Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Habari wakuu, Mimi ni mfanyabiasha, hivi sasa nimepata soko la bidhaa zangu za nguo huko Namibia. Naombeni kufahamu njia rahisi za kusafirisha nguo kupeleka Namibia. DHL/FEDEX nk ni gharama...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Akizungumza na Nipashe iliyotaka kupata ufafanuzi juu ya huduma hiyo jana, Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB, Tuli Mwambapa, alisema kiwango cha chini cha mikopo hiyo ni...
3 Reactions
22 Replies
10K Views
Wanajamii Kuna ukweli gani Katika huo uzi hapo juu
0 Reactions
2 Replies
611 Views
Serikali imekuwa ikifanya jitihada nyingi za makusudi ili kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi ili kuwekeza katika viwanda. Tumeshuhudia mikutano na warsha nyingi zikijadili namna ya...
0 Reactions
0 Replies
854 Views
Habarini . Surely Leo nahitaji majibu kwa wabobezi, Nimechagua gari be foward akilini nimechagua kununua gari through PayPal . Na ufafanua. Nahitaji sana kuelewesha also niendelee kununua vitu...
0 Reactions
0 Replies
888 Views
Kama unataka kufanya biashara na Botswana tafadhali ni PM ili tuweze kuwasiliana kuna biashara nyingi huko Tanzania za kuleta huku kama una fedha na ungehitaji kutengeneza fedha nipo tayari...
0 Reactions
30 Replies
10K Views
Kichwa cha habari chahusika, nisaidieni bandugu
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwanza kabisa natoa rambi rambi zangu kwa hao watu zaidi ya 224 waliofariki hapo mv nyerere ilipozama. Mimi kaa mtu ambae anajua mungu wa kweli wa bibilia , Sitaweza kamwe kusema hio ilikuwa...
0 Reactions
2 Replies
828 Views
Ambae anataarifa kuhusu ongezeko la thamani la fedha katika soko la hisa mpaka sahivi anijuze, thamani zikoje kila nchi ukikompea na shilingi yetu ya tanzania, Ahsanteni sana na karibuni kwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wakuu habari zenu mimi mfanyabiashara wa viatu vya kike tatizo lilionitokea hili mteja alikopa viatu vya elfu kumi tano akalipa akabakiza elfu mbili sasa akaja tena dukani akaomba kukopa mkoba...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari zenu wanajamvi? Kuna bidhaa nimeona kwenye mtandaa wa alibaba nataka kuiagiza, lakn nata kujua cost zipote kutoa bidhaa huko kuja Tanzania Bidhaa yenyewe ipo hivi Inauzwa usd 135 Ina...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
GDP is like a speedometer: it tells you whether your economy is going faster or slower. As in cars, a speedometer is useful but doesn’t tell you everything you want to know. For example, it won’t...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ref my previous post Namshukuru mwenyezi Mungu muumba wq mbingu na ardhi kwa pumzi na afya njema aliyonijaalia ilinichukua miaka mitano na nusu kuacha kazi ya serikalini nashukuru Mungu kwa...
40 Reactions
119 Replies
14K Views
Za jioni wandugu, naomba tushirikiane kuwaonea huruma wakulima mazao yanashuka bei ilhali pembejeo bei iko juu. Mliokaribu na wanasiasa washitueni 2020 sio mbali
5 Reactions
110 Replies
29K Views
Supermarkerts/Retailers wakubwa mashariki na kusini mwa Afrika mara kadhaa zimeshindwa kujiendesha ndani ya Tanzania. Shoprite, Nakumatt na Uchumi ni mifano. Na supermarkets ndogo/uwezo wa kati...
2 Reactions
73 Replies
8K Views
Hamjambo wadau na watafutaji wa pesa, Mimi binafsi nilifungua biashara yangu ya kwanza nilipokuwa mwanafunzi wa sekondari ambayo ilikuwa ya duka dogo la rejareja ila biashara hii ilikufa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimesoma kwenye tarifa za Vodacom kuwa kwa mwaka huu wanatarajia kutoa gawio kwa kila hisa Tshs.84. Ninauliza, Je gawio imekwishatolewa? na kama bado watatoa lini?
1 Reactions
1 Replies
3K Views
N duka ambalo kwakweli nimeliinua tangu lilipokuwa chini mpk sasa hali inaridhsha Sasa nnataka kuongeza bidhaa ambazo kwakweli sijawahi kuuza....bidhaa hizo ni Maziwa ya Tanga fresh na...
0 Reactions
2 Replies
957 Views
Habari za wapambanaji wenzangu katika jukwaa hili. Leo napenda tujadili kidogo juu ya hawa watu wanao jiita wahamasishaji wa biashara na ujasiriamali au kujiajiri. Binafsi nimekuwa nawafuatilia...
6 Reactions
26 Replies
4K Views
Kilimanjaro waongoza kwa kutumia benki UTAFITI umebaini kwamba Mkoa wa Kilimanjaro, unaongoza kwa kutumia huduma za kibenki kwa asilimia kubwa na kuwa na idadi kubwa ya watu waoelewa na...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom