Kuhamia Dodoma ni ndoto yetu ya siku nyingi sana, lakini sio kipaumbele kutokana na hali yetu ya sasa ya kiuchumi.
Kama tukiyaorodhesha matatizo yetu yanayokwamishwa na ukosefu wa fedha kwa...
KAMPUNI ya Ndege ya Tanzania (ATCL) imesema safari zake kwa nchi za Afrika Mashariki kutoka Dar es Salaam kwenda Bujumbura, Burundi na Entebbe, Uganda, zimepata mafanikio kwa asilimia mia moja...
Ndugu jamaa na marafiki, poleni na majukumu ya kila siku!!
Nimekuja kupata ushauri kwa yeyote mwenye idea kuhusu kuanzisha rasmi kituo cha soka la watoto (academy). Nimejiwa na wazo ili baada ya...
Kiuhalisia mawazo ya mradi/biashara yapo mengi sana na huwezi kutekeleza kila wazo ambalo umelipata ima kwa njia fikirishi (brainstorming) au njia nyingine, hii hutokana na ufinyu wa rasilimali...
SABABU YA KURUDI TANZANIA
Tajiri Mo Dewji amejaribu kuelezea sababu iliyofanya arudi Tanzania, baada ya kumaliza masomo yake Marekani na kufanya kazi kwa muda.
Je unahisi Tanzania kuna fursa...
Biashara/kampuni zote huwa zina ufanisi (Competency) na rasilimali (Resources) za kipekee ambazo huzitofautisha na washindani wake. Hizi fanisi na rasilimali katika kampuni hutambuliwa katika hali...
Kuna njia nyingi za kupata fedha kwa ajili ya kutekeleza mradi; aina ya njia itumikayo kwa kiasi kikubwa hutegeme;
· Kiasi cha pesa unachohitaji kwa ajili ya kutekelezea mradi wako...
Uibuaji wa mradi (Project Plan) ni hatua ya mwanzo kabisa katika mradi. Katika hatua hii wazo la mradi ambalo linaenda kutatua tatizo huainishwa. Kumekuwepo na kasoro nyingi sana katika uibuaji...
Kuna njia (models) mbalimbali ambazo huelezea namna timu ya mradi (project team) inavyokua (evolving). Moja ya njia maarufu (popular) ni hii yenye kuonyesha hatua nne za ukuaji wa timu, kama...
Kuongoza/kusimamia mradi (managing a project) ni tofauti na kuongoza idara katika kampuni au ,taasisi.
Mradi siku zote huja na bidhaa au huduma mpya na ya kipekee (unique) katika eneo husika...
Nimeomba mkopo wa Tsh 1,500,000/= kutoka taasisi moja hapa nchini ambao riba yake ni 17%. Nimeweka dhamna kiwanja. Hivyo basi, nimeingiziwa huo mkopo ambao inatakiwa niulipe kwa muda wa miezi 6...
KUPANDA NA KUPOTEA KWA FEDHA MTAANI NA WAKATI SAHIHI WA KUWEKEZA.
Mzunguko wa fedha unahusisha fedha zote zilizopo kwenye mzunguko za noti na sarafu,zilizopo kwenye mikono ya watu na zilizopo...
Habar ya jumapilli samahanini kwenye mpangilio wa uandishi siko vizuri ilimradi ujumbe tu viusemi unaosema hamna mfanya biashara anaye fanyia hasara Ndo yametimia Viongozi wa Africa walikusanyana...
GAVANA MKUU WA BENK YA TANZANIA AMEFAHAMU KUA BITCOIN INAENDELEA KUKUA HAPA NCHINI
Gavana wa bot bwana benno ndulu ameweza kuzungumza na gazeti la THE GUARDIAN, nakusema kua watanzania wanatakiwa...
Wakuu karibuni tupeane mawazo tofautix2 kwa biashara inayohusu supply ya bidhaa,Naomba tujadili mbinu za kufanya supply ya uhakika bila kukera wateja,Changamoto zake ni zipi na Faida ni zipi...
Mfano umeomba visa ubarozi wa ufaransa unataka kwenda paris kwenye maonesho lakini ukawa hujui english je wakati wa enterview unaruhusiwa kuongea kiswahili au ndio utakuwa visa umekosa sababu...
Waliteremsha bei ya castle lite kutoka 2500 hadi 1500 kwa lengo la kuua soko la serengeti lite lakini wamechemka mapeeeema saa nne asubuhi sasa hivi bia za castle lite ni 2000 wakati serengeti...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 nina kazi nzuri kwa mwezi sikosi kama laki tano na kidogo na nina mwaka tu kazin na nimepata pesa kama milion 28 hivi na sina dira nzuri ya mafanikio...
Habari wana jf
Nimeona ni vyema kuanzisha thread hii ili watu waweze ku-share fursa mbali mbali za kujiingizia kipato walizowahi kuzifanya ama wanazozifanya kwa sasa au hata zile wanazozifikiria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.