Sci-Fi
Member
- Jan 30, 2016
- 71
- 266
Salam wakuu.
Moja ya watu ninaoa farijika sana kuishi nao katika zama hizi na kushare nao hili anga na hii Oxygen ya bure kutoka kwa Muumba ni huyu Mr Elon Musk. Shule ni kitu muhimu sana endapo inachangia positive katika either kukufanya uwe bora katika jamii kwa kutatua baadhi ya changamoto ambazo yamkini usingali kwenda shule ingelikua vigumu kuzitatua.
Huyu jamaa kazaliwa June 28th, 1971 hapa hapa Africa kwa Mzee Mandela hapo, South Africa. Mwaka 1988 akiwa na miaka 17, Musk alihamia Canada ambako alifanikiwa kupiga undergraduate and he earned a degree in Physics and Business kutoka Chuo kikuu cha Pennsylvania. Mwaka 1995 huyu jamaa aliamua kudrop Chuo Kikuu cha Stanford ili aingie mtaani kuanzisha kampuni yake ya kwanza.
Moja ya vitu vilivyo nifanya nikaamua kumfungulia huu uzi ni pamoja na jinsi alivyo/anavyo zifanya FURSA 'CHANGAMOTO' mbali mbali alizo kutana nazo na zile zinazoikabili dunia.
Elon Musk alihitaji njia mpya itakayo muwezesha kufanya payments kwa wepesi online (kwenye mtandao wa internet). Jamaa huyu akaona isiwe shida, akatumia Elimu yake ya Fizikia kudesign mfumo mpya ambao mpaka sasa tuna utumia kufanya malipo na hata kupokea pesa kwa jina PayPal. Ingawa huu mfumo wake ulikuja boreshwa zaidi na vijana wa Kiisrael kutoka katika kampuni ya 'Fraud Science'. Kampuni hii pia ilikuja nunuliwa na PayPal kwa pesa ndefu sana hapo baadae.
Elon Musk alihitaji kuendesha gari za umeme. Nadhani alichoshwa na hizi issue za Waarabu kupandisha bei ya mafuta wanapojiskia. Jamaa akaona isiwe tabu, 'I can design whatever the f**k I want'. Akaanzisha kampuni kwa jina Tesla Motors. Hii company lengo lake ni supply gari za kuchaji ka simu au niseme gari zinazotumia umeme, 'Electric Cars'. Nimebahatika kupanda na kuendesha hizi gari. Tulikua tunapigia mzigo asubuhi hadi jioni, usiku gari tunailaza kwenye umeme. Kesho kazini kama kawa. Ila nadhani kwa umeme wa Tanesco Tz tutasubiri sana.
Elon Musk anahitaji kwenda kwenye Space kwa haraka na gharama nafuu. Akaamua kuja na SpaceX. Hii ni basically a Space Exploraring Company. Moja ya vitu vitakavyo pelekea pia mawasiliano ya Simu na matumizi ya data yawe kwa gharama nafuu kabisa ni pamoja na yatakayokuja mafanikio ya SpaceX chini ya Elon Musk.
Huyu jamaa pia, alihitaji usafiri wa haraka zaidi. Basi akamua kuja na Hyperloop. Hizi kitu unaambiwa speed yake ni kubwa mno.
Inakadiriwa kuwa hizi hyperloop train zitakua na uwezo wa kusafiri kwa only 30mins kutoka Los Angeles to San Francisco. Distance from Los Angeles to San Francisco.
Distance from Los Angeles to San Francisco is 559 kilometers. This air travel distance is equal to 347 miles. Hapa kwa ndege ya moja kwa moja (non - stop) muda wa kawaida huwa ni saa moja na Dakika 30, kwa maana hiyo train za Bwana Elon Musk zitakua zimesave saa moja kwenye usafiri.
Hapa Duniani kila mmoja kaletwa kwa kusudi maalum. Na yamkini 'changamoto' unayopitia ndio mlango wako wa kutokea endapo utaamua kuifanya 'fursa'. Ieleweke kuwa, kila mmoja anayo njia bora zaidi ya kutatua changamoto inayo mkabili. Elon Musk anaamini katika kufikria jambo flani linalo kutatiza mpaka ulipatie jibu. Si lazima majibu yatoke kwako, ila you must act kwa kile kinachokusumbua.
Elon Alipoacha na PayPal alikua na mtaji wa almost $180M. Ili kutimiza malengo yake na kuyapatia majibu matatizo mbali mbali aliyohitaji kusolve, Elon Musk aliwekeza $100M kwenye Mradi wake wa SpaceX, $70M kwenye mradi wa Tesla Motors na $10M kwenye SolarCity. Halafu akafulia, pesa ya pango akenda kukopa.
Hitimisho.
Kitu cha pekee kabisa nilichotaka tujifunze hapa ni kwamba, Elon Musk hakua na muda kawaelezea watu how bad the world is, ila alikua na yuko busy katika kuifanya dunia iwe better place kwa kuanza na alicho nacho, 'shida zake'. Kila mmoja ana package yake kwa ajili ya huu ulimwengu that's why uumbaji wake ulikua muhimu. Yaani kuna kitu I believe Mungu aliona kina kosekana Duniani that's why akaamua kukuleta na kila mmoja yuko full equipped ili ku_manifest why s/he is here.
Tusiache kuzisoma alama za nyakati na kutumia changamoto zinazotukabili kama fursa. Naamini kuna mengi sana hayajafanyika.
(Mods naomba msibadili chochote kwenye uzi huu)
Moja ya watu ninaoa farijika sana kuishi nao katika zama hizi na kushare nao hili anga na hii Oxygen ya bure kutoka kwa Muumba ni huyu Mr Elon Musk. Shule ni kitu muhimu sana endapo inachangia positive katika either kukufanya uwe bora katika jamii kwa kutatua baadhi ya changamoto ambazo yamkini usingali kwenda shule ingelikua vigumu kuzitatua.
Huyu jamaa kazaliwa June 28th, 1971 hapa hapa Africa kwa Mzee Mandela hapo, South Africa. Mwaka 1988 akiwa na miaka 17, Musk alihamia Canada ambako alifanikiwa kupiga undergraduate and he earned a degree in Physics and Business kutoka Chuo kikuu cha Pennsylvania. Mwaka 1995 huyu jamaa aliamua kudrop Chuo Kikuu cha Stanford ili aingie mtaani kuanzisha kampuni yake ya kwanza.
Moja ya vitu vilivyo nifanya nikaamua kumfungulia huu uzi ni pamoja na jinsi alivyo/anavyo zifanya FURSA 'CHANGAMOTO' mbali mbali alizo kutana nazo na zile zinazoikabili dunia.
Elon Musk alihitaji njia mpya itakayo muwezesha kufanya payments kwa wepesi online (kwenye mtandao wa internet). Jamaa huyu akaona isiwe shida, akatumia Elimu yake ya Fizikia kudesign mfumo mpya ambao mpaka sasa tuna utumia kufanya malipo na hata kupokea pesa kwa jina PayPal. Ingawa huu mfumo wake ulikuja boreshwa zaidi na vijana wa Kiisrael kutoka katika kampuni ya 'Fraud Science'. Kampuni hii pia ilikuja nunuliwa na PayPal kwa pesa ndefu sana hapo baadae.
Elon Musk alihitaji kuendesha gari za umeme. Nadhani alichoshwa na hizi issue za Waarabu kupandisha bei ya mafuta wanapojiskia. Jamaa akaona isiwe tabu, 'I can design whatever the f**k I want'. Akaanzisha kampuni kwa jina Tesla Motors. Hii company lengo lake ni supply gari za kuchaji ka simu au niseme gari zinazotumia umeme, 'Electric Cars'. Nimebahatika kupanda na kuendesha hizi gari. Tulikua tunapigia mzigo asubuhi hadi jioni, usiku gari tunailaza kwenye umeme. Kesho kazini kama kawa. Ila nadhani kwa umeme wa Tanesco Tz tutasubiri sana.
Elon Musk anahitaji kwenda kwenye Space kwa haraka na gharama nafuu. Akaamua kuja na SpaceX. Hii ni basically a Space Exploraring Company. Moja ya vitu vitakavyo pelekea pia mawasiliano ya Simu na matumizi ya data yawe kwa gharama nafuu kabisa ni pamoja na yatakayokuja mafanikio ya SpaceX chini ya Elon Musk.
Huyu jamaa pia, alihitaji usafiri wa haraka zaidi. Basi akamua kuja na Hyperloop. Hizi kitu unaambiwa speed yake ni kubwa mno.
Inakadiriwa kuwa hizi hyperloop train zitakua na uwezo wa kusafiri kwa only 30mins kutoka Los Angeles to San Francisco. Distance from Los Angeles to San Francisco.
Distance from Los Angeles to San Francisco is 559 kilometers. This air travel distance is equal to 347 miles. Hapa kwa ndege ya moja kwa moja (non - stop) muda wa kawaida huwa ni saa moja na Dakika 30, kwa maana hiyo train za Bwana Elon Musk zitakua zimesave saa moja kwenye usafiri.
Hapa Duniani kila mmoja kaletwa kwa kusudi maalum. Na yamkini 'changamoto' unayopitia ndio mlango wako wa kutokea endapo utaamua kuifanya 'fursa'. Ieleweke kuwa, kila mmoja anayo njia bora zaidi ya kutatua changamoto inayo mkabili. Elon Musk anaamini katika kufikria jambo flani linalo kutatiza mpaka ulipatie jibu. Si lazima majibu yatoke kwako, ila you must act kwa kile kinachokusumbua.
Elon Alipoacha na PayPal alikua na mtaji wa almost $180M. Ili kutimiza malengo yake na kuyapatia majibu matatizo mbali mbali aliyohitaji kusolve, Elon Musk aliwekeza $100M kwenye Mradi wake wa SpaceX, $70M kwenye mradi wa Tesla Motors na $10M kwenye SolarCity. Halafu akafulia, pesa ya pango akenda kukopa.
Hitimisho.
Kitu cha pekee kabisa nilichotaka tujifunze hapa ni kwamba, Elon Musk hakua na muda kawaelezea watu how bad the world is, ila alikua na yuko busy katika kuifanya dunia iwe better place kwa kuanza na alicho nacho, 'shida zake'. Kila mmoja ana package yake kwa ajili ya huu ulimwengu that's why uumbaji wake ulikua muhimu. Yaani kuna kitu I believe Mungu aliona kina kosekana Duniani that's why akaamua kukuleta na kila mmoja yuko full equipped ili ku_manifest why s/he is here.
Tusiache kuzisoma alama za nyakati na kutumia changamoto zinazotukabili kama fursa. Naamini kuna mengi sana hayajafanyika.
(Mods naomba msibadili chochote kwenye uzi huu)