Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Kilimanjaro waongoza kwa kutumia benki UTAFITI umebaini kwamba Mkoa wa Kilimanjaro, unaongoza kwa kutumia huduma za kibenki kwa asilimia kubwa na kuwa na idadi kubwa ya watu waoelewa na...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunasema ili ufanikiwe ni muhimu ukafanya kile unachokipenda. Ni kweli hili kabisa ila sasa katika kufanya kuna mambo utakutana nayo ambayo huyapendi kabisa. Hayo mambo yanaweza kuwa ya muhimu...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, mimi ni kijana mtafutaji, naishi Dar maeneo ya chanika. Kitaaluma ni mwanasheria ila kwa sasa nafanya biashara katika ofisi yangu binafsi. Lengo la mimi kuja kwenu ninahitaji...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Wadau habari je kuna mtu mwenye elimu kuhusu business online naomba anisaidie ambayo kwa baadhi ya vijana wameacha kazi kama ya uhasibu jamaa mmoja alisomea uhasibu lakini hataki kuajiriwa bali...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Timu ya Wataalam wa Wizara ya Nishati pamoja na TANESCO wakiongozwa na Kamishna wa Umeme na Nishati Mbadala, Mhandisi Innocent Luoga imefanya ziara ya kukagua Ujenzi wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Hello Members  WHAT IS A BUSINESS IDEA? A business idea is a concept that can be used to make money. Usually it centers on a product or service that can be offered for money. An idea is the...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
habarin ndg zangun,,,ni mda mrefu sana,,nimetaman kufanya biashara ya dhahabu,,ila muda nilikuwa nakosa,,kutokana na majukumu,,,sasa nina muda wa kufanya hiyo biashara,,naomba kuelimishwa,,1.mzigo...
1 Reactions
34 Replies
13K Views
Je ni sahihi Marekani kuongeza ushuru kwa bidhaa za Uchina? Na kama ni hivyo, kwa nini ilenge zaidi bidhaa za chuma? Kwa takwimu zinavyoonesha, siyo siri tena kwamba nchi ya Uchina ndiye...
2 Reactions
0 Replies
810 Views
Ndugu zangu habari?. Nahitaji kufungua biashara ya duka la madawa naomba kujuzwa taratibu za kufuata ili kupata kibali kutoka TFDA
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Ndugu yeyote mwenye uhitaji wa simu hiyo ambayo vodacom wanajinadi kuwa ni OFA na kuiuza kwa bei ya elfu95. Hiyo Itel gado yao ndani wanaeleza kwamba "utapata GB 3 kila mwezi kwa miezi 4 BURE"...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Natanguliza shukran naomb mnifahamushe taratibu na ghalama za kupata barcode kwa ajili ya bidhaa zangu.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Hello Watanzania Wenzangu. Maisha yamekua magumu sana ktk kipindi hiki, kwa bahati nzuri nyumbani nina kitega uchumi, mashine ya Kutengenezea Juice Ya Miwa, sipo hapa kwa lengo la kuiuza Hapana...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Dar es Salaam. Real estate agents are increasingly finding it difficult to attract tenants for commercial premises in Dar es Salaam as residents adapt to new economic realities. A week-long...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana JF, Napenda kujua utaratibu wa kufuata kufungua kampuni ya betting kama ilivyo sportpesa, meridian na kadhalika! Utaratibu ukoje? NB: Process za brela nazijua, Tuanzie kwenye vibali...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapendwa naomba kujua je zile Tv zinazowashwa kila siku kwenye maduka ya Tv (Demo), ukinunua utasema umenunua Tv mpya au iliyotumika (used)?
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Hivi kuna fixed account nawea kuweka USD tu NMB? Nikitumia ya watoto vipi? Nataka kila mwezi naweka usd 200 ila kwenye fixed account hasa ya watoto for at least two years. Sijui kama zipo za USD
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wadau Pitia uzi wangu uliopita wa kujenga kwa milioni 3 😂 Haikutosha, badala yake nimetumia zaidi ya milioni 10. Kwa sasa nyumba ya vyumba viwili na choo imesimama na imeezekwa...
1 Reactions
99 Replies
16K Views
Habari zenu GT! Nina mpango wa kuanzisha biashara ili niweze jikwamua na tatizo la ajira, Naomba kujua nnatakiwa kuanza kupata kipi kati ya TIN (Taxpayer Identification Number) na Leseni ya biashara?
0 Reactions
30 Replies
14K Views
Habari za mida wasaka tonge wenzangu, Nimekuwa natamani na mimi nimiliki biashara yangu,ila changamoto inakuwa kwenye mtaji wa kuanzishia hiyo biashara. Njia zipi labda zinaweza kunisaidia kupata...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom