Huwezi Kutoka Kimaisha Kama Unafanya Biashara kwa Mtindo Huu

RGforever

JF-Expert Member
Apr 3, 2011
6,878
5,424
Hello Wana JF hebu Leo Ngoja Nami Niweke Mawazo yangu Hapa Kuhusu Biashara kidogo Maana Nishapitia Huko na Ninanendelea

Huwezi Kufanya Biashara Na Ukatoka Kama Utakuwa unapitia Katika Bullet hizi

1. Kuiga Biashara
Watanzania wengi Tunafanya Biashara za Kuigana ukiona Mwenzako amefungua Kitu fulani Basi Na wewe Unaenda Kuiga Hivyo Hivyo na Kibaya Zaidi Unakaa karibu yake Ili Mgawane Wateja. Hujui mwenzako kaanzaje na Anampango gani Na Hiyo Biashara seme Tu kwa Vile Umemuona Anapata Wateja Wengi nawe unaona inalipa Unajiingiza Kichwa kichwa Mwisho wa Siku unaishia kifunga Kibanda Chako Unamuacha Jamaa Anaendelea kupiga Biashara


2. Kufanya Biashara sawa sawa Na Wengine wanavyofanya Bila Kuleta Kitu kipya Sokoni.
Tena Hapa Ndo watanzania tunakosea Sana, unakuta Tuseme mfanya Biashara anauza Samaki kwa Kupanga Chini Na Wewe naye Kwa Wivu wako, unaleta Biashara yako Unapanga Vile Vile Kama Jamaa halafu Unategemea Kesho Uitwe Millionaire. Huwezi maana Kwanza Watu wengi hawajakuzoea ,pili huna Jipya Sokoni la kuwafanya Watu wanunue kwako

3. Unafanya Biashara Ili Uishi(upate hela ya Kula)
Huu ndo Mtindo wa Maisha Yetu watanzania tunafanya Biashara ili tuishi na Tupate hela Ya Kodi na watoto which is Good. Ila Biashara haitaki hivyo Biashara inataka Uwe umeshajitosheleza Mahitaji yako kwanza Ndo Yenyewe itakutosheleza ila Ukiitegemea Yenyewe itakuangusha

4. Ukishaona Una Wateja Wengi Unabweteka
Wafanyabiashara wengi wanabweteka wanapoona. Wateja Ni wengi kwahiyo wanaona Tayar wameula Kimaisha... Wanasahau kuongeza Wafanyakazi kulingana na Wingi wa Wateja... Wanasahau kuboresha maisha Ya Wafanyakazi wao wanasahau kutafuta Mbinu mpya Na Kikubwa zaidi wanajisahau ku invest zaidi Ya pale walipo

5. Hakuna Utafiti Katika Biashara yako
Wafanya Biashara wengi wanaangalia Eneo kuwa Aisee hili eneo watu wengi wanapita ngoja Niweke Biashara Yangu akishaweka Anaona Atapata Wateja Ila Inakuwa kinyume Chake... Kabla Hujaweka Ni vyema ukafanya hata Utafiti kidogo je watu wa Eneo hilo wamepungukiwa na Nn ili ukiweka Ww Ndo Uwe wa Kwanza Kukitoa Na Kama Kipo Basi Uwe na Mbinu Mpya Ya Kukifanya Tofauti na uliowakuta
 
Miye nawangalia tu tuliamza biashara ya boda boda wngi ikawakata wakakimbia, tukaenda kulima matikiti tukawa wengi kikatukata, tukaenda kufuga kuku tumeenda wengi imetukata sasa tumehamia kufungua viduka soft drink na M PESA na Tigo Pesa ndio tupo hapa sasa.
 
Mada nzuri lkn ndio hivyo tena watu wanapenda mada za umbea kuliko mambo ya msingi..

Anyways kuna biashara nataka nifungue branch sehemu ambayo ni very potential for tht specific biz.
Mtaji ninao na kila kitu ila changamoto iliyopo ni kwamba hilo eneo lina wezi balaa yaani.

Japo kuwa biashara yenyewe kufungua ni saa moja kufunga saa kumi na mbili lkn kiukweli inanitisha.
 
Mada nzuri lkn ndio hivyo tena watu wanapenda mada za umbea kuliko mambo ya msingi..

Anyways kuna biashara nataka nifungue branch sehemu ambayo ni very potential for tht specific biz.
Mtaji ninao na kila kitu ila changamoto iliyopo ni kwamba hilo eneo lina wezi balaa yaani.

Japo kuwa biashara yenyewe kufungua ni saa moja kufunga saa kumi na mbili lkn kiukweli inanitisha.
Ukishajua changamoto yako ndio umeshashinda hivyo! Usiweke excuse nyingine...
 
Ukishajua changamoto yako ndio umeshashinda hivyo! Usiweke excuse nyingine...
Najua.
Kwa akili ya kawaida changamoto kama hiyo ingeikupata nadhani kitu cha kwanza kufikir ni kuweka mlinzi, si ndio?

Sasa shida inakuja kwamba hata hao wenyeji wa eneo husika wana ulinzi lkn huwa wanalinzwa kila mara.

Na biashara yenyewe sio ya mtaji mdogo so lazima uwe na wasiwasi kidogo.
 
Hello Wana JF hebu Leo Ngoja Nami Niweke Mawazo yangu Hapa Kuhusu Biashara kidogo Maana Nishapitia Huko na Ninanendelea

Huwezi Kufanya Biashara Na Ukatoka Kama Utakuwa unapitia Katika Bullet hizi

1. Kuiga Biashara
Watanzania wengi Tunafanya Biashara za Kuigana ukiona Mwenzako amefungua Kitu fulani Basi Na wewe Unaenda Kuiga Hivyo Hivyo na Kibaya Zaidi Unakaa karibu yake Ili Mgawane Wateja. Hujui mwenzako kaanzaje na Anampango gani Na Hiyo Biashara seme Tu kwa Vile Umemuona Anapata Wateja Wengi nawe unaona inalipa Unajiingiza Kichwa kichwa Mwisho wa Siku unaishia kifunga Kibanda Chako Unamuacha Jamaa Anaendelea kupiga Biashara


2. Kufanya Biashara sawa sawa Na Wengine wanavyofanya Bila Kuleta Kitu kipya Sokoni.
Tena Hapa Ndo watanzania tunakosea Sana, unakuta Tuseme mfanya Biashara anauza Samaki kwa Kupanga Chini Na Wewe naye Kwa Wivu wako, unaleta Biashara yako Unapanga Vile Vile Kama Jamaa halafu Unategemea Kesho Uitwe Millionaire. Huwezi maana Kwanza Watu wengi hawajakuzoea ,pili huna Jipya Sokoni la kuwafanya Watu wanunue kwako

3. Unafanya Biashara Ili Uishi(upate hela ya Kula)
Huu ndo Mtindo wa Maisha Yetu watanzania tunafanya Biashara ili tuishi na Tupate hela Ya Kodi na watoto which is Good. Ila Biashara haitaki hivyo Biashara inataka Uwe umeshajitosheleza Mahitaji yako kwanza Ndo Yenyewe itakutosheleza ila Ukiitegemea Yenyewe itakuangusha

4. Ukishaona Una Wateja Wengi Unabweteka
Wafanyabiashara wengi wanabweteka wanapoona. Wateja Ni wengi kwahiyo wanaona Tayar wameula Kimaisha... Wanasahau kuongeza Wafanyakazi kulingana na Wingi wa Wateja... Wanasahau kuboresha maisha Ya Wafanyakazi wao wanasahau kutafuta Mbinu mpya Na Kikubwa zaidi wanajisahau ku invest zaidi Ya pale walipo

5. Hakuna Utafiti Katika Biashara yako
Wafanya Biashara wengi wanaangalia Eneo kuwa Aisee hili eneo watu wengi wanapita ngoja Niweke Biashara Yangu akishaweka Anaona Atapata Wateja Ila Inakuwa kinyume Chake... Kabla Hujaweka Ni vyema ukafanya hata Utafiti kidogo je watu wa Eneo hilo wamepungukiwa na Nn ili ukiweka Ww Ndo Uwe wa Kwanza Kukitoa Na Kama Kipo Basi Uwe na Mbinu Mpya Ya Kukifanya Tofauti na uliowakuta
 
Najua.
Kwa akili ya kawaida changamoto kama hiyo ingeikupata nadhani kitu cha kwanza kufikir ni kuweka mlinzi, si ndio?

Sasa shida inakuja kwamba hata hao wenyeji wa eneo husika wana ulinzi lkn huwa wanalinzwa kila mara.

Na biashara yenyewe sio ya mtaji mdogo so lazima uwe na wasiwasi kidogo.
Kama mtaji ni mkubwa na una uhakika biashara inalipa, chukua Kampuni ya Ulinzi ambapo mlinzi ambaye ana silaha ni Kati ya 800,000 hadi 950,000 Kwa mwezi. Bado wizi sio changamoto, you're!!
 
Hello Wana JF hebu Leo Ngoja Nami Niweke Mawazo yangu Hapa Kuhusu Biashara kidogo Maana Nishapitia Huko na Ninanendelea

Huwezi Kufanya Biashara Na Ukatoka Kama Utakuwa unapitia Katika Bullet hizi

1. Kuiga Biashara
Watanzania wengi Tunafanya Biashara za Kuigana ukiona Mwenzako amefungua Kitu fulani Basi Na wewe Unaenda Kuiga Hivyo Hivyo na Kibaya Zaidi Unakaa karibu yake Ili Mgawane Wateja. Hujui mwenzako kaanzaje na Anampango gani Na Hiyo Biashara seme Tu kwa Vile Umemuona Anapata Wateja Wengi nawe unaona inalipa Unajiingiza Kichwa kichwa Mwisho wa Siku unaishia kifunga Kibanda Chako Unamuacha Jamaa Anaendelea kupiga Biashara


2. Kufanya Biashara sawa sawa Na Wengine wanavyofanya Bila Kuleta Kitu kipya Sokoni.
Tena Hapa Ndo watanzania tunakosea Sana, unakuta Tuseme mfanya Biashara anauza Samaki kwa Kupanga Chini Na Wewe naye Kwa Wivu wako, unaleta Biashara yako Unapanga Vile Vile Kama Jamaa halafu Unategemea Kesho Uitwe Millionaire. Huwezi maana Kwanza Watu wengi hawajakuzoea ,pili huna Jipya Sokoni la kuwafanya Watu wanunue kwako

3. Unafanya Biashara Ili Uishi(upate hela ya Kula)
Huu ndo Mtindo wa Maisha Yetu watanzania tunafanya Biashara ili tuishi na Tupate hela Ya Kodi na watoto which is Good. Ila Biashara haitaki hivyo Biashara inataka Uwe umeshajitosheleza Mahitaji yako kwanza Ndo Yenyewe itakutosheleza ila Ukiitegemea Yenyewe itakuangusha

4. Ukishaona Una Wateja Wengi Unabweteka
Wafanyabiashara wengi wanabweteka wanapoona. Wateja Ni wengi kwahiyo wanaona Tayar wameula Kimaisha... Wanasahau kuongeza Wafanyakazi kulingana na Wingi wa Wateja... Wanasahau kuboresha maisha Ya Wafanyakazi wao wanasahau kutafuta Mbinu mpya Na Kikubwa zaidi wanajisahau ku invest zaidi Ya pale walipo

5. Hakuna Utafiti Katika Biashara yako
Wafanya Biashara wengi wanaangalia Eneo kuwa Aisee hili eneo watu wengi wanapita ngoja Niweke Biashara Yangu akishaweka Anaona Atapata Wateja Ila Inakuwa kinyume Chake... Kabla Hujaweka Ni vyema ukafanya hata Utafiti kidogo je watu wa Eneo hilo wamepungukiwa na Nn ili ukiweka Ww Ndo Uwe wa Kwanza Kukitoa Na Kama Kipo Basi Uwe na Mbinu Mpya Ya Kukifanya Tofauti na uliowakuta
Hivi namba 1,2 na 5 kuna utofauti gani, naona unaelezea kitu kilekile, anyway bandiko sio baya japo halijashiba kama heading ilivyo..
 
Mada nzuri lkn ndio hivyo tena watu wanapenda mada za umbea kuliko mambo ya msingi..

Anyways kuna biashara nataka nifungue branch sehemu ambayo ni very potential for tht specific biz.
Mtaji ninao na kila kitu ila changamoto iliyopo ni kwamba hilo eneo lina wezi balaa yaani.

Japo kuwa biashara yenyewe kufungua ni saa moja kufunga saa kumi na mbili lkn kiukweli inanitisha.
Hapo ndo pazuri sasa. Anza mara moja tafuta solution ya hizo changamoto. Biashara pia inahitaji roho ya paka
 
Hello Wana JF hebu Leo Ngoja Nami Niweke Mawazo yangu Hapa Kuhusu Biashara kidogo Maana Nishapitia Huko na Ninanendelea

Huwezi Kufanya Biashara Na Ukatoka Kama Utakuwa unapitia Katika Bullet hizi

1. Kuiga Biashara
Watanzania wengi Tunafanya Biashara za Kuigana ukiona Mwenzako amefungua Kitu fulani Basi Na wewe Unaenda Kuiga Hivyo Hivyo na Kibaya Zaidi Unakaa karibu yake Ili Mgawane Wateja. Hujui mwenzako kaanzaje na Anampango gani Na Hiyo Biashara seme Tu kwa Vile Umemuona Anapata Wateja Wengi nawe unaona inalipa Unajiingiza Kichwa kichwa Mwisho wa Siku unaishia kifunga Kibanda Chako Unamuacha Jamaa Anaendelea kupiga Biashara


2. Kufanya Biashara sawa sawa Na Wengine wanavyofanya Bila Kuleta Kitu kipya Sokoni.
Tena Hapa Ndo watanzania tunakosea Sana, unakuta Tuseme mfanya Biashara anauza Samaki kwa Kupanga Chini Na Wewe naye Kwa Wivu wako, unaleta Biashara yako Unapanga Vile Vile Kama Jamaa halafu Unategemea Kesho Uitwe Millionaire. Huwezi maana Kwanza Watu wengi hawajakuzoea ,pili huna Jipya Sokoni la kuwafanya Watu wanunue kwako

3. Unafanya Biashara Ili Uishi(upate hela ya Kula)
Huu ndo Mtindo wa Maisha Yetu watanzania tunafanya Biashara ili tuishi na Tupate hela Ya Kodi na watoto which is Good. Ila Biashara haitaki hivyo Biashara inataka Uwe umeshajitosheleza Mahitaji yako kwanza Ndo Yenyewe itakutosheleza ila Ukiitegemea Yenyewe itakuangusha

4. Ukishaona Una Wateja Wengi Unabweteka
Wafanyabiashara wengi wanabweteka wanapoona. Wateja Ni wengi kwahiyo wanaona Tayar wameula Kimaisha... Wanasahau kuongeza Wafanyakazi kulingana na Wingi wa Wateja... Wanasahau kuboresha maisha Ya Wafanyakazi wao wanasahau kutafuta Mbinu mpya Na Kikubwa zaidi wanajisahau ku invest zaidi Ya pale walipo

5. Hakuna Utafiti Katika Biashara yako
Wafanya Biashara wengi wanaangalia Eneo kuwa Aisee hili eneo watu wengi wanapita ngoja Niweke Biashara Yangu akishaweka Anaona Atapata Wateja Ila Inakuwa kinyume Chake... Kabla Hujaweka Ni vyema ukafanya hata Utafiti kidogo je watu wa Eneo hilo wamepungukiwa na Nn ili ukiweka Ww Ndo Uwe wa Kwanza Kukitoa Na Kama Kipo Basi Uwe na Mbinu Mpya Ya Kukifanya Tofauti na uliowakuta

Ongezea na namba
6. hutoki bila ndumba au kajini kakukuletea hela na kuzimanage
 
Back
Top Bottom