Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Wakuu salaamu. Ningependa kujua ni vitu gani hufanya mradi ufadhiliwe na mashirika ya kimataifa kama UNIDO, DANIDA, UNEP. Na je, mashirika yanasapoti kampuni binafsi zinazofanya mambo yaliyo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Je ni benki ipi inayotoa huduma nzuri na yenye Gharama nafuu? Ushauri..
0 Reactions
42 Replies
12K Views
Maneno bahati mbaya na nzuri yamekuwa yakisikika sana katika vinywa vya watu wengi duniani, mtu akifanikiwa kutoka salama katika ajali watu husema kuwa “yaani imekuwa bahati nzuri ametoka salama”...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Habarini wanabodi. Moja kwa moja kwenye mada. Unataka kuanzisha biashara? Hakuna kitu kinauma kwa mjasiriamali yoyote yule kuona biashara, project au wazo flani ambalo aliamini laweza kumtoa...
7 Reactions
13 Replies
3K Views
Hello wadau, IPILIMO BUSINESS SOLUTIONS, pamoja na shughuli nyingine katika field ya "Project development services", Leo nahamasisha wadau katika uwekezaji kiuchumi na kijamii. Kila siku watu...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Assalam Aleykum wakuu Katika uchunguz wangu nimegundua watu wenye vimradi vidogo vidogo ndio wamekuwa wakipiga kelele nyingi kuhusu swala la kujiajiri na wamekuwa wakiwadharau na kuwadhihaki...
3 Reactions
166 Replies
13K Views
Awali ya yote napenda kutoa shukrani za dhati kwa members wa jf hususani katika jukwaa hili. Mimi ni miongoni mwa waajiriwa katika sekta fulani hapa Tz, pamoja na kufanya kazi hii, bila shaka...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Biashara gani inalipa msimu wa kiangazi
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Hii inawahusu watu wote, inakupa uwezo wa kutengeneza mpaka tsh. 100,000 na zaidi ni biashara ya advertising kwa maelezo zaidi tupia hapa group la whatsapp me nitakuja hiko tupeane ujuzi hakuna...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Bei: Milioni 3.8 Zinafaa kwenye korosho au fumigation majumbani. Description The Tomahawk Backpack Mist Blower is perfect for applying pesticides in small orchards and vineyards or for pest and...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
heshima kwenu wadau wa kutengeneza fursa za kuongeza utajiri, wakati fulani niliwahi kusoma historia ya tajiri mkubwa aitwaye WARREN BUFFET, ambapo alielezea kwa ufanisi mkubwa kuhusu jinsi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za jioni wakuu. Kama mada inavyojieleza hapo juu. Nahitaji kukopeshwa hela ninunue bajaji ili ipige kazi hapa mjini(Dar es salaam).Nitapambana kila mwezi niwe narudisha laki 600,000/-...
2 Reactions
17 Replies
6K Views
kama utapatiwa sh laki tano ukiwa Dar unawezafanya biashara gani ikakuingizia pesa ? ukajikwamua kiuchumi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna wazo moja niko nalo kichwani hapa la majani ya chai/kahawa spesho kwa wanaume kwamba inaongeza nguvu za kiume unachanganya na congo dust kimtindo unapitisha tbs na TFDA kutest...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Looking for those who are interested in doing businesses in Constructions Industry. Jamani ni Capital tu inagomba but we can be more than NHC. Those who wish to invest in this Infustry let us join...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari zenu wakubwa! Nina mtaji wa laki moja nataka uza genge au niuze Machungwa ,je kwa mtaji huo utatosha kwa biashara ipii? kwa wataalamu unatosha wa hizo kazi?? Naheshimu mawazo yako! Ubarikiwe
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi nimepata wazo nichukue mkopo benki kisha ninunue gari aina ya hiace ili kuweza kuifanya daladala hapa Mwanza ambapo kwa siku itaniwezesha kupata elfu hamsini...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Wakuu na mpango wa kwenda kesho sabasaba, vp mliotangulia kutembelea pale, maonyesho yapo vizuri au yamedorora? Viingilio vya mwaka huu navyo vipo vp, bei yake kwa wakubwa na watoto?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wiki iliyopita TRC ilirejesha safari za treni za mizigo kutoka Tanzania mpaka Kampala Uganda kupitia Tabora, Isaka, Mwanza na Ziwa Victoria kwa kutumia bandari ya Mwanza na Port Bell nchini...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom