Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Wasalamu, hizi ni terminology za TRA.nafahahamu TIN lakin VRN sifahamu wala sijui faida za kuwa nayo wala hasara za kutokua nayo.naomba kupewa shule jaman!
0 Reactions
12 Replies
22K Views
Wanajamvi Amani kwenu. Tafadhali kwa yeyote mwenye kuijua taasisi ya kifedha au kampuni inayoitwa CGI (Magellan international) anipe mwanga jinsi inavyofanya kazi. Ninatanguliza shukurani.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana jf wenzangu naomba mnisaidie kwa hili maana nimekaa nikijiuliza sana bila kupata jibu hivi kweli soko la hela za kizamani lipo au ni utapeli tu? Maana hii habari nimeisikia kitambo sana kuwa...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Nauza tecno W3 Ambae anaitaji anicheki kwa namba 0757983094 ila uwe mkazi wa dar
0 Reactions
5 Replies
764 Views
Jamani humu ndani,kuna kifaa ninataka kuagiza ulaya au marekani, nimenge na maduka mbali mbali na makampuni ya usambazaji nimeambiwa hawawezi sababu hicho kifaa hakijawa-registered na TFDA.sasa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa. Katika pitapita zangu za mihangaiko nimekuwa nikifuatilia namna ya kupata Madini tajwa hapo juu. lengo langu ni kununua toka nje ya nchi kwa wachibaji wadogo kisha kuja kuuza...
3 Reactions
20 Replies
13K Views
Heshima kwenu wakuu, wakati tunaenda kumalizia malizia mwaka juzi J5 ilikuwa siku nzuri kwa jeff bezos ambapo report iliyotelewa na shirika la bloomberg ilionyesha yafuatayo:- >Amazon ilipata...
9 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari wana JF Nina wazo moja la biashara ambalo naomba ushauri. Wazo langu ni hili nataka niwaunganishe wauzaji na wanunuaji wa mazao na mifugo kwa njia ya mtandao. Nina uelewa na Blogs hivyo...
7 Reactions
61 Replies
8K Views
2. USIZITUMIKIE PESA(don't work for money). hii ndio siri namba mbili baada ya kuangalia ile namba moja na mkubwa kuliko zote.kunawatu wanaamini kuwa wakijibidisha na kujitesa kwakufanya kazi...
5 Reactions
15 Replies
10K Views
Habari za Muda Huu Mkuu? Kumekuwa na mijadala mingi sana katika jamii hasa kwa vijana wanaopambani kutafuta maisha. Jambo lenyewe liko hivi:- Mara nyingi vijana wanapoanza kuona mwezi {pesa}...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Zile simu ni fake au orignal? Maana unakuta ni bei rahisi kidogo. kuna mdau aliyewahi nunua kwenye yale maduka athibitishe?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Fastjet imetoa tamko Leo kwamba Biashara yake ya Tanzania haina faida na kwamba inaweza kufunga virago kama isipopata mtaji mwezi huu. Hii ndio statement walioitoa London stock exchange...
3 Reactions
35 Replies
6K Views
Kama mnavyoelewa hizi nyakati za vyuma kukaza kisawasawa.Naomba kufahamu kuhusu kampuni zinazotoa mikopo kupitia mitandao lakini kwa riba nafuu. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
1 Reactions
32 Replies
13K Views
Hamjambo wadau wapenda maendeleo, katika pita pita zangu za kuongeza ujuzi wa maisha, niliwahi kusoma kitabu cha RICH DAD POOR DAD kilichoandikwa na ROBERT KIYOSAKI, jambo mojawapo nililojifunza...
11 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari wana JF. Napenda kujua kama hi pump ya maji aina ya"MONEY MAKER PUMP"kama inaweza kunisaidia kwa kilimo cha bustani maeneo ya MOROGORO bush?ninampango wa kulima hk 10 za nyanya,matango na...
0 Reactions
21 Replies
14K Views
Katika harakati ya kutembelea moja ya mashamba yetu huku vijijini nimekutana na hili shamba la hekari 9.5 lina mawe haya, kwa wataalamu wa madini njooni tupige pesa sasa.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Samahani wakuu, kwa wale wenye uzoefu na mambo ya ujenzi, Je, haka kamjengo kanaweza kugharimu kiasi hadi kanaisha?
2 Reactions
50 Replies
10K Views
Ndg wana JF Nina biashara ambayo inaendelea ina niingizia km Lak5 toa Gharama zote kwa mwenzi! Lakini biashara hii inahitaji mtaji mkubwa nimedunduliza kwa kipindi cha mienzi 6hivi Nina km 4ml...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habar..wakuu!! Wenye ujuzi kidogo na haya mambo ya ujenz Baad ya kujichangachang nimefanikiwa kupat kaeneo sasa nilikuwa naitaji kuanza ujenz lakn kwa awamu km mnavyojua life lenyew ni la kuunga...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Bussness account(akaunti za biashara) ni akaunti ya kawaida kabisa kama nyingine inayotumia jina"brand" ya biashara fulani. Zinaweza kuwa pia akaunti binafsi za watu maarufu na za watu wenye...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom