Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
231
Posts
7.2K
Threads
231
Posts
7.2K

JF Prefixes:

Wakuu nna line ya wakala wa M-PESA na kianzio cha laki 2 laki 1 cash moja float Je nkianza kufanya miamala naweza pata commission ya wastani ya shilling ngapi kwa mwezi?? Ufafanuzi tafadhali kwa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu wana JF, natumai hamjambo! Naomba mnisaidie wapi naweza kupata miti ya matunda yafuatayo? Nahitaji angalau miti miwili katika kila aina. Nahitaji mnisaidie kunielekeza nitakapozipata...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish EURUSD is bullish in the long-term and bearish in the short-term. Price went upwards on Monday and Tuesday, testing the...
0 Reactions
1 Replies
497 Views
Baada ya tukio la wiki iliyopita kutokea kwa vijana zaidi ya 56,000 waliokuwa wakipambana kupata ajira 400 tu zilizokuwa zikitangazwa, kumetokea na kundi la ambalo binafsi nawaona kama watu...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Redirect
Ukipata nafasi ya kufika kule Mbozi Mbeya, ukakutana na habari za watu wanaotajirika kutokana na kilimo cha kahawa, kwa kweli unaweza kuwehuka, na kujiona kama mtu uliechelewa kweli kweli. Wakati...
20 Reactions
Replies
Views
Habari za jioni wa ndugu leo napanda jukwaani kujadili jambo moja ambalo linanipa tabu sana viongozi wetu wamekua wakiamasisha kilimo kila siku lakini wameshindwa kuwatafutia soko wakulima wake...
0 Reactions
1 Replies
682 Views
Habari zenu wakuu, Leo kwa mara ya kwanza niliamua kutumia hii huduma ya Premium katika kupost tangazo langu. huwa napost vitu vingi na kuviuza kupatana but huwa natumia ile ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamii. Nimeanza maandalizi ya kufungua mradi wa usambazaji wa maziwa fresh kutoka kwa wakulima hadi kwa walaji hapa mujini. Natafuta storage facilities namaanisha tenki la ujazo wa...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
  • Redirect
Habari za harakati wadau wa jamii forum. Naomba kufahamu biashara ya mchele kutoka mikoani hasa shinyanga na mbeya kwenda jiji la dar es salaam, Masoko ya biashara yapo vipi na trick zote za...
0 Reactions
Replies
Views
Husika na kichwa cha Habari hapo juu, Natafuta mkopo wa haraka haraka, natafuta kiasi cha laki na nusu tu nitarejesha baada ya wiki mbili. Tafadhali naomba kusaidiwa. Yesu Anaponya.
0 Reactions
21 Replies
10K Views
polen na kazi wana jf,niende kwenye maada hivi ni kweli serikali yetu imeshindwa kulipa billion 80 ili tuchukue bombardier yetu,najaribu kutafakari vyanzo vyote vya uchumi Tuanze na VAT Vocha ya...
1 Reactions
0 Replies
709 Views
Nchi ina mambo ya ajabu hii! Watu wa LAPF wanatoa fao la kujitoa, wengine akina PPF wanazuia pesa za watu. Vyombo vyote hivi viko chini ya SSRA, chombo kinachosimamia na kudhibiti mifuko hii...
0 Reactions
38 Replies
8K Views
Wana JF Katika pitapita yangu nikakutana na waheshimiwa wa wakala wa ujenzi na vigae vya kuezekea nyumba. Vigae hivi ni bei nafuu na inawezekana vikawa mkombozi kwa mtanzania, kigae kimoja ni sh...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
  • Redirect
Wakuu habar za midaa hii ya iftar inakaribia, Nipo hapa nimekuja kuchek maendeleo ya duka langu duka toka 14.12.2015 lkn holaaa wadau linakula tu pesa zangu za kazin nimefukuza vijana wengi tu...
0 Reactions
Replies
Views
Kila mtu anajua umuhimu wa mawasiliano popote pale ulipo kuwasiliana na jamaa au ndugu kwa kikazi pia. Swala langu ni kwa nini iwe rahisi kupiga simu Kenya kutoka Uk kuliko Tanzania? Utakuta bei...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nataka kuanzisha biashara ya kuuza vyakukula vya mifugo naomba mnitumie aina ya vyakula mnavyovifahamu na bei zake. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ni ukweli usiopingika kwamba Kwa sasa hari ya kibiashara sio nzuri sana na hii inasababishwa na mambo mengi mni mengine tunayajua na mengine tunaweza kuwa hatuyajui kabisa. Kuna Biashara nyingi...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Habarini wadau nauza Viti kwa ajili ya sherehe mikutano na shughuli mbalimbali. Viti hivi vimetumika kidogo. Angalia Picha hapo. Bei 40,000.Tsh Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
6 Replies
7K Views
Nimeagiza mzigo toka mwezi wa 6 mpaka sasa na yamebaki masaa kadhaa tu purchase protection iwe end sasa nataka nifungue dispute wakuu Jee watanirefund? Na pia wanataka niapload picha ya ushahidi...
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Business rent sharing idea.. Natafuta mtu anaefanya biashara yeyote isiyo na usumbufu wa harufu au kelele… wa kushare nae kodi ya space tutakapofanyia biashara na kufanya separations … ( this...
1 Reactions
2 Replies
881 Views
Back
Top Bottom