Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Habari zenu? Poleni kwa majukumu ya siku nzima Nakuja kwenu kuomba ushauri. Nahitaji kufanya biashara kwenye huu mji ninaoishi lakini October naenda kusoma mkoa mwingine na mimi bado sijakomaa ki...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji mkopo wa dharula wa sh.250,000/= dhamana yangu ni laptop ya sony. Proccesor i5 Hd 300gb Ram 2gb Win 8 Kwa mwezi mmoja tu. Tuwasiliane kwa 0755 360552 Nipo dar.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Hebu taja kampuni zinahusikana na kutoa viwango vya ubora katika sekta tofauti ukiacha TBS , hasa hasa katika media buying.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaam, Hivi ni wapi naweza kupata mkopo wa haraka kwa Moshi na Arusha, dhamana Gari, Kiwanja..........
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna watu wanaamini kwamba Hali za kimaisja zikiwa nzuri basi ndipo hata biashara zitafanyika. Ukweli ni kwamba kwenye wakati mgumu sana ndo hapo huwa kuna Inovatios, Kwenye kipindi kigumu sana...
12 Reactions
17 Replies
3K Views
UNDERDOG BUSINESS/PROJECT Underdog ni ile hali ya watu wengi au majority kuwa na imani kwamba hutafanikiwa au hutashinda kwa unacho kifanya au unacho shindania. Yaani asimilia zaidi ya 99 huwa...
11 Reactions
13 Replies
2K Views
Ninapo zungumzia shadow nazani naeleweka. Hii ni sawa na ilivyo Baraza kivuli la Upinzan pale Bungeni. Kwenye Biashara napo kuna Shadow Director. Hawa ni watu Very portential ambao huwekwa kama...
7 Reactions
4 Replies
2K Views
Huu ndo ukweli ambao hutakaa uambiwe ila ni ukweli mtupu na iko hivyo. Hakuna mtu atakae kuambia fanya hiki au fanya kile UTAJIRIKE au KINALIPA kama yeye hatapata chochote kile kutoka kwako...
9 Reactions
11 Replies
2K Views
Wachina inapo kuja swala la Ushirikiano wako juu sana. Viwanda vyao vingi na hata kampuni zinazo kuja kuwekeza huku na kupewa tenda za kujenga Barabara na Majumba ni muunganiko wa watu wengi...
29 Reactions
90 Replies
9K Views
Napenda kuwasalimu nyote katika jukwaa hili la mambo muhimu! Ningependa kujua kama kuna mtu anayejua bank ambayo inaweza kutoa mkopo kwa dhamana ya shamba la miti au kiwanja na conditions ambazo...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Hii Dunia kwa sasa kama akili haifanyi kazi kwa speed kari basi ni shida tupu. Kwa sasa Wenye akili wamekuwa wakitengeneza wajinga wengi sana akilini mwao ili wale wajinga sasa wa implement Idea...
12 Reactions
100 Replies
12K Views
Mkurugenzi mkuu wa Vodacom, Ian Ferrao Kuimarika kwa mapato ya kampuni ya Vodacom kumeiwezesha kupata ya faida ya Sh170.24 bilioni hivyo kuwa na uwezo wa kutoa gawiwo la Sh83.81 kwa kila...
4 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari wana jukwaa ni maatumaini yangu kuwa ni wazima, niende moja kwa moja kwenye mada, kiukweli kwamba asilimia ya watu wengi maisha ni magumu ila moa ya tatizo linalotukumba wengi wetu ni...
9 Reactions
31 Replies
12K Views
Wadau mtakumbuka tuliambiwa ili kupunguza foleni barabara ya Ally Hassan Mwinyi litajengwa DARAJA kuanzia hospital ya AGAKHAN mpaka COCO BEACH.Je ujenzi huo utaanza lini?
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari wana jamii forum..... Napenda kuuliza, hivi huu mfumuko wa bei za vyakula katika kipind cha mfungo wa ramadhani uwa unasababishwa na nini?? Je kuna sabbmab zozote za kiuchumi??
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mmeshindaje wakubwa! Samahanini kwa usumbufu ila naombeni msaada kwa wale wanaofahamu juu ya hili.. Ni kitu gani au chemical gani inayowekwa kwenye maziwa kama azam, daily fresh, lato nk au juice...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Nikuumbushe kitu kimoja ndugu yangu, ni lazima maisha yako uwe kama chujio tena chujio la umakini kuchagua yupi wa kuwa nae karibu au kubaki nae katika safari yako ya mafanikio kwasababu hakuna...
3 Reactions
3 Replies
936 Views
Habari za majukumu wakuu. Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu. Nimepata wazo la haraka haraka kufanya hivyo baada ya kupiga stori mbili tatu na mtu ambae amenambia nitafute frem ya kuja...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hapa duniani pesa ipo nyingi sanana inatafuta walaji ama watumiaji. Ndani na nje ya nchi kuna wadau wengi sana (watu binafsi /NGOs /Makampuni /Foundations /Serikali) ambao wana hamu na chachu ya...
7 Reactions
29 Replies
5K Views
Wakati tunajipanga kuelekea uchumi Wa viwanda je hali yetu ikoje kwenye uwekezaji Wa kupata malighali ya kutosha viwanda tutakavyojenga? Nijuavyo mimi malighafi iliyoko sasa ni ile ya mtindo wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom