Hello wadau,
IPILIMO BUSINESS SOLUTIONS, pamoja na shughuli nyingine katika field ya "Project development services", Leo nahamasisha wadau katika uwekezaji kiuchumi na kijamii.
Kila siku watu...
Assalam Aleykum wakuu
Katika uchunguz wangu nimegundua watu wenye vimradi vidogo vidogo ndio wamekuwa wakipiga kelele nyingi kuhusu swala la kujiajiri na wamekuwa wakiwadharau na kuwadhihaki...
Awali ya yote napenda kutoa shukrani za dhati kwa members wa jf hususani katika jukwaa hili.
Mimi ni miongoni mwa waajiriwa katika sekta fulani hapa Tz, pamoja na kufanya kazi hii, bila shaka...
Hii inawahusu watu wote, inakupa uwezo wa kutengeneza mpaka tsh. 100,000 na zaidi
ni biashara ya advertising kwa maelezo zaidi tupia hapa group la whatsapp me nitakuja hiko tupeane ujuzi
hakuna...
Bei: Milioni 3.8
Zinafaa kwenye korosho au fumigation majumbani.
Description
The Tomahawk Backpack Mist Blower is perfect for applying pesticides in small orchards and vineyards or for pest and...
heshima kwenu wadau wa kutengeneza fursa za kuongeza utajiri,
wakati fulani niliwahi kusoma historia ya tajiri mkubwa aitwaye WARREN BUFFET, ambapo alielezea kwa ufanisi mkubwa kuhusu jinsi...
Habari za jioni wakuu.
Kama mada inavyojieleza hapo juu. Nahitaji kukopeshwa hela ninunue bajaji ili ipige kazi hapa mjini(Dar es salaam).Nitapambana kila mwezi niwe narudisha laki 600,000/-...
Kuna wazo moja niko nalo kichwani hapa la majani ya chai/kahawa spesho kwa wanaume kwamba inaongeza nguvu za kiume unachanganya na congo dust kimtindo unapitisha tbs na TFDA kutest...
Looking for those who are interested in doing businesses in Constructions Industry.
Jamani ni Capital tu inagomba but we can be more than NHC.
Those who wish to invest in this Infustry let us join...
Habari zenu wakubwa!
Nina mtaji wa laki moja nataka uza genge au niuze Machungwa ,je kwa mtaji huo utatosha kwa biashara ipii? kwa wataalamu unatosha wa hizo kazi??
Naheshimu mawazo yako!
Ubarikiwe
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi nimepata wazo nichukue mkopo benki kisha ninunue gari aina ya hiace ili kuweza kuifanya daladala hapa Mwanza ambapo kwa siku itaniwezesha kupata elfu hamsini...
Wakuu na mpango wa kwenda kesho sabasaba, vp mliotangulia kutembelea pale, maonyesho yapo vizuri au yamedorora?
Viingilio vya mwaka huu navyo vipo vp, bei yake kwa wakubwa na watoto?
Wiki iliyopita TRC ilirejesha safari za treni za mizigo kutoka Tanzania mpaka Kampala Uganda kupitia Tabora, Isaka, Mwanza na Ziwa Victoria kwa kutumia bandari ya Mwanza na Port Bell nchini...
nimepata wazo hilo kwa sababu karibia tanzania itaingia kwenye digital,hivo nikianzisha vipind hivo nitauza kwa channel za tanzania,na nchi nyingine za afrika mashariki baadae nitauza ata kwa...
Nakuja kwenu ndugu jamaa na marafiki mimi ni kijana wa miaka 19 naelekea 20, Mungu akijaalia
nimemaliza form miaka 12 iloyopita.
Katika ishu za kutafuta nikawa najifunza ufundi umeme wa majumbani...
Wanajamii wazima?
Kwanza poleni uongozi kwa kutokua hewani kipindi kile, mimi hadi leo app inanisumbua, haifungui, nimeunistall nikainstall tena lakini wapi...
Nije kwenye suala langu, nataka...
Naitaji ushauri wenu wakubwa..
lengo langu ni kua mfanyabiashara wa kimataifa shida nafkilia kuhusu Course ya kwenda kusoma chuo kikuu inayoendana na hio kitu.
Msaada tafadhari
Mwandishi huyu ameanzisha vipindi vya mfululizo kwenye maonyesho ya sabasaba,kipindi hicho kinarushwa TBC 1, kuanzia saa 21:15Pm.
Wito wangu kwenu,tumpeni ushirikiano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.