Wakuu nna line ya wakala wa M-PESA na kianzio cha laki 2 laki 1 cash moja float
Je nkianza kufanya miamala naweza pata commission ya wastani ya shilling ngapi kwa mwezi??
Ufafanuzi tafadhali kwa...
Ndugu wana JF, natumai hamjambo!
Naomba mnisaidie wapi naweza kupata miti ya matunda yafuatayo? Nahitaji angalau miti miwili katika kila aina.
Nahitaji mnisaidie kunielekeza nitakapozipata...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bullish
EURUSD is bullish in the long-term and bearish in the short-term. Price went upwards on Monday and Tuesday, testing the...
Baada ya tukio la wiki iliyopita kutokea kwa vijana zaidi ya 56,000 waliokuwa wakipambana kupata ajira 400 tu zilizokuwa zikitangazwa, kumetokea na kundi la ambalo binafsi nawaona kama watu...
Ukipata nafasi ya kufika kule Mbozi Mbeya, ukakutana na habari za watu wanaotajirika kutokana na kilimo cha kahawa, kwa kweli unaweza kuwehuka, na kujiona kama mtu uliechelewa kweli kweli.
Wakati...
Habari za jioni wa ndugu leo napanda jukwaani kujadili jambo moja ambalo linanipa tabu sana viongozi wetu wamekua wakiamasisha kilimo kila siku lakini wameshindwa kuwatafutia soko wakulima wake...
Habari zenu wakuu,
Leo kwa mara ya kwanza niliamua kutumia hii huduma ya Premium katika kupost tangazo langu. huwa napost vitu vingi na kuviuza kupatana but huwa natumia ile ya...
Habari zenu wanajamii.
Nimeanza maandalizi ya kufungua mradi wa usambazaji wa maziwa fresh kutoka kwa wakulima
hadi kwa walaji hapa mujini.
Natafuta storage facilities namaanisha tenki la ujazo wa...
Habari za harakati wadau wa jamii forum. Naomba kufahamu biashara ya mchele kutoka mikoani hasa shinyanga na mbeya kwenda jiji la dar es salaam, Masoko ya biashara yapo vipi na trick zote za...
Husika na kichwa cha Habari hapo juu,
Natafuta mkopo wa haraka haraka, natafuta kiasi cha laki na nusu tu nitarejesha baada ya wiki mbili.
Tafadhali naomba kusaidiwa.
Yesu Anaponya.
polen na kazi wana jf,niende kwenye maada hivi ni kweli serikali yetu imeshindwa kulipa billion 80 ili tuchukue bombardier yetu,najaribu kutafakari vyanzo vyote vya uchumi
Tuanze na VAT
Vocha ya...
Nchi ina mambo ya ajabu hii!
Watu wa LAPF wanatoa fao la kujitoa, wengine akina PPF wanazuia pesa za watu. Vyombo vyote hivi viko chini ya SSRA, chombo kinachosimamia na kudhibiti mifuko hii...
Wana JF
Katika pitapita yangu nikakutana na waheshimiwa wa wakala wa ujenzi na vigae vya kuezekea nyumba. Vigae hivi ni bei nafuu na inawezekana vikawa mkombozi kwa mtanzania, kigae kimoja ni sh...
Wakuu habar za midaa hii ya iftar inakaribia,
Nipo hapa nimekuja kuchek maendeleo ya duka langu duka toka 14.12.2015 lkn holaaa wadau linakula tu pesa zangu za kazin nimefukuza vijana wengi tu...
Kila mtu anajua umuhimu wa mawasiliano popote pale ulipo kuwasiliana na jamaa au ndugu kwa kikazi pia. Swala langu ni kwa nini iwe rahisi kupiga simu Kenya kutoka Uk kuliko Tanzania? Utakuta bei...
Ni ukweli usiopingika kwamba Kwa sasa hari ya kibiashara sio nzuri sana na hii inasababishwa na mambo mengi mni mengine tunayajua na mengine tunaweza kuwa hatuyajui kabisa.
Kuna Biashara nyingi...
Habarini wadau nauza Viti kwa ajili ya sherehe mikutano na shughuli mbalimbali. Viti hivi vimetumika kidogo. Angalia Picha hapo. Bei 40,000.Tsh
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeagiza mzigo toka mwezi wa 6 mpaka sasa na yamebaki masaa kadhaa tu purchase protection iwe end sasa nataka nifungue dispute wakuu
Jee watanirefund?
Na pia wanataka niapload picha ya ushahidi...
Business rent sharing idea..
Natafuta mtu anaefanya biashara yeyote isiyo na usumbufu wa harufu au kelele… wa kushare nae kodi ya space tutakapofanyia biashara na kufanya separations … ( this...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.