu ya vijana kujikwamua na kuushinda umasikini. Kwanza niseme yafuatayo; Kijana kwa asili yake hupata pesa ndogo ndogo ambazo huwa...
3 Reactions
18 Replies
5K Views
Tunaendelea kujikakamua . Tutatoboa tu. Kuna mtindo ambao ulianza kama masihara huko nyuma lakini sasa umepamba moto sana na unazidi kuota mizizi mno siku zinavyozidi kusogea. Kukopeshana hela...
0 Reactions
65 Replies
15K Views
Asilimia kubwa ya watu wamefanikiwa kupitia biashara, ni asilimia chache sana wana mafanikio kupitia ajira lakini wengi wenye majumba mazuri, magari na mali nyingine wamezipata kupitia biashara...
20 Reactions
57 Replies
7K Views
NBAA itashindwa kuandaa mitihani kwaajili ya wanafunzi wanaosomea uhasibu ifikapo Julai 2018 kama wajumbe wa bodi yake ya uongozi hawatakuwa wameteuliwa na waziri mwenye dhamana. Kwa namna isiyo...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Habari wakubwa Kwa wadogo... naomba kujua kama kuna benki hapa Tanzania inayo weza kukopesha pesa kwa dhamana ya GARI! mfano mkopo wa sh 3M (milioni 3) kwa gari ya sh. let say iki-tathiminiwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari, Naulizia kuhusu taratibu za kufuata kubadilisha matumizi ya gari aina ya Toyota Noah kuwa ya Biashara. Pia napenda kujua gharamu ya mchakato huo. Nawasilisha
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Huu ni mradi wa kuweka sehemu moja ya kuuza na kununua magari. Upo Kigamboni. Kuanzia mwaka 2018 magari yote yatapatikana hapo.
4 Reactions
33 Replies
9K Views
Kuna mteja wangu anataka kuingiza pesa kwenye business account yangu kutoka Canada. Je vipi tra wanaruhusu? Nitakatwa kodi? Nitakaywaje?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF Najua kati yetu tumeagiza gari nje na kwa aina moja ama nyingine tumeshiriki au binafsi au kwa kumtumia agent kutoa gari bandarini. Naomba model ya ukokotoaji wa gharama za kutoa gari...
1 Reactions
60 Replies
27K Views
Wana jf naomba kwa anayejua anijulishe ni utaratibu gani unafuatwa ili kuingiza kampun kwenye list ya service provider ya government procurement services agency,na ina faida gani kwa kampun...
1 Reactions
13 Replies
7K Views
Kwa wale wazoefu wa kuagiza mizigo Kikuu. Ningependa kujua hatua ya mwisho baada ya kutrack na ikaonyesha time out. Nimeona mzigo tayari ulishachukuliwa na rider siku tatu zilizopita.Nini...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Habari wana jamvi. Kuna jamaa yangu, ana kampuni ya usafi, ali omba maombi ya kusajiliwa na gypsa. Sasa majibu yametoka na amekosa zabuni. Kwa mujibu wa Gpsa, zabuni ni kuanzia mwaka 14/15/16/...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Moja ya sehemu ambayo utawapata watu siriasi Tanzania ni hapa jamii forums, lakini kwa sasa jukwaa limekuwa na watu wa ajabu ajabu ambao wanauwa jukwaa zima na kufukuza watu wenye tija kabisa na...
10 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom