komanyahenry
JF-Expert Member
- Sep 15, 2017
- 903
- 1,352
Nahitaji kumfungulia wife biashara, baada ya kuongea nae yy binafsi ana wazo la kufungua duka la kuuza na kuoka cake za harusi, send off, birthday n.k ila mm binafsi nilikuwa nafikiria kumfungulia duka la kuuza simu na accessories zake. Naomba ushauri juu ya idea hizi mbili. Idea mpya ruhusa. Expected capital ni tshs 10 mil