Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Kuhamia Dodoma ni ndoto yetu ya siku nyingi sana, lakini sio kipaumbele kutokana na hali yetu ya sasa ya kiuchumi. Kama tukiyaorodhesha matatizo yetu yanayokwamishwa na ukosefu wa fedha kwa...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
KAMPUNI ya Ndege ya Tanzania (ATCL) imesema safari zake kwa nchi za Afrika Mashariki kutoka Dar es Salaam kwenda Bujumbura, Burundi na Entebbe, Uganda, zimepata mafanikio kwa asilimia mia moja...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu jamaa na marafiki, poleni na majukumu ya kila siku!! Nimekuja kupata ushauri kwa yeyote mwenye idea kuhusu kuanzisha rasmi kituo cha soka la watoto (academy). Nimejiwa na wazo ili baada ya...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Kiuhalisia mawazo ya mradi/biashara yapo mengi sana na huwezi kutekeleza kila wazo ambalo umelipata ima kwa njia fikirishi (brainstorming) au njia nyingine, hii hutokana na ufinyu wa rasilimali...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
SABABU YA KURUDI TANZANIA Tajiri Mo Dewji amejaribu kuelezea sababu iliyofanya arudi Tanzania, baada ya kumaliza masomo yake Marekani na kufanya kazi kwa muda. Je unahisi Tanzania kuna fursa...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Nipo mkoani nina mil. 5,nataka kufungua duka la nguo za watoto na kuuza pampers, mwenye uzoefu tafadhali anipe mawazo.
2 Reactions
10 Replies
8K Views
Biashara/kampuni zote huwa zina ufanisi (Competency) na rasilimali (Resources) za kipekee ambazo huzitofautisha na washindani wake. Hizi fanisi na rasilimali katika kampuni hutambuliwa katika hali...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna njia nyingi za kupata fedha kwa ajili ya kutekeleza mradi; aina ya njia itumikayo kwa kiasi kikubwa hutegeme; · Kiasi cha pesa unachohitaji kwa ajili ya kutekelezea mradi wako...
5 Reactions
16 Replies
6K Views
Uibuaji wa mradi (Project Plan) ni hatua ya mwanzo kabisa katika mradi. Katika hatua hii wazo la mradi ambalo linaenda kutatua tatizo huainishwa. Kumekuwepo na kasoro nyingi sana katika uibuaji...
3 Reactions
17 Replies
9K Views
Kuna njia (models) mbalimbali ambazo huelezea namna timu ya mradi (project team) inavyokua (evolving). Moja ya njia maarufu (popular) ni hii yenye kuonyesha hatua nne za ukuaji wa timu, kama...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuongoza/kusimamia mradi (managing a project) ni tofauti na kuongoza idara katika kampuni au ,taasisi. Mradi siku zote huja na bidhaa au huduma mpya na ya kipekee (unique) katika eneo husika...
1 Reactions
2 Replies
879 Views
Nimeomba mkopo wa Tsh 1,500,000/= kutoka taasisi moja hapa nchini ambao riba yake ni 17%. Nimeweka dhamna kiwanja. Hivyo basi, nimeingiziwa huo mkopo ambao inatakiwa niulipe kwa muda wa miezi 6...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
KUPANDA NA KUPOTEA KWA FEDHA MTAANI NA WAKATI SAHIHI WA KUWEKEZA. Mzunguko wa fedha unahusisha fedha zote zilizopo kwenye mzunguko za noti na sarafu,zilizopo kwenye mikono ya watu na zilizopo...
6 Reactions
30 Replies
4K Views
Habar ya jumapilli samahanini kwenye mpangilio wa uandishi siko vizuri ilimradi ujumbe tu viusemi unaosema hamna mfanya biashara anaye fanyia hasara Ndo yametimia Viongozi wa Africa walikusanyana...
0 Reactions
6 Replies
893 Views
GAVANA MKUU WA BENK YA TANZANIA AMEFAHAMU KUA BITCOIN INAENDELEA KUKUA HAPA NCHINI Gavana wa bot bwana benno ndulu ameweza kuzungumza na gazeti la THE GUARDIAN, nakusema kua watanzania wanatakiwa...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Wakuu karibuni tupeane mawazo tofautix2 kwa biashara inayohusu supply ya bidhaa,Naomba tujadili mbinu za kufanya supply ya uhakika bila kukera wateja,Changamoto zake ni zipi na Faida ni zipi...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Mfano umeomba visa ubarozi wa ufaransa unataka kwenda paris kwenye maonesho lakini ukawa hujui english je wakati wa enterview unaruhusiwa kuongea kiswahili au ndio utakuwa visa umekosa sababu...
0 Reactions
1 Replies
848 Views
Waliteremsha bei ya castle lite kutoka 2500 hadi 1500 kwa lengo la kuua soko la serengeti lite lakini wamechemka mapeeeema saa nne asubuhi sasa hivi bia za castle lite ni 2000 wakati serengeti...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 nina kazi nzuri kwa mwezi sikosi kama laki tano na kidogo na nina mwaka tu kazin na nimepata pesa kama milion 28 hivi na sina dira nzuri ya mafanikio...
4 Reactions
59 Replies
6K Views
Habari wana jf Nimeona ni vyema kuanzisha thread hii ili watu waweze ku-share fursa mbali mbali za kujiingizia kipato walizowahi kuzifanya ama wanazozifanya kwa sasa au hata zile wanazozifikiria...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom