Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Sitatumia maneno mengi katika hili. Wanasema picha zinazungumza maneno 1000. Ya kwanza ni hapo Rwanda tu unapoweza kwenda hata na basi. Ya pili hapo chini ni huko Marekani, Ulaya na hadi China...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari wakuu.. Samahanini jama, kwa wale wanaofahamu kiasi wanacholipwa wale jamaa ambao ni mawakala wa kukata tiketi za mabasi ya kwenda mikoani naomba anijulishe. Asanteni.
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Samahani naitaji Junua hii block chain technology Ndio nini msaada kwa anaejua tafadhali
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mradi wa usafirishaji wa abiria ujulikanao kama TAXIFY ulionekana kama mkombozi wa abiria kwa Mwanza kama ilivyo UBER Kwa Dar es salaam. Lakini jambo LA ajabu kwa wiki nzima sasa hali imebadilika...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Muda si mrefu nimepàta preshaa baada ya kukuta account yangu pesa hàipo imepungua niliacha trading 23 zikirun ili baadae kukikucha nizitazàme,,natazama midà hii nakutà zimekuwà cànceled ñà pesà...
0 Reactions
64 Replies
8K Views
Nahitaji mkopo kwa ajili ya kuendeleza biashara yangu, naulizia taasisi yoyote ambayo inatoa mkopo haraka, sitaki benki kwa sababu ya ukiritimba
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Wale wafanyabiashara wa dagaa hamieni Uganda na Kenya nako wanavua dagaa na soko kubwa liko Sudani Kusini hawa wanaoendesha operation ziwa Victoria wasiwaathiri.
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Multinational law firm Herbert Smith Freehills (HSF) has raised concerns around Tanzania’s new integrity pledge for mining companies, questioning whether it meets international best practice...
0 Reactions
4 Replies
948 Views
Habari, Nililima mihogo mwaka jana ila mpaka sasa ninekosa soko , Mbegu ya mihogo niliyopanda inaitwa MKIU, Jana nikawaza nikasema labda naweza kutengeneza unga wa muhogo nikauchanganya na mahindi...
1 Reactions
70 Replies
8K Views
Kuna bidhaa nimeipata online iko Malaysia. je Tanzania nitampata wakala wa kuniagizia, mwaminifu mwenye ofisi maalum kwa kazi hiyo?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa yeyote yule anayejua kuweka na kutoa hela kwenye account ya m9bitcoin kupitia njia ya mpesa au tigo pesa nk tufajulishane jamni
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wa jamii forum mimi ni mjasiliamali na pia na weza sema ni mpambanaji kwani nilitokakea kuajiliwa hadi kufungua kiwanda kidogo. Kiwanda changu kinajihusha na uzalishaji wa viatu vya...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi wenzangu??? Mimi ni mtumiaji mzuri wa mitandao ya kijamii hasa facebook na jamiiforums. Hivi karibuni nimejikuta kwenye mshangao mkubwa sana kila nikiperuzi kwenye mtandao...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Tunatafuta kampuni, taasisi au mwekezaji binafsi tuingie nae mkataba wa kupandisha ghorofa floor 3 au 4 kwa ajili ya biashara ndani ya Dodoma mjini. Jengo ni la kundeleza tu lipo mtaa wa uhindini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani siwezi kujenga nyumba ya vyumba vinne hapo Dar kwa milioni 20? Niambieni kama siwezi kabla sijaipoteza hii pesa... Asante
0 Reactions
284 Replies
118K Views
Embu tusaidiane wadau wanaotoa mizigo Nairobi usafiri kuja Arusha mnatumia UPI? Nimetumia dar ex press kidogo lakini hela zinalipwa nyingi Na saingine mzigo ubaki boda.....mwenye mawasiliano Na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kampuni ya Maxcom Africa PLC, wamezidi kuboresha huduma zao. LEO wametangaza Huduma zao Mpya ambazo zinaweza kupatikana kwa Mawakala wa Maxmalipo Popote. Huduma hizi zimeambatana na huduma...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mradi wa Kuwawezesha vijana wa kike na wanawake kiuchumi kupitia Tasnia ya Urembo na Vipodozi ujulikanao kama Manjano Dream-Makers ulioasisiwa na Taasisi ya Manjano Foundation wamemaliza mafunzo...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Hi JF members Poleni na majukumu Nimeona ni vema nikaanzisha hii ID mpya ili kusudi niwe natupia mambo nyeti ,muhimu na yenye tija kwetu sote najua sitawaridhisha wote kutokana na kila MTU kuwa na...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Hello Ningependa kujua kama maji ya Kilimanjaro yanayotengenezwa na bonite, yanapatikana katika Nairobi retail shops. Nina plan ya kuwa supply agent wa hayo maji. Mliokaa Nairobi or Kampala...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom