Habari za asubuhi wadau wa jukwaa hili,
Natumai miongoni mwetu kuna watu ambao wanafanya biashara tajwa hapo juu, waliowahi kuifanya na wenye idea na biashara hiyo.
Je ni vifaa gani...
Habari wanajamii wenzangu.
Ni mara ya kwanza naposti humu ila huwa nafaidika sana na mawazo yatolewayo hapa.Kifupi nakata kufungua duka mojawapo liwe la vinywaji laini namaanisha wines/ama liwe...
Habari zenu wana JamiiForums,
Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa tatu,katika harakati za kujiandaa na kupambana na maisha pindi nitakapohitimu elimu yangu na kurudi mtaani,nimetafuta pesa ikiwa...
Nimekuwa nikiwaza tu juu ya mauaji ya mtu mmoja mmoja na mfano wa Police walio uwawa maeneo Yale ya Kibiti, Hivi serikali haiwezi anzisha kambi kama tatu za mafuzo ya Jkt kule, maana kigeografia...
Wadau,
Mimi napenda kufahamishwa kuhusu hii biashara ya kucharge fedha mpani yaani kuuza fedha kwa watu wanaoingia border ya nchi nyingine kama Tanzania na Uganda.
Ni nini faida na changamoto...
Wakuu kwa anayefahamu wapi naweza kupata mashine ya umeme ya kutengenezea mkaa mbadala (briquette making machine), maana nilienda pale ARTI Energy dar lakini zimeisha wanasema mpaka mwezi wa nane...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
This pair consolidated last week, moving between the resistance line at 1.1250 and the support line at 1.1150. The...
Wakuu habari za saivi,
Rejea mada tajwa hapo juu,
Nimekuwa nikifatilia mkopo wa bank kama mil.30 lakini nashangaa process ni nyingi sana kiasi ambacho imechukua karibia nusu mwezi (wiki mbili...
Gas discoveries in east Africa
Feb 7th 2013, 17:34 by V.R. | LONDON
IT HAS been an astonishing past year for gas discoveries in east Africa. Large finds off the coasts of Mozambique and...
Katika blogu ya jifunzeujasiriamali, mara nyingi nimekuwa nikiulizwa swali hili na wasomaji wengi wa mtandao huo wakitaka kujua ni mtaji au mahitaji kiasi gani yanayotosha kuanzisha biashara...
Mambo vipi,mwakajana mwezi wa kwanza nilianza kusikia leo.hii nimringia group moja nakuta kuna watu niliosoma nao wanaiongelea.Mwenye uelewa aje na ukweli hapa chini
Habari zenu za Majukumu Ndugu zangu.
Bila shaka Muwazima, nami Nashukuru kama Ni ivyo ila Kama hauko vizuri basi usipoteze Matumaini yako Kwa Mwenyezi Mungu endelea kumuomba.
Nina hitaji kufanya...
Biashara ya kuuza/kubadisha fedha mipakani mwa nchi moja na nyingine( boder), hufanywa kwa kuuza hella za nchi moja kwa wasafiri wanaoingia nchi nyingine(ya upande wa pili) yaani boder ya nchi...
Jaman mimi ni mwanaume .naombeni msaada wa dawa nzuri ya kuzuia ndevu kuota. Utakuta kwa wiki nanyoa ndevu mara nne. Hivyo naona kama zinaota haraka sana. Na pia kama unaijua hyo dawa naomba Na...
Tulinganishe kati ya awamu ya nne na ya tano bei ya bidhaa muhimu z vyakula zimepanda kwa kiasi gani?
Je hali ikoje eneo unaloishi kuhusiana na kupanda kwa gharama za maisha?
Je zinaendana na...
Habari !!!!! nilikua naomba maelezo au msaada wa kufahamu namna ya kusajili kikundi cha kikoba , Tunakikundi cha kikoba huku kwetu ambacho hua tunakutana kila jumamosi na utaratibu wake uko hivi...
Habari za sasa wakuu?
Mimi ni gradute, nahitaji sana na nazidi kutafuta mtu mwenye experience ya biashara ya madini nifanye kujitolea kwake kwa muda hata miezi sita hivi niweze pata ujuzi na mimi...
Wana bodi.
Ni siku kadhaa jpm alisema anataka kupitia upya mapato ya mitandao ya simu. vodacom iko kwenye soko la hisa na watu wanaendelea kununua hisa tena kwa kuhamasishwa na serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.