Wanajamvi salaam,
Nina mpango wa kufungua biashara ya saloon (kinyozi) mkoani morogoro. Kwa wenyeji wa morogoro nahitaji kupata uzoefu wenu kwenye hili katika mambo yafuatayo;
Mosi, ni maeneo...
Salam wakuu.
Moja ya watu ninaoa farijika sana kuishi nao katika zama hizi na kushare nao hili anga na hii Oxygen ya bure kutoka kwa Muumba ni huyu Mr Elon Musk. Shule ni kitu muhimu sana endapo...
Habari wadau nataka kupeleka mafuta ya kula ya alizet zanzibar , binafsi sijawahi kupeleka kitu zenji ila nasikia bidhaa hutozwa kodi nataka nijue kama mafuta ya kula yana utaratibu gani na kodi...
Juzi nilikuwa nimeenda kule Tarime nimekutana na fursa nzuri sana kwa vijana walio serious, kule ndizi ni bei rahisi sana na parachichi hazina mnunuzi zinaozea shambani.
Kama una mtaji wa...
Tanzania’s ongoing macroeconomic reform program has received a boost from the African Development Bank through a US$40- million budget support loan to be provided by the African Development Fund...
Wanajanvi naomba kujua namna ya kusajili yutube /blog tcra. Naona tcra wamezima adb control za mawakala wa connections za YouTube. Nawasilisha kwenu kwa mablogers
Benki ya CRDB imetangaza punguzo la riba kwa mikopo ya wafanyakazi kutoka asilimia 22 hadi asilimia 16 ili kurahisisha upatikanaji na kufanikisha mipango waliyojiwekea.
Mkurugenzi Mtendaji wa...
Habari wadau;
Katika kufanya utafiti nimegundua kuwa kuna changamoto ya utumiaji wa Laptop katika taasisi za elimu ya juu na hilo limenifanya nifikiri mradi wa kukodisha Laptops kwa wanafunzi wa...
Ndugu yangu karibu tena katika makala fupi hii juu ya kuelimishana Matajiri wengi huchukia maskini wakiskia hii habari.
Umaskini sio mpango wa Mungu juu ya mwanadamu.Ni matokeo ya kupuuza...
Tumefurahi kuungana rasmi na KPMG ambao ni wataalamu na washauri katika masuala ya biashara, na Mwananchi Communication Limited kama madhamini mkuu katika mchakato wa kufanya uchunguzi wa kutambua...
Salamu wakuu.....!!!
wakuu kama kichwa cha habar kinavosema naomba kujua mwenye ujuzi na hivi vitu gharama ya kuanzisha kiwanda cha kutengeneza nguo kuanzia kuchakata pamba mpaka kutoa...
Changamoto inayonikabili mimi ni upungufu wa mtaji, na mtaji nilio nao mm ni Eneo zuri maeneo ya Mwenge DSM, nahitaji mtu ambae tutawekeza pamoja, Habari niliyoifikia mm ni ufugaji wa kuku wa...
Hii bank walikuwa serious na customer care nzuri lakini naona sijui wameingiwa na mdudu gani? Yaani week mbili nashughulikia nyongeza ya mkopo (topup), mara lete hiki, mara kile, vitu ambavyo...
wakuu nataka kufanya biashara ya electronics nijikite kwenye samsung na iphones , laptops pamoja na video game consoles kama ps4 n kadhalika, nn mawazo yenu kuhusu mpango huu, ?
Wakuu salaamu.
Ningependa kujua ni vitu gani hufanya mradi ufadhiliwe na mashirika ya kimataifa kama UNIDO, DANIDA, UNEP.
Na je, mashirika yanasapoti kampuni binafsi zinazofanya mambo yaliyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.