Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Ninatembelea kila jukwaa, sioni updates za mnada wa makontena. Umeahurishwa? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
724 Views
Nguvu Ya Rangi Katika Biashara Zetu Na: Albert Sanga, Iringa. Leo nitawapitisha wajasiriamali katika somo muhimu kuhusu rangi. Je, unafahamu chimbuko la neno yeboyebo hapa nchini? Twende pamoja...
15 Reactions
29 Replies
13K Views
Habari zenu Watanzania, Ninataka kuagiza mashine ya kuchimba visima ila sijui ni vitu gani muhimu vya kuangalia kwenye mashine. Kuna hii hapa nimeona kama iko poa sana ila nahitaji ushauri kama...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kampuni ya kimataifa ya teknolojia ya malipo, imetangaza rasmi ushirikiano wa kimkakati kati yao na Maxcom Afrika ambayo itawawezesha wauzaji zaidi ya 30,000 kupokea malipo ya Visa kwa kutumia...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
*GOOD NEWS: TUME YA TAIFA YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YATANGAZA FURSA KWA VIJANA WOTE WAJASIRIAMALI NA WABUNIFU* [emoji383] *Million 40.Tshs watapewa Kwa kila wazo bora ambalo litaleta maendeleo...
4 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu habar, nategemea kusafir kwenda dubai mwezi ujao. Naenda kununua vifaa vifuatavyo Tv za inch 32 nne, zenye thamanai ya kama dirham ya UAE 600 kila moja , xbox 1 x yenye thamani kama ya...
1 Reactions
2 Replies
816 Views
Heshima kwenu wanajamii wenzangu tunaokutanika katika mtandao huu. Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kutokana na hali ya uchumi kuwa ngumu na mazingira ya kibiashara kuwa magumu ni awzi...
11 Reactions
41 Replies
16K Views
Habari ya asubuhi wakuu, Naomba ushauri ,ni bank gani nzuri kufungua account na Kwa kigezo kipi kuangalia kabla ya kufungua . Asante Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
5K Views
hello, nikiwa kama mwakilishi wa RESEARCH AND CHEMICAL ANALYSIS AGENCY (RCAAT) napenda kuwahabarisha wajasiriamali kuwa tunatoa msaada wa (majadiliano ya ubora wa bidhaa) consultation, (upimaji wa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama vifaa vilivyomo kwenye makontena ya Mh. Makonda bandarini vitagawiwa Tanzania nzima basi sina tatizo na kusamehewa kodi. Lakini kama ni kwa Dar es Salaam tu siungi mkono kwasababu itakuwaje...
1 Reactions
1 Replies
900 Views
Habari ndugu zangu, nafikiria kufanya Biashara ya Bia za jumla (Godown) naomba yeyote anaefahamu kuhusu hii biashara anijuze tafadhali.
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Habari zenu wanajf, Binafsi katika maisha yangu nimepitia changamoto nyingi sana za maisha kama kijana, Vijana tulio wengi tuna mawazo mazuri ila kikwazo kikubwa huwa ni mtaji. kama kijana ni moja...
0 Reactions
40 Replies
9K Views
Ndugu wapendwa napenda kujuwa kuhusu biashara ya fedha za kigeni (usd/ tshs) zinazofanywa kwenye mipaka yetu hususa Tunduma, nilipanda gari za IT zinazoenda mpakani, ndani ya ile gari kulikuwa na...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari zenu wanaJF Lengo la uzi huu ni ukuomba msaada wa mawazo pamoja na ushauri wa hiki ninachofikilia kukifanya, maana naamini humu kuna watu tofauti. Nadhani katika pitapita zenu mmekutana na...
0 Reactions
9 Replies
978 Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Jamani HUU NI MTAZAMO WANGU BINAFSI LARA 1!! (Hii sio dini na mimi sio nabiii so sitegemei wote mseme AMINA kuitikia pasi kupinga hoja yangu...
48 Reactions
187 Replies
27K Views
Naomba kuelemishwa Wana Jamiforums. Wiki iliyopita thamani ya Shilingi ya Tanzania ilikuwa $1=2450 leo thamani ya Shillingi ni $1=2498. Hivi kwa tarakimu hizo mfumuko wa bei umepungua au...
0 Reactions
2 Replies
927 Views
Kwa mtu anaefaham....nawezaje wekeza 50,000tsh??? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Wabari za kazi wakuu. Huko nyuma nilileta Uzi kuhusu TRA kunikadilia kodi kubwa tofauti na biashara, Nikachukua ushauri wenu wengi wakiniambia niende kwa meneja wa tawi lakin hakunielewa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Heshima kwenu Wakuu, Tafadhari naomba kufahamishwa Vibali vinavyohitajika ili mtu aruhusiwe kutoa huduma ya fumigation. Pia kama kuna taratibu zozote za kufuata au vigezo anavyopaswa kuwa navyo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
JE UNASHAURI MTU ANAYETAKA KUJIHUSISHA NA HII BIASHARA AANZE KUJIFUNZA NINI?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom