Kilimanjaro waongoza kwa kutumia benki
UTAFITI umebaini kwamba Mkoa wa Kilimanjaro, unaongoza kwa kutumia huduma za kibenki kwa asilimia kubwa na kuwa na idadi kubwa ya watu waoelewa na...
Tunasema ili ufanikiwe ni muhimu ukafanya kile unachokipenda. Ni kweli hili kabisa ila sasa katika kufanya kuna mambo utakutana nayo ambayo huyapendi kabisa. Hayo mambo yanaweza kuwa ya muhimu...
Habari zenu wakuu, mimi ni kijana mtafutaji, naishi Dar maeneo ya chanika.
Kitaaluma ni mwanasheria ila kwa sasa nafanya biashara katika ofisi yangu binafsi.
Lengo la mimi kuja kwenu ninahitaji...
Wadau habari je kuna mtu mwenye elimu kuhusu business online naomba anisaidie ambayo kwa baadhi ya vijana wameacha kazi kama ya uhasibu jamaa mmoja alisomea uhasibu lakini hataki kuajiriwa bali...
Timu ya Wataalam wa Wizara ya Nishati pamoja na TANESCO wakiongozwa na Kamishna wa Umeme na Nishati Mbadala, Mhandisi Innocent Luoga imefanya ziara ya kukagua Ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa...
Hello Members
WHAT IS A BUSINESS IDEA?
A business idea is a concept that can be used to make money. Usually it centers on a product or service that can be offered for money. An idea is the...
habarin ndg zangun,,,ni mda mrefu sana,,nimetaman kufanya biashara ya dhahabu,,ila muda nilikuwa nakosa,,kutokana na majukumu,,,sasa nina muda wa kufanya hiyo biashara,,naomba kuelimishwa,,1.mzigo...
Je ni sahihi Marekani kuongeza ushuru kwa bidhaa za Uchina? Na kama ni hivyo, kwa nini ilenge zaidi bidhaa za chuma?
Kwa takwimu zinavyoonesha, siyo siri tena kwamba nchi ya Uchina ndiye...
Ndugu yeyote mwenye uhitaji wa simu hiyo ambayo vodacom wanajinadi kuwa ni OFA na kuiuza kwa bei ya elfu95. Hiyo Itel gado yao ndani wanaeleza kwamba "utapata GB 3 kila mwezi kwa miezi 4 BURE"...
Hello Watanzania Wenzangu.
Maisha yamekua magumu sana ktk kipindi hiki, kwa bahati nzuri nyumbani nina kitega uchumi, mashine ya Kutengenezea Juice Ya Miwa, sipo hapa kwa lengo la kuiuza Hapana...
Dar es Salaam. Real estate agents are increasingly finding it difficult to attract tenants for commercial premises in Dar es Salaam as residents adapt to new economic realities.
A week-long...
Habari wana JF,
Napenda kujua utaratibu wa kufuata kufungua kampuni ya betting kama ilivyo sportpesa, meridian na kadhalika!
Utaratibu ukoje?
NB: Process za brela nazijua,
Tuanzie kwenye vibali...
Hivi kuna fixed account nawea kuweka USD tu NMB? Nikitumia ya watoto vipi?
Nataka kila mwezi naweka usd 200 ila kwenye fixed account hasa ya watoto for at least two years.
Sijui kama zipo za USD
Habari zenu wadau
Pitia uzi wangu uliopita wa kujenga kwa milioni 3 😂 Haikutosha, badala yake nimetumia zaidi ya milioni 10. Kwa sasa nyumba ya vyumba viwili na choo imesimama na imeezekwa...
Habari zenu GT! Nina mpango wa kuanzisha biashara ili niweze jikwamua na tatizo la ajira, Naomba kujua nnatakiwa kuanza kupata kipi kati ya TIN (Taxpayer Identification Number) na Leseni ya biashara?
Habari za mida wasaka tonge wenzangu,
Nimekuwa natamani na mimi nimiliki biashara yangu,ila changamoto inakuwa kwenye mtaji wa kuanzishia hiyo biashara.
Njia zipi labda zinaweza kunisaidia kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.